Mistari tata ya Nikki Mbishi, baba Malcom

Mistari tata ya Nikki Mbishi, baba Malcom

MO11

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2014
Posts
19,560
Reaction score
41,522
sarakasi ubinuliwe harakati zirudiwe/ hapa unawekwa kati hata uwe Araphat ngumi jiwe/

Nachinja bila mundu wala kisu/ nadinda mbele ya makinda wananiita Tundu Lissu

Alazwe pema ghadafi/ wema punguza uchafu upate wema wa wasafi
 
Mistari hii niki isikilizaga huwa inanikera sana !


I don't see the difference between Rap and Bible /

Na wajukuu wengi mpaka najiuliza nimtume nani/
Nitume mimi YESU akasema/
akaja akala kichapo sijui ka atarudi Tena/

huu mstari nilicheka sana
 
Hii ni laana kama umezini na mama ako/

Sterio (chunda bad)

kipi kama sio lawama matozi wanataka battle/ mboga nane mtoto wa mama unajua nini kuhusu ghetto/

chundabadi
 
yupi boraaaaa ticha wa class or....aliyekufundisha sex.....!!!

chunda bad spencooo stere
ardhi boy @urp 3
 
Last edited by a moderator:
yupi boraaaaa ticha wa class or....aliyekufundisha sex.....!!!

chunda bad spencooo sterio
ardhi boy @urp 3
 
Last edited by a moderator:
Mistari hii niki isikilizaga huwa inanikera sana !


I don't see the difference between Rap and Bible /

Na wajukuu wengi mpaka najiuliza nimtume nani/
Nitume mimi YESU akasema/
akaja akala kichapo sijui ka atarudi Tena/


Teh teh teh mkuu,mistari ya nani hii?
 
Sasa Mungu akupe nini? Au ungemuomba manyau nyau akupe jini, au ungemuomba akupe mimi
 
Nakuona unazigo kubwa nakusaidia kulibeba halafu unadai nakubaishia

Sasa Mungu akupe nini? Au ungemuomba manyau nyau akupe jini, au ungemuomba akupe mimi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom