Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 16,466
- 42,602
Kwenye wimbo wake maarufu sana miaka ya 80 ulioitwa girlie girlie almaarufu sigali geleee mwana mama Sophia George aliitaja Tanzania ukiusikiliza ule wimbo mpk mwisho pale anapotaja wanaume wa nchi mbali mbali na Tanzania aliitaja
Sophia George ni mwanamziki maarufu sana duniani hususan miaka ya 80 mahadhi ya reggae mwenye habari za kumuhusu legendary huyu atuwekee humu
Kibwagizo enzi hizoooo
We mamaaa sigali geleeee we mama sigali geleeeeeeeee
Sophia George ni mwanamziki maarufu sana duniani hususan miaka ya 80 mahadhi ya reggae mwenye habari za kumuhusu legendary huyu atuwekee humu
Kibwagizo enzi hizoooo
We mamaaa sigali geleeee we mama sigali geleeeeeeeee