Hadithi: Chausiku

Hadithi: Chausiku

Buza Kwa Mpalange

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2020
Posts
268
Reaction score
156
Image may contain: 1 person, outdoor

CHAUSIKU (1)

Ni binti mrembo Chausiku akiwa anavua nguo zake kwenye shamba kubwa la Ndizi pembezoni mwa ziwa Victoria ni ngumu kujua alikua anafanya nini hivyo kwa dhumuni gani labda joto la siku hiyo kwenye eneo hilo.kwa kweli alikua msichana mrembo sana katika mji alio kua akiishi na kwakuaa alikua na kiwango cha juu basi alishobokewa na vijana wengi pia si vijana tu hata na watu wazima walitokea kumpenda sanaa.tatizo lilikua moja tu kazi aliyokua akifanya ilikua ni utata kwa urembo aliokuwa nao hakufanania kufanya kazi aliokua akifanya ilikua ni kazi ya kipato cha chiini sana isikua na future yoyote zaid ya kujipatia vijisenti vya kula tu............. jeeeeeh ni kazi gani hiyooo ndio kwanza tunaaanzaaa.....
 
Image may contain: one or more people and outdoor

CHAUSIKU (2)

whaaaaaaw akaendelea kusahula binti Chausiku kwa hakika alikua ameumbika si mchezo alikua na shepu ya uhakika na alijali kila kiungo chake kilikaa mahala pake kama kachongwa mpaka mwenyewe akawa anajistukia anapita mtaani lakini kuna kitu kilikua kinapita akilini mwake akawa anajiuliza moyoni ntafanya kazi hii mpaka lini?kwa kweli hii kazi ni ngumu sana inachosha sana na huyu na huyu anaekuja sasa namuonea huruma sana roho inasita ila sina cha kufanya lazima iwe hivyo .akiwa anawaza hayo mara anaskia chekechochekecho wa nyasi basi aliangaza huku na kule basi hakufanikiwa kumuona mtu basi akawa anazidi kuvua nguo zake.jua lilikua kali sana siku hiyo kwenye eneo letu la ziwa kwa kua masika ilikua inakaribia basi joto hali kua la mchezoo........itaendelea
 
Image may contain: one or more people


CHAUSIKU (3)

Bado akaendelea kufanya yake binti Chausiku ila akiwa na mawaxo mengi sana akifikilia jinsi maisha yalivokua magumu kijijini humo ila kwa upande mwengine alikua na kijiiunafiki flani (tutajua mbele icho kijiunafiki) wala hakua na shaka lolote kwakua alikua ndani kabisa ya migomba hakuwa na shaka kwakua kulikua na utulivu mkubwa hakuwaza kumuona mtu yoyote lakini hakuwaza uvamizi wake...... bwana Matata ni mmoja kati ya mzee wa makamo akiwa anamiliki shamba kuubwa la migomba izalishayo ndizi peke yake na soko lake kuubwa lilikua jijini Dar siku moja aliamka na kumuaga mkewe kua anakwenda shambani kuangalia angalia tu basi baada ya kunywa chai huyo kiguu na njia mpaka shambani kwake kwakua siku hiyo kulikua na jua sana na shamba lake lilikua limepakana na ziwa victoria basi akaamua kuoga maji hayo ya ziwani akakaa kwenye kichaka kidogo na kuvua nguo zake akiwa anashusha suruali mara alipatwa na mshtuko mkubwaa. hapa bwana Matata alikua amemuona Chausikuu itaendeleaaaaaaaaaaaaa
 
Image may contain: one or more people

CHAUSIKU (4)

