Kwani unakatwa hiyo buku 3 au unajiunga mwenyewe!?.naomba kuuliza hii channel ipo au mpaka wakati wa fiesta
mbona bado tunakatwa 3000 lakini haionekani
kuna huduma ya clouds adds on kwenye *150*50*5#Kwani unakatwa hiyo buku 3 au unajiunga mwenyewe!?.
waanze wapi ndg labda wanajenga mitambo kwanza.Jamaa si wameshapewa kibali cha kuonesha channel za ndani bure??? au bado hawajaanza maana hata hiyo channel ni bure sasa hivi?