Imethibitika kuwa nkana leo kuanza mpira kwa staili ya kuutoa nje. Kama yanga walivyoanza wakati wanacheza na simba. Wanasimba tutegemee nini kama hawa jamaa wakianza kwa staili hii. Je yanga wamewapeleka nkana kwa yule babu kule moro
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.