Hua nafikiria sana ni kivipi shirika la utangazaji la Kenya lilibuni hii program inayoitwa Vioja Mahakamani. Sio siri hua navunjika mbavu na kupata burudani kuangalia vituko vya hawa waigizaji...
sina uhakika kama kitabu hichi kimeandikwa na mario puzo ila ni muendelezo wa kitabu cha the godfather. please mwenye nacho au anae weza kuki download akieke hapa.
Wana jamvi, nimewasalimu,
Mimi ni mpenzi wa muziki sana katika library yangu napungukiwa nakala za Maquiz, Sambulumaa( kadiri mke wangu) vijana Jazz.nk.
Kwa wale mnaonisoma, kama kuna baadhi...
kwa wale wapenzi wa hizi ladha jamani mimi nipo.
Some of my favourates:
-buy me a rose. Kenny rogers
-if i said you have a beautiful body. Bellamy brothers
-i have been love by the best...
Habari wakuu..hebu turelax kidogo na haka kajumapili mwanana.
Ni hivi,
Bila shaka ukiongelea HIPHOP kwa bongo na ukataja watu watatu the best huwez kukosa kumtaja JUMA MCHOPANGA na FAREED...
Msanii chipukizi Rommy B ameachia cover ya wimbo wake mpya utakaoruhusiwa wiki mbili zijazo
#WhoYouAre
#WhoYouAre
#WhoYouAre
#WhoYouAre
KAA TAYARIIIII
anapatikana kwa
#RommyB_tz
Habarini humu....
Jamani huyu Diamond sasa ana sifa,tena hizi sifaa zimepitiliza!
Kuna nyimbo ake hapa naisikiliza inaitwa HELLOW jamaniiii nyimbo nzuri ,inachezekaa kila kitu poa
Ni kama...
Wakuu habari za mapinduzi???
nimekuwa nikipita huku na huko nikaangukia episode 2 za hii series nimevutiwa sana kama kuna mtu anayo hii Series aniambie nimtafute I like it.
Lyrics are by best effort, corrections are welcome.
Chorus
Uh yeah yeah yeah
Awwww, awwww
It's the boom bye (bye), the old and the new style
Ndani ya pande zako no flying hi (hi)
Bwa mdogo...
Habari zenu wana Jf hope mko poa mi ni kijana mwenye ndoto za kuja kuwa dj nipo dar es salaam sina uwezo wa kwenda chuo ila nina imani kuna academy mbali mbali wanafundisha u dj lakini sijui...
Mimi ni Professional African painting artist, kuanzia Leo nitakua naleta Mfululizo wa Makala mbalimbali kuhusu fani hii ya Uchoraji, kuwafanya Watanzania waijue vyema Sanaa hii, ikibidi kuipa...