Kituo kikubwa cha MTv base Africa leo limetoa wana hiphop 10 bora wa Tanzania waliofanya vizuri 2016.
1. Fid Q
2. Joh Makini
3. AY
4. MwanaFA
5. Roma
6. Mr. Blue
7. Nikki wa pili
8. G...
Mambo anayo yafanya diamond n kama mtu na degree zake.. Cz anajua kutumia udhaifu wa washndani wake ana jifunza kwa wapinzan wake bt haigii... OUR ICON [emoji109] [emoji109] [emoji109]
habarini wadau, kwa wale wafuatuliaji wa vipindi ktk channel hiyo ningependa mnijuze vipindi vya mieleka (wrestling) huwa vinaoneshwa siku gani na masaa gani. Karibuni.
Naomba mwenye mashairi ya wimbo wa taarabu manahodha wa mashua kwanini wakae nyuma tupige vigelegele tukishafika salama ni kinyume cha sheria kimwendo na usalama manahonda wa mashua kwann wakae...
Baada ya kuona team ali kiba ni wazee wa kulia lia leo ndo wakaamua watukomeshe kabisa hii imedhihirika baada ya post yao kuwataka team kiba wapige kelele kama kwel alikiba ni bestdressed east...
Kiukweli nyimbo za hip hop za bongo zinazozungumzia mapenzi ndizo huwa na hisia za kweli ndani yake. Wabanapua huimbia kupata sifa tu
Sikiliza nyimbo zifuatazo utapata hisia za kweli;
1...
Wewe kama mdau wa Music unaionaje ngoma,,,,,,
Kuidownload ingia hapa AUDIO: DOWNLOAD NEW HIT DIAMOND PLATINUM FT NEYO-I WANT TO MARY YOU,,,, AUDIO: DOWNLOAD NEW HIT DIAMOND PLATINUM FT NEYO-I...
Kuna nyimbo moja ya singel nimetokea kuipenda ina itwa mikono juu mwendo wa mateka...lakin yule dogo anaye imba na maneno kwenye iyo nyimbo haviendan na umri wake...au nyimbo katungiwa?!!
Salam wakuu,
Habari za weekend? Najalia wakuu mko poa. Juzi nilikua naangalia tv ghafla wimbo wa gospel ukapigwa aisee huyu dada wakuitwa Angel Benard ni mwimbaji hatari kanakwamba mwanzoni i...
Mzuqa wanajamvi!
Ni mwanadada Ellie Gouling wa uingereza na singo Yake love me like you do inayomtukuza shetani waziwazi kabisa. Ni wimbo ambao ulitoka desemba 2015 na kukonga nyoyo za watu wengi...
Salamu kwenu wapenda maendeleo!
Nataka tushirikiane kimawazo wadau, Hivi huu wimbo umeleak ukiwa haujakamilika au ndiyo tayari umekamilika hapo? Kwa maoni yangu naona bado una dosari kubwa,na...