Bwana Matata hakuamini kile alichokiona pale mbele ya macho yake kukiwa na binti mrembo sana akikata ndizi zake na kueka katika moja ya beseni.kilichomchangaza bwana matata sio ule wizi wa ndizi zake bali uyo msichana aliyekua akiiba ndizi zake. Akajisemea moyoni nimezunguka mikoa mingi sana mpaka hii leo nina miaka 45 sijawai kutana na binti mrembo kama huyu Mungu wangu kuna kitu unataka kwangu nini mana umenidondoshea embe dodo kwenye shamba langu la ndizi duu nisingefika huku nisingeona vitu vizur kama hivi akiwa ana waza lilimtokea jambo lilimshtuwa sana moyo wake nusu adondoke baada ya kumkuta binti ametupa chupi alipoona vizur umbo zuri lilimfaa mpaka mapigo ya moyo kuongozeka akanza kufikiria sura ya uyoo akiwa anawaza hayo binti huyo aligeuka ndipo alipoona sura nzur ya binti huyoo kwa sura lilifanya bwana Matata achanganyikiwe. hahahaaa bwana Matata asa nae mjinga baada ya kuomba embe dodo apo anasubiri nn..............itaendelea
 
Image may contain: 1 person

CHAUSIKU (5)

Alimuona Chausiku akiinama na kuacha kila kitu hapo ndipo uzalendo ulipomshinda bwana Matata kwakua ameinuka mzima mzima na kuanza kumuangalia binti Chausiku akiziweka ndizi zake vizuri lakini kwa upande wa bwana Matata ilikua mbaya akawa anasubiri tu binti huyo aingie kunako maji amtokee huko huko akajisemea kimoyo.leo nisipo baka sijui Mungu niondolee kikombe hichi cha mateso anaweza kuniua kwa presha nimeshindwa kujizuia kwa kipindi hichi nakijua nitakachofanya apo mbele ilikua kama kichekesho flani kwa bwana Matata hakua mhuzuriaji wa msikitini japo kua dini yake ilimtaka afanye ivyo alikua anafanya vitu vya ajabu lakini cha kushangaza siku hiyo anamkumbuka Mungu anaendelea kumcheki jinsi vile alivyoinama mambo hayakua sawa kiupande wake akaamua kujicheka mwenyewe sijui nifanyee au nikimbiie nyumbani kwa mke wangu ila pia kule mbali nitakua punguani kukiacha chakula kizur hiki na kukimbilia ule mzogaa.hahahaa ndani ya mda mchache tu bwana Matata alimshusha thamani mkewe
alieishi nae kwa miaka mingi na alikipa hadhi ya juu
kile alichokiona mbele yake kweli wala si uongoo
binti Chausiku kweli alikua mzuri msupuu kuliko vile unavozani bwana matata wakati anawaza hayo likatokea jambo ambalo hakulitaka
nijambo gani hiloooo.............. invite watu tuendelee
 
Image may contain: 2 people, hat and outdoor

CHAUSIKU (6)

Alishangaa kuona Chausiku akiinua beseni lake la ndizi na kuanza kukatiza kwenye maji basi bwana Matata hakulaza damu aliamsha hapo hapo na kuanza kumtimua Chausiku na hakuwa na dhamira nzur moyoni kwakua alikua ametekwa na wimbi la ngono sasa aliamua liwalo na liwe.kwa upande wa Chausiku hakuwa na woga wa aina yoyote akaangalia pembeni na kunyanyua beseni lake alikua anafanya ivo kwa maana gani kwani alikua mtupu pia akawa anasindikizwa na saut nzur ya videge kwenye shamba hilo huku nae akiimba nyimbo.. za kilugha huku akipiga mluzi mwepesi huku akitikisa mwili wake akiwa anakatiza mara akaskia kama maji yanapigwa kwa nyuma yake alikua na hofu sana alipogeuka tuu amadii!!!!!! kwa upande wa bwana Matata ngono ndio ilotawala kichwani mwake wala hakuwaza kitu kingine kichwa cha Chausiku kilijawa urembo bwana Matata hakutaka kusikia chochote na pia alikua na hali mbaya kwenye idara yake muhimu alipofika tu cha kwanzaa. mmh unahisi alifanya nn alipomfikia Chausiku
 
Image may contain: hat


CHAUSIKU (7)

