Ni Alhamisi Magaidi watatu walijitoa mhanga kwa kujilipua mabomu matatu ya kujitengenezea wenyewe wakiwa ndani ya treni za chini ya ardhi katika Jiji la London huko Uingereza. Baadaye, gaidi wa...
Nikipata nafasi ya kufika Jiji la London kuna vitu lazma nivifanye kwa ukamilifu, mosi nitakwenda kutazama mechi za timu za Tottenham Hotspur pamoja na Arsenal, na baada ya hapo nitafanya...
Gere unanionea mie nakunifanya hasidi, kwakuwa unatambu kazi yangu jukwaani, hata hivyo nyuma, sitarejea, wajifanya wajua, jua linakuwakia.
Naomba mwenye link ya huu wimbo ama anae mfahamu msanii...
Kenya, Uganda na Tanzania.
Tumekopi sana na tunaendelea kopi, hatuwi sisi.
It's high time that we have a tune , sound, beat, Melody, lyric of our own.
Kwanini kukopy..
Embu sikieni wimbo...
Nimeanza tabia mbaya tangu nikiwa shule ya msingi, nimefanya na watu wengi sanaa tena sanaa. Lakini kwanini naandika kitabu hiki?? Ni kwa sababu ninataka ufahamu kitu; kuwa tangu nianze kuwa na...
Nasikitika sana sijui wanakosea wapi, hawapo kama wenzao wa Clouds Radio! Sijui wanafeli wapi?
Au ni bahati mbaya kwangu kila nikiingia kuiangalia nakuta vipindi visivyoeleweka.
Kama usiku wa...
Kuna mskaji kanipa mizuka, kanikumbusha mbaaaali saaaana. Aisee embu turudi nyuma kidogo...
Crazy gk - sauti ya manka
J nature - mtoto idi
Ay - yule
Fa - unaowa lini, alikufa kwa ngoma, hawajui...
Bila shaka miaka ya mapema ya 2000 kuanzia 2000 mpaka 2006 ilikuwa ni kipindi cha mapinduzi makubwa katika muziki wa Afrika Mashariki. Ilikuwa ni zama za ubunifu wa hali juu, ushirikiano wa...
Huku kwenye Hip Hop kuna madini, japo si kutoka kwa hawa mumble rapper akina "Gucci Gang x90" 😂😂
Ukiachana na rap katuni na nyimbo matambo mbele ndani uchuro tushee Lyrics nzito na zenye ujumbe...
SURA YA 1
KWA mara nne mfululizo katika wiki ile, Luteni Maige alijiwa na ndoto ile ile usingizini. Aliamka kwa mshtuko, jasho likimtoka huku akihema kwa kasi.
Safari hii, hata alipofumbua macho...
Episode 1: Safari ya Maisha (Safari of Life)
Nilifika mjini nikiwa na ndoto kubwa mfukoni na shilingi chache mkononi. Nilikuwa nimekimbia maisha magumu kijijini, nikiamini mjini ndio mahali penye...
Nakumbuka siku nilifungua ofisi moja ya kurusha miziki ,nilienda kwa mama mmoja anitayalishie dawa ya kuleta wateja wengi waje niwachomee miziki na movie.
Alinipa dawa nne mfano wa irizi ya kwanza...
Krystyna Pyszkova kutoka Jamhuri ya Czech ameshinda taji la Miss World 2024 katika fainali ya mashindano hayo tarehe 9 Machi 2024 jijini Mumbai- India.
Krystyna Pyszkova kutoka Jamhuri ya Czech...
AFANDE WA MOROGORO MFALME WA TANZANIA.
Toka mwaka 2002 mpaka sasa 2022 ni miaka 20 imepita toka album ya "mkuki moyoni" toka kwa Afande Sele izame sokoni. Mwaka 2004 hii album kwa uzito wa...
Fortune tellers ( wapiga ramli)
" Fortune tellers kilikuwa ni kikundi cha watoto wawili wakike na wakiume " ambao walikuwa wanashirikiana na kundi la X plastaz kufanya Muziki Enzi hizo kutokea...
NGWEA - ZAWADI
___________________
JEAH!
MOJA KWA MOJA TOKA CHAMBER
NGWEA NA EAST ZOO YOU DOJO KAYA
FELOO
VERSE 1
__________
UZURU WAKO WA TABIA UMBO NA SURA NDO ULIONIFANYA...
BLACK WA USWAZI .
_____________________
Hatimaye leo tumefanikiwa kumpata mmoja Kati ya wachonga barabara kwenye Tasnia hii ya Muziki wa Bongo Fleva ambao juhudi zao ndio zimefanya Muziki Huu...
KWANZA UNIT CREW - MSAFIRI..
Ubeti1
Hii Ndo Picha Kabla Pazia la Udongo Ndani Futi sita/
Vita, Kila Watu 9 Kati ya 10 Dhidi ya Hali duni/
Naelekea Nchi ya Ughaibuni/
Nimezunguukwa na Dhoruba/...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.