Njaa
JF-Expert Member
- Dec 6, 2009
- 1,022
- 412
Wakuu
Kulikuwa na habari kuwa ukiwa na smart tv unaweza kuangalia channes kadhaa hasa za ndani bure kabisa kwa kutumia antena ya kawaida. Kwa sasa nina smart tv ya sony bravia na hali ipo hivi:-
Nimesearch digital tv na kufanikiwa kuziona channels zote za startime, lakini inayofanya kazi ni ile ya matangazo tu, zingine zinagoma kufunguka. Hata tbc ambayo ni FTA inagoma.
Nifanyeje? mwenye uelewa wa suala hili please...
Njaa
Kulikuwa na habari kuwa ukiwa na smart tv unaweza kuangalia channes kadhaa hasa za ndani bure kabisa kwa kutumia antena ya kawaida. Kwa sasa nina smart tv ya sony bravia na hali ipo hivi:-
Nimesearch digital tv na kufanikiwa kuziona channels zote za startime, lakini inayofanya kazi ni ile ya matangazo tu, zingine zinagoma kufunguka. Hata tbc ambayo ni FTA inagoma.
Nifanyeje? mwenye uelewa wa suala hili please...
Njaa