NOTE: Tofautisha Kifungo cha Maisha na Kifungo cha Miaka.
Huyu ni Mwanamke Kutoka Nchini Thailand Anaitwa Chamoy Thipyaso Alihukumiwa Miaka 131,078 Gerezani na Hukumu hiyo Aliipata July 27, 1989...
Leo hii nimepigiwa simu asubuhi na mazungumzo yalikuwa kama hivi:
0688564622: Hello Habari
Mimi: Nzuri, Habari ya kwako
0688564622: Mimi ni wakala wa Vodacom Mpesa hapa dar es Salaam
Mimi: Ok...
Ijapokua wengi hua wanapata taabu sana kumuelewa Mrisho Mpoto lakini hakuna atakaebisha kua jamaa anaitendea haki fasihi, hebu sikilizeni huu wimbo wake mpya halafu mlete mrejesho. kiiitendwiiiili
MWANDISHI: NYEMO CHILONGANI.
SIMU: 0718 069 269.
MAHALI: DAR ES SALAAM
KAHABA KUTOKA CHINA 1
‘Nisikilize Rose. Unataka niseme nini ili ujue kwamba nakupenda? Unataka nifanye nini ili ujue...
Kila nikisikikiliza zilipendwa ya Mond na seduce me ya Kiba then nkihusianisha na comments za watu mtandaoni nashindwa kuelewa kama me nimedownlod nyimbo tofaut na zenu au sikio langu limepinda...
Nataja baadhi of course Kenny Rogers lazima awe hapo.
kuna Kina Luke Bryan, Brett Young, Jack owen, Blake Shelton, Doly parton... etc
Hebu dondosha ngoma hapo
Brett Young ...Incase you didn’t...
Huu ni wimbo wa bongofleva ambao nilitokea kuupenda sana ila umenitoka kidogo, una mashairi haya; Nilimfukuza mpenz wangu eti kwa sababu ya bintii, nilimfukuza wangu moyo eti kwa sababu ya bintii...
Kwa upande wangu kwa mwaka 2023 hizi ndio nimeona ndio ngoma kali kutoka kwa hawa wasanii wakubwa nchini.
Single again ya konde boy ilitoka mwanzoni mwa mwaka huu, na niseme hii ndio ngoma kali...
Emancipate yourselves from mental slavery none but ourselves can free our minds, have no fear for atomic energy, cause none of them can stop the time, how long shall they kill our prophets, while...
Verse yake iko hv
'Kazi yao yote ua bure, sasa wanaona ubaya
Sisi sasa nawashambulia, wasijue hata lakufanya
Jeuri yao wote sasa, imekwisha kabisa leo
Kucheza na miziki ya watu,sasa wamekwisha...
WASAFI FESTIVAL kwa content package mnayodeliver kuna muda mpaka nahisi Teni halitoshi.. package ni kubwa kwakweli.. sema kwa upande wetu mimi na mwanagu tuna enjoy kinoma kwa sababu uwezo wetu ni...
Kuna nyimbo naitafuta sana ila kila nikigugo au hata Youtube nikijaribu kundika nachokumbuka hakuna kinachokuja; niliusikia kw 2004 au 2005 ivi.
Baadhi ya verses zake ni ivi
" Pombe twainywa...
Nimekuwa nikivutiwa sana na uimbaji wa hawa jamaa kwny huu wimbo na video yake ambayo sichoki kuitazama.mwenye lyrics za huu wimbo aweke hapa tafadhal maana nmetafuta sana ktk source nyingi bila...
DR. MARCO MKALI, MARCO CHIZI KIDOGO
Alipita Metro studio, Serious Records, Kama kawa Records mpaka alipotuliza majeshi MJ RECORDS na kufanya kazi na mkubwa Master Jay huku pia akiwavuta wadogo...
Nyota wa mpira wa vikapu nchini Marekani LeBron James amewapongeza wachezaji wa ligi ya soka ya Marekani NFL ambao wamefanya mgomo dhidi ya rais Donald Trump na kumtuhumu rais huyo wa Marekani kwa...
Niwe muwazi kabisa kuwa channel zetu zinatia aibu. Yaani zinashindwa kabisa hata na hizi channel mpya na ndogo kwa QUALITY.
Unatazma taarifa ya habari picha za hovyo, sound za hovyo, lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.