Bwana Matata alipomfikia alimshika Chausiku mkono wala hakutaka kuongea nae wala kuwa na maelewano zaidi ya kutumia nguvu kwakua walikua kwenye hilo shamba kubwa la ndizi pia alijua yeye ni Mwanaume asingeweza zidiwa nguvu na mtoto wa kike alichotaka ni kufanya nae ngono tu ndo lazima ndo azma yake bwana Matata kwa usiku pia wala hakutumia ustaarabu wowote alimkamata sawia na kuanza kuvua suruali yake alipomaliza tu akaanza........
Chausiku alipoona bwana Matata akivua Suruwali hamadi huyu mtu alipatwa na mshtuko mkubwa kwa kujua siku hiyo lazima abakwe lakini kwa upande mwengine alijisemea moyoni kua mtego wake umenasa sijui aliwaza hayo kwa ajili gani kwa kua kitendo ambacho kingefatia ni kubakwa tu au Chausiku alikua mwenginee...........bwana Matata ilimbidi aanze kumvutia Chausiku pembeni ya maji ili kutimiza haja ya mwili.pia ilijipa matumaini kwa kua aliona Mwanamke huyo akiwa ametulia pia ametawaliwa na hofu kubwa sana akiwa ndio anavutiwa pembeni alistuka sana baada ya kuona......... itaendelea
bwana Matata inamana hakumla uzinzi wote uleee aisee
 
No photo description available.


CHAUSIKU (8)

Kilichomtokea Bwana Matata hapo hata wewe msomaji una macho. kumbe Chausiku ni jini.bwana Matata hakuwa anajua ila alishangaa akishikwa na kuvutwa chini ya maji ya ziwa Victoria alijaribu kupambana na Binti yule lakini wapi alikua anashindwa nguvu na binti mrembo Chausiku na kweli mtego wa binti huyo ulikua ushanasa na kitoweo cha siku hiyo kilishapatikana. Tamaa zilimtokea puan bwana Matata tena huko chini alipovutiwa ndio kulikua na wenzake Chausiku wa kutosha kitu alicho fanyiwa bwana matata hakisimuliki.. Alifuruka kwa kutumia nguvu zake zote mpaka kujamba alijamba alipiga kelele haikusaidia kitu Chausiku alimshikilia ile kisawasawa
Ukawa ndiyo mwisho wa bwana Matata
TAMAA MBELE UMAUTI NYUMA

TUKUTANE SEASON2
 
Image may contain: one or more people and outdoor

CHAUSIKU (1)

