Hakuna jambo lisilo na mwisho! Hata ile isidingo ya pale ITV itafika ukomo wake
Ila kweli wameanza kuzeeka saivHata hivo wanejitahidi sana, mie wamenichekesha tangu utotoni hadi leo nimezeeka.... Inatosha asee
Una umri gani?Hata hivo wanejitahidi sana, mie wamenichekesha tangu utotoni hadi leo nimezeeka.... Inatosha asee
Nitafsirie please[emoji1]They were used politically!!.....Once you allowed to be used politically your ruination is inevitable!
Sikutafsirii ng'oo ni mpaka kwanza unikubalie ombi langu la kumuibia kaka mgegedo![emoji1]Nitafsirie please[emoji1]
Naona una hamu yakupigwa kama mwanafunzi wa mbeya[emoji1]Sikutafsirii ng'oo ni mpaka kwanza unikubalie ombi langu la kumuibia kaka mgegedo![emoji1]
Umezeeka sbb ya Maisha magumu au , mbona waliokuchekesha bado VijanaHata hivo wanejitahidi sana, mie wamenichekesha tangu utotoni hadi leo nimezeeka.... Inatosha asee
Maisha magumu, yaminiotesha na mviUmezeeka sbb ya Maisha magumu au , mbona waliokuchekesha bado Vijana