supermario
Member
- Dec 2, 2011
- 48
- 15
Hiki kipindi ni cha ajabu sana. Shafii Dauda anachapia mno kila anapojaribu kuongea kingereza na vile vile kipindi wanakifanya kama vile wako maskani wanapiga story tuu. Hivi kweli wanakosa hata muda wa kupanga nini wakiongelee ndanin ya kipindi? yani wana ruka toka hapa kwenda kule.