SEHEMU YA KWANZA

Aya mdau ule wakati uliokuwa una usubiri kwa hamu ndio umewadia, katika utangulizi tumeweza mwona jinsi Chausiku
binti nguva alivyo hatari kwa vijana wadoezi wa kitumbua chake, ebu basi tuungane na mimi msimulizi wako katika
kisa hiki kingine tena cha kusisimua, mkasa unaazia siku moja jioni mida ya saa kumi na moja jioni, ni mwezi mmoja tu! toka
Chausiku alipomfanyia kitu mbaya Bwana Matata, huku kijijini kila mmoja akiongea la kwake, juu ya kupotea kwa Matata
ambae sifa yake ya ubakaji ilijulikana sana pale kijijini, wapo waliosema Matata amehamia kijiji cha pili yaani mandepwende,
wapo waliosema ameenda mjini kutafuta maisha, wengine walisema ameenda polini kupasua mbao, kiukweli kijijini pale hofu ya
ubakaji ilipungua maana wakina mama walishindwa atakuwaachia watoto wadogo wakike wacheze wenyewe, wakiofia Matata asije
akawapitia, mida hii ya jioni binti Chausiku alionekana akikatiza kwenye mitaa ya kijiji cha Matimila akilejea njia ambayo
siku zote utumia wakati wakuja, kwamaana hiyo ni kama alikuwa anarudi kwao, ambako vijana wengi walitamani kupajuwa ili
waweze kumpata kiulahisi kwa gia ya kuoa, Chausiku akiwa na ungo wake uliojaa ndizi kichwani na kisu chake kikali cha mkunjo
(chikwakwa) mkononi alitembea taratibu akikatiza eneo lililo changamka sana la kijiji hiki, ambalo lilitumika kama soko, kwa
walio muona walidhani kuwa binti huyu anatembea kwa madaha, akifanya makusudi kutikisa kamsambwanda kake ka wastani, maana
ukimwona anavyotenbea unge tamani asisogee, yani afanye kama wanavyo fanya askari wanapoambiwa chapa mguu, watu walimtazama
kwa macho ya husuda huku vijana wachache wakikosa uvumilivu na kumchokoza "dada umejaliwa" lakini yeye akuwajari zaidi
alitembea taratibu kuelekea nje ya mji, usawa wa mto matimila, Chausiku binti Nguva alitembea huku akiwaza jinsi alivyo
chelewa, maana uwa anapenda sana kurudi mapema kuogopa binadamu wasije kumdhuru, asa baada ya tukio la sikuile kuviziwa na
Matata, japo kwa wanao mfahamu binti huyu angeweza ata kukiangamiza kijiji kizima kwa mkono wake, lakini hakutaka
kuendelea kuwa umiza binadamu, nahii ni kutokana na kuanza kumpenda kijana mmoja ambae atajina lake bado alikuwa
ajalifahamu, licha yakuwa aliwai kumwona malambili mfurulizo, siku nyingi zilizo pita , lakini bado aliendelea kumkumbuka
kijana huyu, japo ajamwona mda mrefu sasa lakini sura yake ilimjia usoni, akakumbuka siku ya kwanza kumwona, yule kijana
alikuwa anakuja mbele yake akionekana mwenye mawazo mengi sana kichwani, yeye Chausiku alikuwa amebeba ndizi zake na mkononi
ame beba kisu chake kama kawaida, kiukweli alitokea kuvutiwa na kijana yule, ambae alionekana kuwa ni mtulivu sana, lakini
wakati wana pishana kwa bahati mbaya waka pigana kikumbo cha vibega, na kisu cha fadhira kikadondoka, "samahani sana dada
yangu, samahani sijuwi mawazo yangu yalikuwa wapi, yani sikukuona kabisa" alisema yule kijana huku akiinama na kuokota kile
kisu mkunjo, na kumkabidhi Chausiku mkononi, wakati anamkabidhi ndipo Chausiku aka mwona yule kijana akimtazama usoni, na
kumshangaa kwa uzuri wake alionao, haya mdau inaonyesha Binti Nguva amedata kwa kijana binadamu, itakuwaje? minaona nikupe offer mdau, chakufanya usizime data nakuletea sehemu ya pili baada ya kuona like na comment zakutosha, kwenye hii sehemu ya kwanza si
unajuwa vitu vya weekend, pia usikose sehemu ya pili
 
Image may contain: one or more people


CHAUSIKU (2)

SEHEMU YA PILI
(soma kwanza sehemu ya kwanza)
wakati wana pishana kwa bahati mbaya waka pigana kikumbo cha vibega, na kisu cha Chausiku kikadondoka, "samahani sana dada yangu, samahani sijuwi mawazo yangu yalikuwa wapi, yani sikukuona kabisa" alisema yule kijana huku akiinama na kuokota kile kisu mkunjo, na kumkabidhi Chausiku mkononi, wakati anamkabidhi ndipo Chausiku akamwona yule kijana akimtazama usoni, na kumshangaa kwa uzuri wake alionao, alijijuwa kuwa yeye mzuri, kwa mshangao ule Chausiku alitegemea kusikia akitongozwa, lakini kitu cha hajabu, yule kijana aliinuka na kuondoka zake huku akisahau kusema asante, na mala ya pili alipishana nae akiwa na binti mmoja mdogo sana alie fanana na kijana yule aikuwa siri kuwa ni binti yake, Chausiku aliwaza hayo pasipo kujuwa kuwa anaye muwazia yupo nyuma yake akimfwata, wakati anawaza hayo alikuwa anakatiza kwenye sehemu moja ya kuuzia pombe, ambayo vijana kwa wazee utumia kwa kunywa pombe, mahali hapo uwa anapitaga kwa masimango sana, asa muda kama huu wajioni, ambapo walevi wanakuwa wamejaa maali pale ndo maana uwa hapendi kuchelewaga kupita mahali pale, "karibu mrembo" aliongea jamaa moja kibonge cha mtu, ambae alikuwa ame kaa akinywa pombe huku chupa kadhaa zikiwa chini yake, Chausiku akampuuza "unajiona mzuri sana we malaya, ebu ipeleke k yako wakaikanyage huko" aliongea yule mlevi baada yakuona hajajibiwa kitu na Chausiku ambae wao wanamuita dada muuza ndizi, kauli hiyo ilimchefua sana Chausiku, ambae alitamani amfwate yule jamaa na kumchana chana kwa kisu chake mkunjo, "huna lolote, kwanza demu mwenyewe mchafu tu" yani nikama yule jamaa alikuwa ame mpania Chausiku aliendelea kushusha matusi kwenda kwa binti Nguva, nakumjaza hasira, asa kutokana na walevi wengine kucheka kwa dhaarau, lakini binti huyu alijizibiti hasira zake, nakuendelea kutembea kwa mwendo wake hule hule, ujuwe sifa ni kitu kibaya sana, kuona yule binti yupo kimya hapo yule kijana anae julikana kwa jina la Kanyika aliinuka na kumfwata Chausiku ambae alisikia vishindo nya kufuatwa na yule jamaa, akakiandaa kisu chake tayari kumwaga damu ya mtu, ok! mdau unazani nini kitamtokea mlevi huyu bwana Kanyika?, basi ungana na mimi
 
