SERIKALI YA TZ IMENITAPELI ZAIDI YA MILIONI 10 TSH .

SERIKALI YA TZ IMENITAPELI ZAIDI YA MILIONI 10 TSH .

Harald Dad

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2016
Posts
353
Reaction score
263
Watanzania wenzangu naombeni ushauri wenu, hapa nilipo nimevurugwa vibaya sana kwa sasa kila ninalojaribu kufanya kwangu naliona kama halina tija tena kwangu. Hali hii imenijia baada ya kugundua kuwa serikali ya Tz ilinilaghai na kisha kunitapeli zaidi ya sh.milioni 10. Mara nyingi nawaza na kujiuliza hivi hawa akina Karl Peter na sisi akina Chief Mangungo wa Msovero bado tupo dunia ya sasa? Kwa nini mikataba hewa kama ile ile ya kikoloni bado ipo? Au wakoloni wamekuja tena na mambo yao yale yale? Nahisi wakoloni ni wale wale ila tu wamebadilika tu rangi walikuja weupe wa sasa ni weusi. Wanatuaminisha karatasi nyeupe tuiite nyeusi na nyeusi tuiite nyeupe. May mosi nilikuwa hapa Mbeya jambo la kushangaza mc wao Mavunde kabla ya mkuu kufika alisisitiza sana akija tu tujitahidi kuonyesha nyuso za furaha na tumshangilie kwa furaha. Nilijiuliza sana ya nn kujifanyisha kuwa nina furaha usoni wakati moyoni ninalia? Kwa nn niishangilie serikali hii wakati wao mimi wamenitapeli. Serikali iliyochukua zaidi ya 10 milioni huku mm wakinitunuku karatasi? Wamechukua hela yangu na mm wamenipa karatasi ety wenyewe wakaliita degree huu ni utapeli kama ilivyovyo utapali mwingine. Mungu anawaona wakuu.
 
Watanzania wenzangu naombeni ushauri wenu, hapa nilipo nimevurugwa vibaya sana kwa sasa kila ninalojaribu kufanya kwangu naliona kama halina tija tena kwangu. Hali hii imenijia baada ya kugundua kuwa serikali ya Tz ilinilaghai na kisha kunitapeli zaidi ya sh.milioni 10. Mara nyingi nawaza na kujiuliza hivi hawa akina Karl Peter na sisi akina Chief Mangungo wa Msovero bado tupo dunia ya sasa? Kwa nini mikataba hewa kama ile ile ya kikoloni bado ipo? Au wakoloni wamekuja tena na mambo yao yale yale? Nahisi wakoloni ni wale wale ila tu wamebadilika tu rangi walikuja weupe wa sasa ni weusi. Wanatuaminisha karatasi nyeupe tuiite nyeusi na nyeusi tuiite nyeupe. May mosi nilikuwa hapa Mbeya jambo la kushangaza mc wao Mavunde kabla ya mkuu kufika alisisitiza sana akija tu tujitahidi kuonyesha nyuso za furaha na tumshangilie kwa furaha. Nilijiuliza sana ya nn kujifanyisha kuwa nina furaha usoni wakati moyoni ninalia? Kwa nn niishangilie serikali hii wakati wao mimi wamenitapeli. Serikali iliyochukua zaidi ya 10 milioni huku mm wakinitunuku karatasi? Wamechukua hela yangu na mm wamenipa karatasi ety wenyewe wakaliita degree huu ni utapeli kama ilivyovyo utapali mwingine. Mungu anawaona wakuu.
Kilichoharibu hapa umeweka siasa nyingii just go straight to the point
 
Je ulipoanza kusoma ulipewa mkataba na serikali kuwa ukimaliza utapewa ajira?
 
Je ulipoanza kusoma ulipewa mkataba na serikali kuwa ukimaliza utapewa ajira?
Aina ya elimu kulinga na mtaala wa elimu unalenga hivyo so kufika mwisho wa safari na kujikuta upo ulipoanzia na kukutaka uanze upya ni kitu kigumu
 
