Msaada wa kupata nyimbo hizi

Msaada wa kupata nyimbo hizi

MALCOM LUMUMBA

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2012
Posts
21,703
Reaction score
71,039
Wasalaam ndugu zangu.
Samahani nilikuwa ninashida na badhi ya nyimbo na mtandaoni nimetafuta sana lakini nimeishia kusikila kwenye East African Tube.
Nyingine nikizipata kiwango cha sauti kinakuwa cha chini sana.
Hata kwa pesa mimi nitazilipia.

1. Norichiko- Nimemfukuza
2. Q Chillah- huwa unasema macho yalinidanganya (nakumbuka kiitikio tu)
3. Dr Leader- Msambaa
4. Stan boy- Sweet girl na nyimbo zake nyingine.
 
Wasalaam ndugu zangu.
Samahani nilikuwa ninashida na badhi ya nyimbo na mtandaoni nimetafuta sana lakini nimeishia kusikila kwenye East African Tube.
Nyingine nikizipata kiwango cha sauti kinakuwa cha chini sana.
Hata kwa pesa mimi nitazilipia.

1. Norichiko- Nimemfukuza
2. Q Chillah- huwa unasema macho yalinidanganya (nakumbuka kiitikio tu)
3. Dr Leader- Msambaa
4. Stan boy- Sweet girl na nyimbo zake nyingine.
umezipata
 
Hivi ile nyimbo, monalisa mpenzi njoo yumo fa n.k ni ya nani?
 
Back
Top Bottom