Image may contain: 2 people, hat

CHAUSIKU (3)

SEHEMU YA PILI
kwa binti Nguva, nakumjaza hasira, hasa kutokana na walevi wengine kucheka kwa dharau, lakini binti huyu alijizibiti hasira
zake, nakuendelea kutembea kwa mwendo wake hule hule, ujuwe sifa ni kitu kibaya sana, kuona yule binti yupo kimya hapo yule
kijana anae julikana kwa jina la Kanyika, aliinuka na kumfwata Chausiku ambae alisikia vishindo nya kufuatwa na yule jamaa,
akakiandaa kisu chake tayari kumwaga damu ya mtu, "ebu simama hapa, uwezi kukatiza bulebule wakati watu tunahitaji vitu kama
hivi" aliongea yule mlevi, wenzake wakimshangilia, huku akisogeza mkono wake kwa begani kwa binti Nguva, ili kumkamata na
kumfanyia vurugu, pasipo kujuwa kunakisu kina ngoja afanye ujinga wake, lakini bahati ya bwana Kanyika ilikuwa nzuri, maana
kabla haja mgusa yule binti Nguva, akastukia akidakwa mkono na mtu mwingine alie tokea nyuma yake, "mwache huyo mwanake wewe"
ilisikika sauti nzito ya kiume, anabahati huyu mshenzi" alijisemea binti Nguva Chausiku akigeuka kumtazama alieingilia ugovi
ule, naam Chausiku alikodoa macho kwakuto kuamini anacho kishuhudia, kumbe toka anatokea kule sokoni, alikuwa
anafwatiliwa na kijana mmoja anae julikana kwa jina la James Komba wengi walimjuwa kama mjukuu wa Komba, kutokana na wazazi
wake kuishi mjini, na yeye kulelewa na babu yake mzee Komba, tokea akiwa na miaka mitano, kijana huyu ambae alikuwa anaishi
pale kijijini nyumba moja na binti yake Rehema, siku zote alikuwa mpole na mwenye hekima kwa watu wengine, alikaa mda mrefu
sana bila mke, ni baada ya Mwanamke alie kuwa nae yaani mama Rehema, kutoroka kijijini na mwanaume mwingine, ambae alikuja
pale kijijini kununua mazao, nakumwacha Rehema akiwa na mwaka mmoja tu!, kutokana na tukio ilo kijana huyu akutamani tena
mwanamke, alidumu hivyo mpaka Rehema alipotimiza miaka sita, ndipo alipo mwona kwamala ya kwanza mwanamke mmoja mrembo sana,
ambae alikuwa anajihusisha na bihashara ya kuuza ndizi, alishindwa kumsemesha mapema kwasababu hakutaka kuupa kazi ya ziada
moyo wake, pia alitoka kupigana naye kikumbo kwa bahati mbaya, akajisemea kuwa endapo atamwona tena atamwambia la moyoni,
mala ya pili alipo mwona alishindwa tena sababu alikuwa na mwanae Rehema, sasa leo wakati anatoka safari yake ya mjini
ambako alienda kupeleka bidhaa za majiko,ambayo utengeneza yeye mwenyewe, na kununua mahitaji ya nyumbani, ufanya hivyo kwa
sababu ya kukwepa gharama za pale kijijini, alimwona yule dada muuza ndizi, akiwa anatoka nje ya mji akishika uelekeo wa
Mandepwende, njia inayo pita pembeni ya mto Matimila, akaamua bola amfwate ikiwezekana amsindikize huku akitoa yake
ya moyoni,sasa wakati anaendelea kumfwata, ndipo alipo waona vijana wenzake, ambao ni maharufu sana pale kijijini kwamatendo
maovu, tena akamwona Kanyika akienda kumfanyia fujo yule dada muuza ndizi, ndipo alipoamua kununua ugovi, "niache bwana
unaniumiza" alilalamika Kanyika huku wenzake wakishangaa wasijuwe wamsaidiaje, kutokana na kuzidiwa na majukumu ya kitaifa
leo naomba niishie hapa ila kesho mapema sana tuta endelea kuwa pamoja
 
