Wakuu,ingawa mimi bado kijana mdogo tu nimekuwa nikivutiwa na muziki wa dansi ule wa zamani uliokuwa ukiporomoshwa na bendi kama Mlimani park, OSS, Juwata,Marquis,Matimila, Bima, Tuncut nk...
Dogo ana kipaji cha hali ya juu sana cha kuchekesha. Anafanya classic comedy. Akiendelea kuongeza bidii atafika mbali sana. Tanzania tuna vipaji vingi sana.
Big up sana Jaymond unafanya kazi...
CHAUSIKU (1)
Ni binti mrembo Chausiku akiwa anavua nguo zake kwenye shamba kubwa la Ndizi pembezoni mwa ziwa Victoria ni ngumu kujua alikua anafanya nini hivyo kwa dhumuni gani labda joto la...
Wadau habari,nisiwachoshe sana,najua kila mpenda michezo haswa ligi yetu pendwa ya mpira wa miguu (Tpl) anayo taarifa ya wachezaji wa Simba a.k.a Omba Omba FC/wazee wa hamsa[emoji112] kupewa...
wa Lugha yoyote
iwe
kiingereza
Kiswahili
Kiarabu
Kireno etc
wimbo wa mapenzi ya dhati nataka kumuimbia shemeji yenu. Hizi za kidunia hazina upako na wimbo mmoja tu '' wimbo uliobora nimeshauzoeap'.
Wadau heri ya mwezi mtukufu.
Moja kwa moja kwenye mada.
Katika pitapita zangu kwenye mitandao account mbalimbali nikagundua kwamba kuna watu kipawa cha kuchekesha wameparamia yaani hawana...
Michael Jackson wanted to live for 150 years.
He appointed 12 doctors at home who would daily examine him from hair to toenails.
His food was always tested in laboratory before serving.
Another 15...
Jana ndo ilikuwa finale ya series ya Game of thrones iliyokuwa inarushwa nHBO. Utabiri wa wengi umekuwa tofauti na hilo ndilo lilifanya GOT kuwa moja ya series tamu sana kutazama kwakuwa ilikuwa...
Wadau naomba kujuzwa hivi ile nyimbo iliyotokaga miaka ya 2000's mwanzoni Sijui kaiimba nani ila ilikuwa maarufu sana hapa nchini haswa sisi wabongo tulikuwa tukiimba.
WAJIPENYEKA UNAPATA UWOO...
KISA KIZURI CHENYE MAFUNZO
MKE ALIMKASIRIKIA MAMA_MKWE_WAKE
Mke Alisimama Kwenye Meza Ya Chakula Na Kumuacha Mama Mkwe Wake Mzee Kwenye Meza Ya Kula. Mume Naye Alisimama Kwa Mshangao Ili Ajue...
KISA KIZURI CHENYE MAFUNZO
MKE ALIMKASIRIKIA MAMA_MKWE_WAKE
Mke Alisimama Kwenye Meza Ya Chakula Na Kumuacha Mama Mkwe Wake Mzee Kwenye Meza Ya Kula. Mume Naye Alisimama Kwa...
Nimenunua kitabu hiki bei nzuri sana. Ni kitabu cha mtandaoni kwa ku-download kipo Amazon, ni hadithi ya kweli kwa huyu mganda. Bei haizidi elfu saba 7000 za Tanzania. Kwa wale tusiopenda hadithi...