kluger
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 2,093
- 1,894
Mkuu Jay more, nipo kwny foleni nasikiliza ngoma yako ya Tunakula bata, ambayo ni mpya! Niseme tu hongera sana Kia mashairi na ubunifu wako kwenye song hilo. Binafsi si msanii wala producer wa mziki, ila najiona nina uwezo mkubwa kwny production ya music.
Nataka kukushauri kitu kidogo sana ili utishe na kuuza sana barani Africa. Najua wakina Joh makini wanasubiri sana kwako, we ni mkongwe na unajua, issue ni moja tu, unapo rap au kughani unatumia sauti kama unaongea na mtu yupo mbali sana na wewe, yaani unapayuka sana mpaka hakuna raha ya kusikiliza ile sauti yako,
Unapoimba chorus, ile sauti ndiyo hasa ulitakiwa kutumia kurap nyimbo zako, yaani jaribu kutuliza sauti yako wakati wa kurap ! Acha kupayuka na papapara, kwa sauti yako jaribu kurap kwa bass na utulivu ACHA KUPAYUKA WAAMBIE NA WASANII WENZAKO HASA KWNY LIVE SHOW,
Take it,or live it !!!!
Nataka kukushauri kitu kidogo sana ili utishe na kuuza sana barani Africa. Najua wakina Joh makini wanasubiri sana kwako, we ni mkongwe na unajua, issue ni moja tu, unapo rap au kughani unatumia sauti kama unaongea na mtu yupo mbali sana na wewe, yaani unapayuka sana mpaka hakuna raha ya kusikiliza ile sauti yako,
Unapoimba chorus, ile sauti ndiyo hasa ulitakiwa kutumia kurap nyimbo zako, yaani jaribu kutuliza sauti yako wakati wa kurap ! Acha kupayuka na papapara, kwa sauti yako jaribu kurap kwa bass na utulivu ACHA KUPAYUKA WAAMBIE NA WASANII WENZAKO HASA KWNY LIVE SHOW,
Take it,or live it !!!!