Rejea kichwa cha habari...kama una MUVI kali za kuanzia mwaka 2018 mwezi wa sita(June ) hadi mwaka huu 2019 mwezi huu nahitaji kwa haraka.
Unaniwekea kwenye flash ..nahitaji nyingi ..tutaelewana...
Hii movie nilikuaga naiskia tu kuwa kali ila sikuwahi kuicheki...
jioni hii baada ya kuwa
dissapointed na muendelezo wa into the badlands nikaona ngoja niisake hii private ryan...
Daah ni noma...
Weekend sasa ni muda wa kupunguza stress taja kiwanja kikali wana Jf wa kujoin!
Nianze na mimi next door music na totoz naweka shida chini!
Taja na wewe ulipo karibuni jf
By the way ukitaka uone Episode 03 Zima taa na angalia gizani unless otherwise utaona reflection yako, The Long Night was Sooo Dark utafikiri wanatumia Camera za Kwenye Tecno.... !!!!!
Hii show...
Watanzania wenzangu naombeni ushauri wenu, hapa nilipo nimevurugwa vibaya sana kwa sasa kila ninalojaribu kufanya kwangu naliona kama halina tija tena kwangu. Hali hii imenijia baada ya kugundua...
Ila surely ushindani kati ya wahaya na wachagga hautakuja kuisha. Wote wanalima ndizi,kahawa na juzi wamepata msiba mzito na wachagga wamejibu mapigo tena kwenye sekta hiyohiyo ya Habari.
Wahaya...
Kwa wale wapenzi wa miziki. Kuna online radio wanacheza miziki balaa. www.colorsconnectradio.com hata huhitaji kuwa na miziki kwenye simu yako hiyo radio ni tosha. Hamna hata matangazo. Ni miziki tu.
Tomino’s Hell ni Shairi Ambalo Unaambiwa Hutakiwi Kusoma Kwa Sauti!, Soma Kimya Kimya na inaelezwa Ukisoma Kwa Sauti Shairi hili Kuna Mawili, Either Utakufa au Utapambana na Mauzauza Katika Maisha...
Ufukwe huu wa Bahari wa "Dumas Beach" Wenye Ukubwa wa KM.2 Upo Katika Bahari ya Arab (Arabian Sea) Nchini India KM.21 Kusini Mashatiki mwa Mji wa Surat Magharibi mwa INDIA.
Beach hii Imekua...
Wakuu
Kulikuwa na habari kuwa ukiwa na smart tv unaweza kuangalia channes kadhaa hasa za ndani bure kabisa kwa kutumia antena ya kawaida. Kwa sasa nina smart tv ya sony bravia na hali ipo hivi:-...
Nilikuwa napekua pekua youtube kutafuta wimbo wa kunituliza baada ya Kazi na uchovu wa siku.
Sasa sisi wenye familia, hasa tunaowajali watoto wetu, kazi tunayo maana huko kwenye Tv zetu huko...
Love Stori: Muhanga wa mapenzi
Sehemu: 01
Mtunzi: Ally Mbetu
SIMU: 0713646500
Athumani alijikuta akiwa njia panda asijue aelekee upande gani, ilikuwa ni baada ya kumsindikiza rafiki...
Niwe muwazi kabisa kuwa channel zetu zinatia aibu. Yaani zinashindwa kabisa hata na hizi channel mpya na ndogo kwa QUALITY.
Unatazma taarifa ya habari picha za hovyo, sound za hovyo, lakini...
Wakuu salama? Kwa wale wapenzi wa live band watakuwa wameshanisoma. Ukienda kwenye show za Nyoshi na bendi yake mpya utagundua kuwa jamaa yuko serious sana na kazi. Anahakikisha vifaa vinafungwa...
leo nimesikiliza nyimbo ya young killer ft banana zoro --badilika.
Nimetokea kuipenda sauti ya banana zoro. Dah huyu mchizi anasauti si mchezo nashangaaa sikumjua siku zote hizo.
So ilikua...
Kwakweli mimi kama mpenzi wa Muziki na siyo ushabiki maandazi kwa vijana wa Kitanzania hakuna mwanamuziki zaidi ya Banana Zoro huyu ni super vocalist.
Wadau wa muziki tujurishane huyu kijana yuko...