Salaleeeh....SIMBWA NI AIBU YA MWAKA

Salaleeeh....SIMBWA NI AIBU YA MWAKA

makedonia

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
4,362
Reaction score
3,656
Goli la kwanza[emoji15] {WAHEDA}....mbumbumbu wakasema "wametangulia tu"... la pili {ASHARA}...mambumbumbu yakajipa moyo tena"tumejisahau tu"...la tatu {THARATHA}...maboya yakasema "hiyo penati hatuihesabu wamebebwa"...la nne {ARBA}...nyoro zikawapwita...la tano {GHAMSA}...mambulura yakavunja chupa na maviti ya watu huku mtaani......sasa kuna BOYA MOJA FALA KWELI linasema "HAWA WATAKUJA TU KWETU TUTALIPIZA".......N.B.mkumbuke nyie mikia..ukiangalia msimamo wa sasa,timu hizo za JUU, i.e AL AHAL na AS VITA ndio zitakazo pita.....POLENI WAN'GOA VITI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ila wametufunga kwa Taaaabuu sanaaaaa
Goli la kwanza[emoji15] {WAHEDA}....mbumbumbu wakasema "wametangulia tu"... la pili {ASHARA}...mambumbumbu yakajipa moyo tena"tumejisahau tu"...la tatu {THARATHA}...maboya yakasema "hiyo penati hatuihesabu wamebebwa"...la nne {ARBA}...nyoro zikawapwita...la tano {GHAMSA}...mambulura yakavunja chupa na maviti ya watu huku mtaani......sasa kuna BOYA MOJA FALA KWELI linasema "HAWA WATAKUJA TU KWETU TUTALIPIZA".......N.B.mkumbuke nyie mikia..ukiangalia msimamo wa sasa,timu hizo za JUU, i.e AL AHAL na AS VITA ndio zitakazo pita.....POLENI WAN'GOA VITI

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom