Kikusya
JF-Expert Member
- Oct 2, 2011
- 277
- 389
Nimenunua kitabu hiki bei nzuri sana. Ni kitabu cha mtandaoni kwa ku-download kipo Amazon, ni hadithi ya kweli kwa huyu mganda. Bei haizidi elfu saba 7000 za Tanzania. Kwa wale tusiopenda hadithi ndefu sana kwenye vitabu, hiki kizuri sana. Tatizo lugha ni kizungu, lakini kinaeleweka. Ahsante.