Zipi nyimbo nzuri za Banana Zoro?

Zipi nyimbo nzuri za Banana Zoro?

Abuhamso

Member
Joined
Jun 20, 2013
Posts
42
Reaction score
20
leo nimesikiliza nyimbo ya young killer ft banana zoro --badilika.

Nimetokea kuipenda sauti ya banana zoro. Dah huyu mchizi anasauti si mchezo nashangaaa sikumjua siku zote hizo.

So ilikua nataka kujua nyimbo nzuri za huyu bro ili nizitafute kwa udi na uvumba.
 
Nipo radhi,
• Zoba,
•mama yangu
•Mama kumbena
•Nzela (B band)
 
hana mbaya hata moja
1:mama yangu
2:nipo radhi
3:mapenzi gani
na nyingine zoteeere
 
Dogo ana sauti ya dhahabu ukimsikiliza kwenye mama yangu,mapenzi gani au ile ya B Luv M anakudanganya jamaa ni shidddaaaaaaa.
 
Niko radhi my first
subira yangu my second
Bado kidogo my third
Nzela my fourth
 
Mkuu labda nimekosea jina ile ni ule wimbo ambao video yake kuna cheche wa siri ya mtungi kaigiza kama zoba nadhani hautwi ngoja ngoja unaitwa subira yangu

Ngoma inaitwa Ngoja Kidogo! Burdan zote twazipata east 24 evere Friday..huku vasmo pale Ismail huku nuruely wapiiii A2theD bongeee ha ha
 
Ngoma inaitwa Ngoja Kidogo! Burdan zote twazipata east 24 evere Friday..huku vasmo pale Ismail huku nuruely wapiiii A2theD bongeee ha ha

mmmmhhh wimbo mkali sana huo daaaa bado kidogoooo subiri kidogoooi muda baaado...... mmmhhh ni shida
 
Mama yangu
zoba
nzela
niko radhi
bado kidogo.......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom