Wimbo Nitarejea wa Diamond.

Wimbo Nitarejea wa Diamond.

SELFISH

Senior Member
Joined
Feb 25, 2014
Posts
133
Reaction score
61
Mimi nimiongoni mwamashabiki wa Diamond platnum, Nafikiri hakuna mtu ambae haujui wimbo wa nitarejea alio mshilikisha Hawa, Ombi langu nakuomba utunge wimbo mwingine ambao umerejea kijijini kuchukua familia yako na unaenda nayo mjini baada ya kufanikiwa, Kiukweli umefanikiwa na hujarudi tena kule kijijini yaani mpaka yule Hawa nae umemtelekeza, Matokeo yake umekutana na wamjini Mala Unataka kulewa, mapenzi basi,moyo wangu, lala salama, mala binadamu wabaya, nakiinglish umejua my number one, nasasa unasema ukimuona, hebu ni pm nikukalibishe kwenye harusi yangu. hongera kijana.


selfish
 
ImageUploadedByJamiiForums1398293913.997016.jpg ImageUploadedByJamiiForums1398293947.349756.jpg ImageUploadedByJamiiForums1398293984.075279.jpg


selfish
 
katika nyimbo za diamong ninazozipenda huu ni mmoja wapo..........ni mzuri sana
 
Huu wimbo kiukweli ni mzuri sana.... pamoja na kuwa nimekula miongo ya kutosha; wimbo huu maneno yake niliyakariri
 
Ilibidi niutafute na kuungalia kwenye youtube. Kwa kweli ni wimbo mzuri sana, na wazo la mdau limeenda shule hasa.
Mimi nimiongoni mwamashabiki wa Diamond platnum, Nafikiri hakuna mtu ambae haujui wimbo wa nitarejea alio mshilikisha Hawa, Ombi langu nakuomba utunge wimbo mwingine ambao umerejea kijijini kuchukua familia yako na unaenda nayo mjini baada ya kufanikiwa, Kiukweli umefanikiwa na hujarudi tena kule kijijini yaani mpaka yule Hawa nae umemtelekeza, Matokeo yake umekutana na wamjini Mala Unataka kulewa, mapenzi basi,moyo wangu, lala salama, mala binadamu wabaya, nakiinglish umejua my number one, nasasa unasema ukimuona, hebu ni pm nikukalibishe kwenye harusi yangu. hongera kijana.


selfish
 
Mimi nimiongoni mwamashabiki wa Diamond platnum, Nafikiri hakuna mtu ambae haujui wimbo wa nitarejea alio mshilikisha Hawa, Ombi langu nakuomba utunge wimbo mwingine ambao umerejea kijijini kuchukua familia yako na unaenda nayo mjini baada ya kufanikiwa, Kiukweli umefanikiwa na hujarudi tena kule kijijini yaani mpaka yule Hawa nae umemtelekeza, Matokeo yake umekutana na wamjini Mala Unataka kulewa, mapenzi basi,moyo wangu, lala salama, mala binadamu wabaya, nakiinglish umejua my number one, nasasa unasema ukimuona, hebu ni pm nikukalibishe kwenye harusi yangu. hongera kijana.


selfish
 
Last edited by a moderator:
Akapanda Landrover 109 pick up tunazoita mando huku vijijini kwenda mjini leo na magari ya bei kubwa.Kwa kweli ilikuwa video nzuri na akumbuke kutunga kama vile sasa anachukua familia yake
 
Nasikia huyo dada aliyeimba huo wimbo amekua teja nowdays
 
Mimi nimiongoni mwamashabiki wa Diamond platnum, Nafikiri hakuna mtu ambae haujui wimbo wa nitarejea alio mshilikisha Hawa, Ombi langu nakuomba utunge wimbo mwingine ambao umerejea kijijini kuchukua familia yako na unaenda nayo mjini baada ya kufanikiwa, Kiukweli umefanikiwa na hujarudi tena kule kijijini yaani mpaka yule Hawa nae umemtelekeza, Matokeo yake umekutana na wamjini Mala Unataka kulewa, mapenzi basi,moyo wangu, lala salama, mala binadamu wabaya, nakiinglish umejua my number one, nasasa unasema ukimuona, hebu ni pm nikukalibishe kwenye harusi yangu. hongera kijana.


selfish

Aliwahi kili kwamba Hawa alikuwa mpenzi wake wa kweli sio kwenye wimbo tu, ila alivyochomoka kwenye mziki Wema akampiku Hawa. Akiimba kurudi atakuta familia ilisha paranganyika.
 
