Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

habari za leo , filamu ya leo inahadithia maisha ya mama anaeteseka sana, anavyo kutana na familia yenye uwezo yakumsaidia anagundua na ku fufunua siri kubwa ya hio familia.
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Huu muziki umekuja kwa kasi sana na kujizolea umaarufu Mkubwa kwenye media na baadhi ya wadau haswa vijana lakini huu mziki naliona kaburi lake 2018 kwa sababu zifuatazo 1. Wadau wakubwa wa muziki...
2 Reactions
20 Replies
6K Views
Inapatikana U-tube(youtube) ====
1 Reactions
0 Replies
670 Views
Moja ya album bora kabisa za Hip Hop mbaka sasa kwa mwaka 2018. Production on point & carefully structured. Cole na flow ya hatari ndani ya mzigo huu mpya huku akiwa Na maudhui ya hatari ikiwa...
1 Reactions
1 Replies
943 Views
Muziki wa Bongofleva tangu uanze miaka ya 90 mwishoni umefanikiwa kuibua majina mengi makubwa, lakini tofauti na ilivyo sasa kipindi huu muziki unaanza ilikuwa ili utoboe ni lazima uwe na album...
4 Reactions
74 Replies
13K Views
Angekuwepo rafiki nisingewaza, rafiki kipenzi ninayempenda x2 hayupo tena duniani swahiba,nliyempenda toka kumoyo swahiba.... Alikuwa ni kijana mwenzetu Jebby akishirikiana na afande sele miaka...
1 Reactions
1 Replies
7K Views
As a being I've always wished To be a majestic king One so strict If you mess, like a disturbed bee You end up with a sting. I've always envied David, It's a mystery how he managed To kill...
0 Reactions
1 Replies
486 Views
Igweeeeeee,Umuofia kwenu Mwangaluka wamayo na wababa,mwadila...olemhola,ulichiza Yego baba...yego kutiki Saita...saayu,haidomaa...haidori Shimboni shafo Wazee nimeona ni vema nianze kwa...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
MARY MARIAM (01) BEKA MFAUME Alizaliwa nje ya ndoa. Baba yake hakuwahi kumwona ingawa aliamini yuko hai. Alisikia tu akiambiwa baba yake ni Mwarabu. Aliamini hivyo kwa sababu hata damu yake...
1 Reactions
30 Replies
15K Views
habari wana jamvi, kama kichwa kilivojieleza hapo.. napenda kujua jina la wimbo mmoja ulinivutia sana nikiwa mdogo ila nimesahau jina lake. moja ya mistari yake ilikua ikiimbwa hivi "pilipili ya...
1 Reactions
8 Replies
5K Views
Good news tuliyokua tukiisubiri gunners hatimae imekua mzee kinganganizi babu wenger aamua kustep down at the end of season. Hatuna cha kukumbuka zaidi ya stress zako Arsene Wenger to leave...
2 Reactions
36 Replies
3K Views
Wadau na wapenzi wa movies especially Hollywood movies nimeona ni vizuri nikashare na nyie my 25 sio mbaya nawe ukacomment au ukamention za kwako, vigezo nilivyotumia kupata hii top 25 list ni...
2 Reactions
62 Replies
12K Views
Sehemu ya kwanza °01° Asubuhi na mapema foru anapoamka na kufungua macho yake anaangaza huku na kule anagundua sehemu alipokua amelala si mahala pake na anapoinuka anashindwa kusimama na...
6 Reactions
54 Replies
9K Views
Ni wimbo wa kwaya japo sijui uliimbwa na nani ila unaitwa " Ninavumilia tu " wa RC Mwenye nao naomba aniwekee hapa jukwaani
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakati natoka nilimuona Mama yangu akiweka kitu chini ya kiti cha gari, nilishangaa kidogo kwani sikujua sababu yake. Hakuniona, nilisimama kwa muda kumuangalia, alifunga mlango wa gari...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hello guys I believe hiz station zikiwa zinaanza mwanzishaji alikuwa na ndoto ya kuteka soko la afrika mashariki kwenye swala la matangazo ya kibiashara kwenye tv , which means kampuni za uganda...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
chorus... * tumeipenda wenyeweee na wavimbe wapasukeeee tuchaguane tu milele.... wacha waisome nambaaa eeeeh? chama chetu mbele kwa mbeleeeee... waaacheni waaandamaneeeeer hapa...
2 Reactions
30 Replies
2K Views
Huu wimbo inasemekana ulimletea sana matatizo mtunzi wake mzee king kikii kutoka kwa utawala wa dikteta mobutu ambao uliuchukulia wimbo huu kama dongo kwa utawala huu kutokana na kuwa kama...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Movie ya Black panther. Imetengenzwa kwa thamani ya $200m. Sawa na Billion 440 za kitanzania. Mpaka leo ina faida tuu ya 2.2245 trillioni. Tangu imetoka. Ambayo ni makusanyo ya kodi kwa Tanzania...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Kusoma full stori bonyeza hapa[emoji116][emoji116] www.andrewsoftwaretz.com
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…