Madimba jr
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 1,577
- 3,143
Wimbo mpya wa Mbosso "Tamu" umeshootiwa Mbeya, Iringa na maeneo kadhaa ya Nyanda za juu Kusini. Mazingira ni safi sana yametulia mnooo. Ama kwa hakika inavutia sana kuona Tanzania tuna maeneo bora sana ya wasanii wetu kutengeneza video zao kuliko kufuata maghorofa huko South.
Serikali oneni fursa hiyo kuliko kuwafungia hawa vijana wetu watumieni kutangaza vivutio vya nchi yetu kama hivi hamuoni kama inapendeza sana? Na sisi tunataka wakina Nicki Minaj waje huku kushoot video zao asee.
Serikali oneni fursa hiyo kuliko kuwafungia hawa vijana wetu watumieni kutangaza vivutio vya nchi yetu kama hivi hamuoni kama inapendeza sana? Na sisi tunataka wakina Nicki Minaj waje huku kushoot video zao asee.