Sikuiz kawa bishoo haimbi tena nyimbo za design hii

Na mm ndo nilipoanza kumchukia
Labda kama mnataka afanye acting badala ya kuimba maisha yake halisi... tukianza na "Nenda Kamwambie" hadi "Mbagala", enzi zile Diamond alikuwa famba tu aliyekuwa na haki na hai ya kumlilia demu... hata ukija kwenye hiyo "Nitarejea" bado alikuwa kwenye hustle! Kipindi hicho kishapita... inapokuja ngoma kama "Kesho", unajua kabisa si yule Diamond wa kulia coz' akitakacho anapata... kama anachotaka anataka kiwe "kesho", then kibongo bongo ni possible kwake hasa linapokuja suala la mashosti!! Hata ukija kwenye "My Number 1" bado ina-reflect yale yale maisha yake ya sasa... huwezi kusema "My # 1" bila kuwa na # 2, #3 n.k... kuonesha kwamba alikotoka si kule aliko sasa! Sasa ishakuwa ni kipindi cha "nimpende nani"... wapo wengi, tena wanajipeleka wenyewe; kwahiyo hakuna cha ubishoo hapo... ni real life...
 
Mimi nimiongoni mwamashabiki wa Diamond platnum, Nafikiri hakuna mtu ambae haujui wimbo wa nitarejea alio mshilikisha Hawa, Ombi langu nakuomba utunge wimbo mwingine ambao umerejea kijijini kuchukua familia yako na unaenda nayo mjini baada ya kufanikiwa, Kiukweli umefanikiwa na hujarudi tena kule kijijini yaani mpaka yule Hawa nae umemtelekeza, Matokeo yake umekutana na wamjini Mala Unataka kulewa, mapenzi basi,moyo wangu, lala salama, mala binadamu wabaya, nakiinglish umejua my number one, nasasa unasema ukimuona, hebu ni pm nikukalibishe kwenye harusi yangu. hongera kijana.


selfish
hakika huyu kijana anajua kutunga nyimbo zinazogusa jamii,kiukweli namkubali sana na huo wimbo wa 'nitarejea' ameuimba kwa uhalisia wake na ni kati ya nyimbo bora alizowahi kuimba,kuhusu muendelezo wake kwa upande fulani ukiusikiliza wimbo unaoitwa 'lala salama' ni kama kuna kamuendelezo fulani hivi coz bado anamzungumzia mpenzi wake huyo aliyemuacha kijijini na yeye huku mjini mambo bado hayajakaa sawa,sio siri huu wimbo naupenda mnoooooooo..anyway haya ni mawazo yangu tu katika kumkubali huyu jamaa.
 
Mimi nimiongoni mwamashabiki wa Diamond platnum, Nafikiri hakuna mtu ambae haujui wimbo wa nitarejea alio mshilikisha Hawa, Ombi langu nakuomba utunge wimbo mwingine ambao umerejea kijijini kuchukua familia yako na unaenda nayo mjini baada ya kufanikiwa, Kiukweli umefanikiwa na hujarudi tena kule kijijini yaani mpaka yule Hawa nae umemtelekeza, Matokeo yake umekutana na wamjini Mala Unataka kulewa, mapenzi basi,moyo wangu, lala salama, mala binadamu wabaya, nakiinglish umejua my number one, nasasa unasema ukimuona, hebu ni pm nikukalibishe kwenye harusi yangu. hongera kijana.


selfish
Nani wa kurudi tena kijijini maisha haya!!??
Labda aachie ngoma ya kurejea kwa Mola na si Kijijini.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom