Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Hii Ndio Inaitwa hakuna jiwe litaachwa limesimama, kilichobaki labda Trailers Tu ! Ukiomba ushauri wa movies za genre unayoipenda unakuta kila movie ulishaivamia kitambo Hadi upate muvi mpya ni...
6 Reactions
29 Replies
1K Views
WASIFU WA SAIDA KAROLI Jina Kamili: Saida Karoli Tarehe ya Kuzaliwa: 4 Aprili 1976 Mahali alikozaliwa: Kijiji cha Rwongwe, Wilaya ya Bukoba Vijijini, Mkoa wa Kagera, Tanzania Lugha: Kihaya...
4 Reactions
0 Replies
1K Views
Comics za Charlie Chaplin zilikuwa zinachekesha sana. Kulikuwa na kamopuni ya film kutopka Uingereza iliyokuwa inaitwa Factory Films Limited ilikuwa na tawi lake Arusha na Nairobi, ilikuwa...
1 Reactions
1 Replies
253 Views
VERSE 1: Yoh, yoh, yoh Ndani ya Bongo mambo super hapana ubongo Ingawa sometime Bongo chungu kama sifongo Nafanya makaratee kama machinga mtaa wa Congo Kimtindo mtindo nakata ngebe vimtima nyongo...
14 Reactions
63 Replies
2K Views
NIMEKUBALI Yanitesa abadani, Niliyo nayo moyoni, Naungulia kwa ndani, Rohoni nina huzuni, Faraja yangu siioni, Kufikia huku sikuwahi kudhani, Wanitesa kwa nini? Vanessa umebadilika sana, Wewe wa...
1 Reactions
0 Replies
247 Views
Je, 1. Ni ujuzi wa kupigana?!!! Kwahiyo mnataka kuniambia Angelina Jolie anapiga hatari, sio?!!! 2. Muonekano? 3. Utajiri Au nini'?!!! Msaada tafadhali.
1 Reactions
5 Replies
291 Views
Habari zenu wakuu, yoyote mwenye kuwa na nyimbo hizi, wa Voice Wonder ft Banana Zorro ule unaitwa "mama yele" na wimbo wa zamani wa kundi la Wana Njenje unaitwa Maua naomba tafadhali ....
0 Reactions
0 Replies
256 Views
Katibu mkuu wa Shirikisho la Muziki Tanzania bwana Farid Kubanda maarufu kama Fid Q amesema ndani ya kipindi cha miaka 4, Rais samia ametoa Trilioni 13 kwa ajili ya maendeleo ya muziki na sanaa...
8 Reactions
56 Replies
2K Views
Hello shalom people of God, my name is John am 26 I live in Dar es salaam Tz, I'm a Gospel singer minister with a big vision to reach out nations with my music I believe through my music many...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Muvi hata isifiwe iwe kali kivipi nikishaona star ni mwanamke anaetembezea kipigo wanaume huwa sina time nayo kabisa. Kiuhalisia mwanamke mtu mzima mwenye miaka 28 anaweza kupigwa vizuri kabisa...
3 Reactions
18 Replies
596 Views
Nimetoka Dodoma hadi naingia Dar njia nzima namsikiliza Dogo Patel yaani jamani singeli tamu 💃💃💃💃
3 Reactions
6 Replies
497 Views
Ninaandika nikiwa na masikitiko makubwa kuona maumbile ya wanawake yanatumika kwenye mambo ya kijinga. Miaka ya hivi karibuni tasnia ya uchekeshaji (comedy) imezidi kuchanja mbuga na kufanya...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
HADITHI:LUKUNGU(UPANDE WA PILI WA SARAFU) MTUNZI: RAJONCE JOHN MWANDISHI: RAJONCE JOHN WHAT'SAPP:0673049321 UMRI:MIAKA 18+ SEHEMU YA KWANZA. Usiku mmoja wenye upepo zaidi ya siku nyingine za wiki...
1 Reactions
4 Replies
4K Views
Series zao wanaingiza sana mambo ya WOKE, kutaka kulazimisha mwanamke aonekane anaweza kazi maalum za wanaume, kuingiza sana mambo ya upinde, kuchochea ubaguzi, n.k. Naombeni series za nchi...
7 Reactions
176 Replies
4K Views
THE LAST VOYAGE OF THE DEMETER(2023) Chimbuko la hadithi: Ashukuriwe Mungu kwa kutupatia zawadi ya sanaa hapa duniani. Sanaa ni burudani ya muhimu mno katika maisha yetu ya kila siku. Hebu...
3 Reactions
9 Replies
864 Views
Kukuwa kwa tasnia ya bongo move sio jambo lakumtegemea mtu au taasisi ni kutumiya akili tuu. Sasa hivi watu wanaotumika kweny uigizaji ni wale waliokwisha kuwa maarufu kwenye mitandao ya kijamii...
0 Reactions
0 Replies
143 Views
Hii tamthilia inafanya vizuri kwa sasa Ina trend sana YouTube visa vyake ni usaliti,maisha ya ndoa,unafki w marafiki,ulevi,uwongo.. Kwa sasa tuko episode ya 70.karibun tujadili tunaoifuatilia.
3 Reactions
12 Replies
965 Views
Tunaendelea tulipoishia ... Baada ya Crew inayoitwa disabled jay Rapers Group kuvunjika baada ya mtu mfupi ( stacha cool) kuzinguana na wezake "jb" mkuu wa majaji na dj snoks a.k.a zungu la unga...
1 Reactions
2 Replies
639 Views
KUTOKA DISABLED JAY RAPERS GROUP HADI KUJIITA " MABAGA FRESH".. Katika ulimwengu ambao mara nyingi huhusisha mafanikio na ukamilifu wa kimwili na kiakili, ni muhimu kufahamu kuwa kuna watu wenye...
0 Reactions
0 Replies
466 Views
Wimbo ulikuwa ukiimbwa hivi- Mwenzenu mie najuta" Nilikuwa na Mpenzi wangu Maprosoo Aliniahidi tutafunga ndoa Yakweli, Namapumziko yetu yangekuwa Mombasa Amanipa ujauzito na sasa...
4 Reactions
3 Replies
7K Views
Back
Top Bottom