Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Yafutayo ni Mashair ya muda mrefu yanayoishi Hadi sasa.; Babylon System Lyrics We refuse to be What you wanted us to be We are what we are That's the way it's going to be, if you don't know You...
1 Reactions
0 Replies
325 Views
Nnapo flow Kama slow motion Ni -soo utadhani abortion Natokea Lake Victoria Flow zaidi ya Indian Ocean Na-make Hit Songs Bila msaada wa Promotion Huku na-spit Mother Tongue Maiki nai-grab kama...
2 Reactions
5 Replies
394 Views
Lyrics Tanzania Tanzania Nakupenda kwa moyo wote Nchi yangu Tanzania Jina lako ni tamu sana Nilalapo nakuota wewe Niamkapo ni heri mama wee Tanzania Tanzania Nakupenda kwa moyo wote. Tanzania...
4 Reactions
6 Replies
20K Views
Je, umewahi kushuhudia au kusikia kuwa Bamedi kaolewa? Leo nimeona niwashuhudie habari hii niliyopitia, ambapo kwa dhamiri yangu toka moyoni nilikusudia kumuoa binti mmoja ambaye ni bamedi na...
4 Reactions
23 Replies
5K Views
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] ONYO: SIMULIZI INAHUZUNISHA SANA. Story: SHUJAA episode: 01 "Mmmmh!!! Ester tunafanyaje sasa???" aliuliza mwanadada huku akimtazama mwenzake usoni kwa...
1 Reactions
2 Replies
559 Views
huyu kuna nyimbo kama vile picha ya mama -bahati bukuku nina siri-israel moyo wangu-rose muhando kunyata nyata- christina shusho-ningare martha mwiaapaya godluck gozbet joel n.k...
2 Reactions
3 Replies
694 Views
ASALI HAITIWI KIDOLE SEHEMU YA KWANZA MTUNZI: EDGAR MBOGO WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247. TAHADHARI: Hadithi hii ya #ASALI_HAITIWI_KIDOLE inayo somwa na mtu mwenye umri wa kuanzia miaka 18 na...
7 Reactions
465 Replies
90K Views
Nadhani wengi wetu wameshatazama teaser za filamu zinazokuja Badlands pamoja na Killer of Killers. Teasers mbili ambazo ndo zinaendeleza filamu za Predators, viumbe ambavyo vinajulikana kitaalamu...
0 Reactions
3 Replies
583 Views
SInema za nyingi za James Bond ziliandikwa na Ian Fleming akiwa anaishi Jamaica, SInema hizo zilidumu kwa zaidi ya miaka 60 ila mimi niliependa ,sana ile ya Man with a Golden Gun, ingawa sinema...
1 Reactions
2 Replies
325 Views
Nitashukuru sana. Hiyo kitu itaendelea kubaki moyoni kwangu na akikini Hadi 20100
1 Reactions
7 Replies
570 Views
Kwanza kabisa naomba nieleweke kuwa sisi watanzania kwa kipindi hiki tunatafuta icon yetu kwenye mziki ambaye kwa sasa hivi atatuwakilisha kwenye industry nzima ya muziki duniani. Ifike pahala...
6 Reactions
170 Replies
91K Views
Habari za Jioni wapendwa. Ninaomba nakala Ya kitabu cha MATTHEW MULUMBI Part 2 YA mwandishi Patrick C.K. Nimetafuta kila kona sijapata hivyo basi aliyebahatika kuwa nacho anisaidie na mimi hapa...
1 Reactions
4 Replies
950 Views
Bantu group (Hamza kalala)_Ngozi ya kitimoto Asante
0 Reactions
14 Replies
9K Views
Hii iwafikie wana vyombo vya usalama.kudos kwao
0 Reactions
7 Replies
405 Views
Wakuu! Inakuaje kwa waliochangia pesa ya kumlipa Harmonize ili avunje Mkataba wake? === Msanii nyota wa muziki wa Bongo Fleva, Ibraah, ambaye alikuwa chini ya lebo ya Konde Gang, sasa ni huru...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Aiseeh ulikua unajua hii Movie nyingi umeshawahi kuona kwamba watu wanakimbizana na magari mtaani je ni kweli ?? Kiuwalisia ni Uongo wanatumia Teknolojia ya LED kuweza kufanya matukio kuwa ya...
0 Reactions
7 Replies
529 Views
𝙒𝙄𝙈𝘽𝙊: DJODJO NGONDA 𝙈𝙒𝙄𝙈𝘽𝘼𝙅𝙄: WENGE MUSICA BCBG 𝙏𝘼𝙁𝙎𝙄𝙍 : SULE MKANDARASI ^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^ 𝙒𝙖𝙠𝙖𝙩𝙞 𝙢𝙬𝙞𝙣𝙜𝙞𝙣𝙚 𝙠𝙬𝙚𝙣𝙮𝙚 𝙨𝙖𝙛𝙖𝙧𝙞 𝙮𝙖 𝙢𝙖𝙝𝙪𝙨𝙞𝙖𝙣𝙤 𝙝𝙪𝙬𝙚𝙯𝙖 𝙠𝙪𝙩𝙤𝙠𝙚𝙖 𝙪𝙠𝙖𝙟𝙞𝙠𝙪𝙩𝙖 𝙠𝙬𝙖 𝙗𝙖𝙝𝙖𝙩𝙞...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Kufuatia kumalizika kwa Msimu wa 8 wa Game Of Thrones ambayo kimsingi imefikia ukingoni, leo tutaje Series 3 bora ambazo umewahi kutazama. Mimi naanza na hizi 1. Breaking bad 2. Game of Thrones 3. 24
29 Reactions
720 Replies
76K Views
Bilionea ambaye ni mgonjwa mahututi anafanyiwa upasuaji mkali wa kuhamishia fahamu zake kwenye mwili wa kijana mwenye afya njema. Walakini, hivi karibuni anagundua kuwa mwili wake mpya unakuja na...
7 Reactions
11 Replies
1K Views
Note : 18+ MKE WANGU, RUDISHA MOYO WANGU Awamu ya Kwanza: Siri ya Kivuli Nilisimama mbele ya dirisha la ghorofa ya tatu nikiangalia mitaa ya jiji kwa tahadhari. Taa za barabarani zilimwaga mwanga...
8 Reactions
93 Replies
12K Views
Back
Top Bottom