Nyimbo mbaya na nzuri za Alikiba

Nyimbo mbaya na nzuri za Alikiba

dvj nasmiletz

JF-Expert Member
Joined
Jul 23, 2018
Posts
2,120
Reaction score
2,303
Wakuu kwa wale wanaomfahamu mwanamuziki Alikiba

Hebu taja wimbo mmoja MZURI kuliko zote alizoimba

Na wimbo mmoja MBAYA kuliko zote alizoimba

Naanza mimi

NZURI: RUN DUNIA
MBAYA: HELA

twende kazi.......
 
Alikiba aka kibakuli hana wimbo mzuri hata mmoja..ni overrated sana huyu jamaa,hata haka katoto ka marioo kamwacha mbali sana jamaa..

Nashauri aende namungo fc
 
Back
Top Bottom