Image may contain: one or more people



SEHEMU YA NNE

sababu ya kukwepa gharama za pale kijijini, alimwona yule dada muuza ndizi, akiwa anatoka nje ya mji akishika uelekeo wa
Mandepwende, njia inayo pita pembeni ya mto Matimila, akaamua bola amfwate ikiwezekana amsindikize huku akitoa yake
ya moyoni,sasa wakati anaendelea kumfwata, ndipo alipo waona vijana wenzake, ambao ni mahalufu sana pale kijijini kwa matendo
maovu, tena akamwona Kanyika akienda kumfanyia fujo yule dada muuza ndizi, ndipo alipoamua kununua ugovi,
"niache bwana
unaniumiza" alilalamika Kanyika huku wenzake wakishangaa wasijuwe wamsaidiaje, maana kijana James Komba alionekana mbabe sana
tena mwenye mwili wa kimazoezi, Chausiku akiwa ame duwaa kwa kumwona yule kijana alietokea kumpenda sana, akimzibiti yule mlevi kwa
kumminya mkono wake na yule jamaa akilalamika kwa maumivu anayo yasikia, binti Nguva alitabasamu kidogo na kupotezea maana
hakutaka kuonyesha uzaifu wake, "niachie we bwege, hoya nyie njooni mnisaidie" Kanyika alipiga kelele za kuomba msaada,
yule binti alitembea mbele kidogo karibu na mwanzo wa shamba kubwa la midizi na kusimama, akiangaliza jinsi kijana James
Komba alivyo mminya yule mlevi, "hoya Jamesi mwachie huyo mshkaji bwana, kwanza malaya mwenyewe Umjui" aliongea mlevi
mwingine, kauli iliyo ilimkela sana Chausiku binti Nguva, "kama hamnijuwi mnanichokozea nini?" aliongea kimoyo moyo binti Nguva,
huku akimkata jicho yule mlevi alie ongea maneno yale, kisha akamtazama James ambae alikuwa amemshikilia kwa nguvu bwana
Kanyika kisha akamwachia, hapo binti Nguva akaanza kutembea, akiendelea na safari yake, akimwona yule kijana akimfwata na
mizigo yake mgongoni, yakiwemo mazagazaga yakutosha, binti nguva akiombea yule kijana amfwate yeye, huku wale walevi wakitoa
maneno ya kashfa, juu yake bintinguva na kijana alie masaidia, "mjinga wewe, unazani huyu demu atakusaidia nini?" mwingine
akadakia, "hacha kujipendekeza kwa huyo malaya," Kanyika nalo lika malizia huku linajiooza maumivu kwenye mkono wake, "ndiyo
maana mkeo alikukimbia mjinga wewe, naleo utaona" hapo wale vijana wakamwona James akimmfwata yule yule dada ambae alikuwa
akiendelea kutembea, maneno yale yalimuumiza sana Chausiku alitamani awafwate na kuwa chana chana, lakini aliogopa akifanya
chochote mbele ya James, ata mkosa mazima, maana ni lazima atamwogopa kuanzia siku hiyo, kakile atakacho kishuhudia kwa
macho yake, James bado alkuwa akielekea alipokuwa anaelekea Chausiku kiukweli Chausiku alikuwa anaomba kimoyo moyo kuwa, yule
kijana awe anamfwata yeye, maana moyo wake ulisha mpenda sana, itaendelea kesho.... daa! nikweli fupi, lakini tamu pia..
 
