Albinoomweusi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 3,485
- 8,667
Ustaa ni kitu kikubwa sana, unapofanikiwa kuwa staa mambo mengi hubadilika katika maisha nawe unabidi ujifunze kubadilika kwa kika hatua unayopiga.
Diamond kijana wetu inabidi ujifunze kubadilika, Jifunze kutatua matatizo yako na mamlaka kama staa anaeheshimika, Jifunze kuzungumza kistaa, punguza kuongea sana, staa huongea na kufanya interview pale tu inapohitajika
Star huchagua Maneno ya kuzungumza si kila neno kinalokuja kichwani hutoka mdomoni, star huchunga ulimi wake.
Wasalam
Diamond kijana wetu inabidi ujifunze kubadilika, Jifunze kutatua matatizo yako na mamlaka kama staa anaeheshimika, Jifunze kuzungumza kistaa, punguza kuongea sana, staa huongea na kufanya interview pale tu inapohitajika
Star huchagua Maneno ya kuzungumza si kila neno kinalokuja kichwani hutoka mdomoni, star huchunga ulimi wake.
Wasalam