Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Kwa mda nilikua siiangalii tena bongo movie lakini filamu ya FATUMA, TUNU na BAHASHA zimenirudisha rasmi, Uhalisia asilimia 100%,waigizaji wanajielewa wamezitendea haki nafasi zao yani movie ile...
0 Reactions
35 Replies
6K Views
Salaam wadau, Kwa wale wadau wa mazoezi naomba kufahamu Kama kuna mtu anajua Gym (Fitness Center) iliyopo maeneo ya Kibamba Dsm, kwa yeyote mwenye kujua ilipo naomba msaada wa maelekezo jinsi ya...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Channels vichekesho vya comed
0 Reactions
1 Replies
693 Views
Mtanzania Hassan Mwakinyo mwenye umri wa miaka 23 usiku wa kuamkia tarehe 9/9/2018 amefanikiwa kumpiga Bondia Mwingereza Sam Eggington katika round ya pili ya pambano hilo liliofanyika katika...
4 Reactions
13 Replies
5K Views
Husika na mada hapo juu Hawa wenzetu wa SA wamekuwa mstari wa mbele sana kwenye mziki wa gospel. Wanatumia sana kizulu katika kusifu na kuabudu. Ajabu ya nyimbo zao unaweza kuzipenda na ukajazwa...
3 Reactions
25 Replies
13K Views
Ivi ni nyimbo gani ukiiskiliza hua inakupa hisia au unakumbuka Kitu flani naku wish ufanye Kitu Fulani kama dejavu ya J.cole.Mimi nikiskiliza nyimbo ya offset growth nikiwa bar hua napata hisia...
0 Reactions
25 Replies
5K Views
Baada ya jana Cardi B kuchezea kichapo inaonekana bifu kati ya wawili hawa sio la kuisha leo wala kesho. Nicky Minaj alidumu kwenye game kwa muda mrefu bila upinzani sasa kampata mpinzani wa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
wadau wa mbet nsaidieni kumbkmb namba mimi natumia app ya mbet na natmia mtandao wa halotel
0 Reactions
3 Replies
399 Views
Wasanii.wanaounda kundi la ROSTAM, Roma Mkatoliki pamoja na Stamina wameachia song lao jipya liitwalo Parapanda, ni habari ya mjini kwasasa itafute uthibitishe. NB Nimeshindwa kui-upload kwakuwa...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Wachache sana wataelewa hiyo bridge ya nyama laini kama mapupu na ile supu pale kati ajajajajajajajajaja Intro] Hhhhmm Oooh Ooooh Oh! Iyooo Lizer Hhhmm [Verse 1] Nyama zetu za ulimi Zikikutana...
1 Reactions
21 Replies
4K Views
Kaa La Moto, mwana hip hop kutoka Mombasa, KE ametoa ngoma mzuri sana. "Msafiri" imepangwa sawasawa. Itazame hapa.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
SAFARI 5 DAYS /4 NIGHT NGORONGORO AND SERENGETI Day 1 (Pick up from Kilimanjaro airport to Arusha to Lake Manyara Early in the morning we will leave Arusha city, through lake Manyara...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Hello everybody. This is 99 best edm songs. If you like edm then this is for you. Axwell /\ Ingrosso - "I Love You (feat. Kid Ink)" deadmau5 and Kaskade - "I Remember" SOPHIE - "Hard" David...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Mzee wa Goligota kaachia Nyimbo nyingine tena...[emoji848][emoji848][emoji848] Street Fighter.. [emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241]
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nawasalimuni mabest zangu na mie!! Nimewamisijeeeee!! Waoooo...... Haya sasa, Leo mimekuja na langu la moyoni, Nahitaji director/ nahitaji mtu atakae niongoza na kunioshesha njia ya sanaa ya...
1 Reactions
21 Replies
4K Views
Wataalam wa upasuaji kwenye ubongo na uti wa mgongo wameeleza kwa undani ni kwa namna gani marehemu Michael Jackson alivyofanikiwa katika kucheza miondoko yake iliyoonekana kuwa isiyowezekana...
1 Reactions
9 Replies
9K Views
Samahana wadau wenye ujuzi na magari. Napenda kuuliza kwanini gari kama Brevis' subaru na Altezza ikiwa kwa mtu inauzwa cheap price compared to IST
0 Reactions
0 Replies
714 Views
KWANINI PROFESSOR JAY HAKUIMBA NDIO MZEE? Hivi karibuni Professor Jay alikuwa na ugeni mkubwa, lakini alipopewa nafasi ya kuchana mistari, kinyume na matarajio yangu, akaanza kuvungavunga na...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Kwa kawaida wimbo mzuri ni ule ambao huburudisha nafsi yako, na sio fulani akiupenda lazima na mimi niupende, mfano kuna mtu anapenda nyimbo ya U.S kwa sababu fulani anaipenda au anaona kupenda...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wale wahenga mnaukumbuka huu wimbo ??? Ulikuwa kwenye ile filamu ya NERIA, alikuwa anaimbiwa baada ya kutendwa na Finehasi. [Verse 1: Oliver Mtukudzi] Neria, Neria hoo Usaore moyo ka Neria...
5 Reactions
20 Replies
5K Views
Back
Top Bottom