Image may contain: 2 people


SEHEMU YA TANO
wakamwona James akimmfwata yule yule Dada ambae alikuwa akiendelea kutembea, maneno yale yalimuumiza sana Chausiku alitamani awafwate na kuwa chana chana, lakini aliogopa akifanya chochote mbele ya James, ataweza kumkosa mazima, maana ni lazima atamwogopa kuanzia siku hiyo, kwakile atakacho kishuhudia kwa macho yake, James bado alkuwa akielekea alipokuwa anaelekea Chausiku kiukweli Chausiku alikuwa anaomba kimoyo moyo kuwa, yule kijana awe anamfwata yeye, maana moyo wake ulisha mpenda sana, "samahani dada naomba nikusindikize kidogo, mana si vyema utembee peke yako mida kama hii, inayooelekea usiku" Chausiku akasikia sauti ya yule kijana, ambae alikuwa anamjia kwa mwendo wa haraka haraka sana, akajuwa moja kwa moja anaambiwa yeye, akapunguza mwendo na kugeuza shingo yake akimtazama huyo kijana,
"naitwa James Komba au baba Rehema, ila rafiki zangu wanapenda kuniita mjukuu wa mzee Komba sababu nime lelewa na marehemu babu yangu,"
Alijitambulisha James baada ya kumfikia Chausiku hapo Chausiku akatabasamu na kutazama mbele, na nyuma wakaendelea kutembea
"kwanza nafurahi kukufahamu, mimi naitwa Chausiku" alijitambulisha hivyo binti Nguva,
"hooooo! jina lako zuri kama wewe mwenyewe,"
Alizungumza James huku wakizidi kutembea, na sasa walikuwa wamesha ingia ndani ya eneo lenye migomba mingi sana, kando kando ya mto matimila,
"Ahasante sana, kwani mimi ni mzuri ehee?" aliuliza Chausiku haliyakuwa akimtazama James usoni huku akirembua macho yake na kuzidi kumchanganya kijana huyu,
"hooo sana, nadhani umesha ambiwa mala nyingi sana, kuwa wewe ni mzuri, ila kwangu wewe nizaidi ya wazuri,"
Alipangilia maneno James, waliongea wawili hawa huku safari ikiendelea, hawakujuwa kuwa huku nyuma yao kuna kikao kilikuwa kina endelea zidi yao, kikao kilichoendeshwa na watu watatu, mwenye kiti akiwa ni bwana Kanyika, mpango ukiwa ni kumvizia kijana James wakati anarudi toka kumsindikiza yule binti wamvamie kisha wampoteze maisha yake, wakati mipango hiyo ikifanyika Chausiku na James waliendelea na safari, huku wakiongea kwa mbwembwe na vicheko kama watu walio fahamiana siku nyingi zilizo pita, "inamaana umeamua tu! kunisindikiza, au unalolote la ziada" aliuliza Chausiku baada yakuona atongozwi, na mtu ampendae, hapo moyo wa James uka lipuka kwa kiholo, nakupatwa kigugumizi cha ghafla, asijue amjibu nini binti
mh! hivi huu msitu wa migomba uta mwacha mtu salama kweli?, ebu tukutane jioni

SIMULIZI ZA PICHA ZIMEANDIKWA NA WAANDISHI WENGI TUNACHOFANYA NI KUDAWNLOAD HIZI PICHA NA KUZITUNGIA MANENO ANAECHORA MICHORO HII NI MZUNGU
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom