Nafahamu jf iko worldwide.
Ninaomba tafsiri ya wimbo huu ulioimbwa kwa lugha ya kinyarwanda.
Wimbo unaitwa Urugero umeimbwa na Butera Knowles.
Here is the attachment:
*SIMULIZI*
*MWANAMKE JINI*
SEHEMU YA 1
Sitausahau mwaka 1978. Nina sababu tatu za kutousahau mwaka huo. Sababu ya kwanza ni kuwa kulitokea vita vya Kagera. Majeshi ya Iddi Amin aliyekuwa Rais...
Binti mmoja ambaye alitokea katika familia masikini alifanikiwa kusoma kwa shida mpaka kufanikiwa kuwa mwanasheria. Alipata kazi nzuri, akiishi katika nyumba nzuri ya kifahari.
Pamoja na maisha...
Kwa wale wafuatiliaji wa move hasa za kizungu kuna clip ya move moja imekuwa ikisambaa kwenye mitandao jina la move hiyo siijui ila inaonekana ni move nzuri.
Clip ya Move hiyo inaonyesha daraja...
Habari wanajamvi,
kumekuwa na maelezo na ufafanuzi kadha wa kadha wa namna ya kupakua(download) series kupitia links,website, na applications mbalimbali,kwa bahati mbaya kwangu sijakutana na...
KESHO WATAUANA LIGI KUU
Bingwa wa ligi kuu Tanzania bara msimu huu ameshajulikana, sasa hivi vita imehamia bondeni ambako timu zipo kwenye harakati za kuhakikisha zinabaki mwenye ligi kwa ajili...
Karibuni katika channel ya uimbaji muziki hapa tutashirikiana kupeana nyimbo nzuri kutoka kwa makundi,ideas mbinu za kukuza uimbaji na muziki wa kikristo/injili/choirs/groups n.k ni imani yetu...
Kwa wale wadau wa series ya Game of thrones iliyodumu kwa miaka takribani minane na kuifanya kuwa video show kubwa zaidi duniani,baada ya episode ya mwisho kumekuwa na maswali juu ya hatima ya Jon...
Nimekuwa namsikia bw.Steve Nyerere kuwa ni Msanii.Naomba kujua ni msanii wa nini?Kama ni wa Muziki ni nyimbo zipi ametunga? Kama ni Movies je ni movies zipi ameshiriki? Maana ukisikia wasanii...
Kuna wimbo mmoja wa zamani kidogo najaribu kuvuta kumbukumbu ya jina lake bila mafanikio. Ila bahati nzuri ninakumbuka baadhi ya mashairi yake (nadhani unamuhusu kinyonga ama chura-not sure)...
Harmonize yuko vizuri, ila kwenye hii nyimbo yake amekosea sana kuweka hilo tangazo alafu mtu anae tangaza hajui matumizi ya "L" na "R" anasema inshualensi.
Yote kwa yote nyimbo ipo poa.
Never...
Wakuu kwa wale wanaomfahamu mwanamuziki Alikiba
Hebu taja wimbo mmoja MZURI kuliko zote alizoimba
Na wimbo mmoja MBAYA kuliko zote alizoimba
Naanza mimi
NZURI: RUN DUNIA
MBAYA: HELA
twende...
wakuu kwa wale wanamfahamu msanii diamond platnumz
Hebu taja ngoma yake moja kali kuliko zote na moja mbaya kuliko zote alizoimba
.
Mimi naanza
MBAYA: IYENA
NZURI: UKIMUONA
Me sio muhenga sana ila naukibali sana muziki wa zamani wa dansi, kwanza hauna makelele sauti zinasikika, vyombo vinasikika na ujumbe upo
Wangapi wanakumbuka bendi kama
Kilwa Jazz,
Dar Jazz...