Aina ya elimu kulinga na mtaala wa elimu unalenga hivyo so kufika mwisho wa safari na kujikuta upo ulipoanzia na kukutaka uanze upya ni kitu kigumu
Kwani kuna mtu alikufuata kukuingiza shule kwa nguvu. Acha mawazo ya kitoto, ungejitahidi ukasoma mfano udaktari PCB usingelia lia au Civil Engineering PCM! Rudi shule
 
umesomea nini,labda vibosile wa huku watakuona..lol
 
Kwa hiyo serikali ilifanya upuuzi kuziweka hizo coz zingine? Na kwann hadi leo zipo? Kabla haujajibu jaribu kujiuliza
Kwani kuna mtu alikufuata kukuingiza shule kwa nguvu. Acha mawazo ya kitoto, ungejitahidi ukasoma mfano udaktari PCB usingelia lia au Civil Engineering PCM! Rudi shule
 
Serikali kwa mikataba ya kilaghai hawajambo.
Mkataba wa bodi ya mikopo ilikua kukata 8% sasa hivi wao wanakata zao 15% .. halafu eti niwe mzalendo...nikipata nafasi napiga pesa zangu cha muhimu nisizue taharuki kwenye jamii tu..

Pesa za selikali sio za mtu kwahio ukipata chance wewe zitafune tu. Hata raisi akipata chance huwa anazivuna
 
Serikali kwa mikataba ya kilaghai hawajambo.
Mkataba wa bodi ya mikopo ilikua kukata 8% sasa hivi wao wanakata zao 15% .. halafu eti niwe mzalendo...nikipata nafasi napiga pesa zangu cha muhimu nisizue taharuki kwenye jamii tu..

Pesa za selikali sio za mtu kwahio ukipata chance wewe zitafune tu. Hata raisi akipata chance huwa anazivuna
Teh teh teeeh! Wao wakitumbua hakuna anayewahoji ila sisi watatutafuta kila upenyo wachukue chao na chetu pia hao sio binadamu wenzetu wanajihisi wao ni malaika
 
Watanzania wenzangu naombeni ushauri wenu, hapa nilipo nimevurugwa vibaya sana kwa sasa kila ninalojaribu kufanya kwangu naliona kama halina tija tena kwangu. Hali hii imenijia baada ya kugundua kuwa serikali ya Tz ilinilaghai na kisha kunitapeli zaidi ya sh.milioni 10. Mara nyingi nawaza na kujiuliza hivi hawa akina Karl Peter na sisi akina Chief Mangungo wa Msovero bado tupo dunia ya sasa? Kwa nini mikataba hewa kama ile ile ya kikoloni bado ipo? Au wakoloni wamekuja tena na mambo yao yale yale? Nahisi wakoloni ni wale wale ila tu wamebadilika tu rangi walikuja weupe wa sasa ni weusi. Wanatuaminisha karatasi nyeupe tuiite nyeusi na nyeusi tuiite nyeupe. May mosi nilikuwa hapa Mbeya jambo la kushangaza mc wao Mavunde kabla ya mkuu kufika alisisitiza sana akija tu tujitahidi kuonyesha nyuso za furaha na tumshangilie kwa furaha. Nilijiuliza sana ya nn kujifanyisha kuwa nina furaha usoni wakati moyoni ninalia? Kwa nn niishangilie serikali hii wakati wao mimi wamenitapeli. Serikali iliyochukua zaidi ya 10 milioni huku mm wakinitunuku karatasi? Wamechukua hela yangu na mm wamenipa karatasi ety wenyewe wakaliita degree huu ni utapeli kama ilivyovyo utapali mwingine. Mungu anawaona wakuu.
Ulilazimishwa kwenda, si mwenyewe ulijipeleka
 
Teh teh teeeh! Wao wakitumbua hakuna anayewahoji ila sisi watatutafuta kila upenyo wachukue chao na chetu pia hao sio binadamu wenzetu wanajihisi wao ni malaika
Kweli kabisa mkuu... unakuta mkurugenzi akienda kwenye vikao anajilipa pesa nyingi kinoma halafu wewe anakwambia eti uvumilie uchumi wa nchi hauko vizuri..
Wtf man... yaani nikipata nafasi najilipa na mimi ili hata nchi ikifail na mimi niwe nimechangia kuifelisha sio wao tu
 
Kweli kabisa mkuu... unakuta mkurugenzi akienda kwenye vikao anajilipa pesa nyingi kinoma halafu wewe anakwambia eti uvumilie uchumi wa nchi hauko vizuri..
Wtf man... yaani nikipata nafasi najilipa na mimi ili hata nchi ikifail na mimi niwe nimechangia kuifelisha sio wao tu
Kweli ukipata tumia uwezavyo maana neno mafisadi limekuwa wimbo na kivuli cha kufichia ufisadi wao ili sisi tusione wanavyofuja mali za umma
 
Back
Top Bottom