Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,010
- 60,483
Kwa wale wapenzi wa drama hii sio ya kukosa.
Mi nilivyoanza kuiangalia mwanzoni niliona kama
inaniboa ila nilivyoendelea sikutamani iishe aise.
Kuna drama za kufa mtu, kila mtu anam'play'
mwenzie kwahiyo ukiangalia unatamani ujue
nani ataibuka jembe.
Nwy, serie yenyewe inaitwa POWER, starring anaitwa James St.Patrick a.ka. Ghost, ni drug dealer ambae anamiliki club moja matata kwaajili ya ku- legalise pesa za unga. Mke wake anajua kila kitu na anamsapoti jamaa yake all the way kwenye ishu zake hizo, (ndoa yao mimi naona ni out of loyalty badala ya mapenzi kwasababu Ghost alipropose baada ya mkewe Tasha kum-msave mikononi mwa polisi). Nwy siku zinaenda the game gets tougher, Ghost na dealer wenzie wanachezewa akili na 50Cent ambae yuko jela na ndo allimfundisha Ghost namna ya kujijenga mtaani. Mpaka Ghost anamuua mshkaji wake akidhani amemgeuka kumbe ni set up. Nyumbani napo panakuwa pachungu mahaba yanapokolea kati ya Ghost na nyumba ndogo yake ambayo ipo kwenye kitengo maalum cha madawa ya kulevya na kinamsaka GHOST kwa udi na uvumba.
Hii series imejaa glamour na drama, excitement ya kutosha,mind games na kutokujua kwingi. It makes you want to know how things are gonna end up for everyone. Ohhh na wale mnaopenda SEX SCENES mtaenjoy maana jamaa sio wachoyo kabisa. And girls, GHOST ni bonge ya ''eye candy'' kuanzia sura, mwili mpaka pamba zake.
Watch it, you won't be dissapointed:couch2:
Ghost na mkewe Tasha
Ghost na 'small house' wake Angie
Best friend na msaidizi wa Ghost, Tonny