quavio wa tz
Member
- Aug 22, 2018
- 88
- 36
Clouds digital mnapata shida sana.Hawa ni kampuni moja na wema sepetu
Clouds digital mnapata shida kumuharibia dogoBASATA watakuwa wehu wakiwafungulia kirahisi hivyo, au wanapew kitu kidogo? hawa waachwe kwanza wajue wametuvunjia heshima kama taifa, iwakost hata miaka 2 hivi. Kifungo kiwe sawa na madhara ya uhuni wao kwa jamii
Clouds digital mna roho mbayaNdio mchezo juo siku hizi. Wafanya kosa kisha wanaomba msamaha kisha wanakosea tena kisha wanaomba msamaha, kisha wanakosea tena na nafasi ya msamaha ipo.
Monotony bores
Hongera sana kwa kijana