Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Napenda kuwasalimu kwa jina la Bwana wapendwa watu wa MUNGU. Naomba niliweke vizuri jambo hili. Jana nilipokuwa sehemu nasubiri muhamala usome nichukue changu, pembeni kuna kijana anaingiza nyimbo...
1 Reactions
12 Replies
13K Views
Kwa mahitaji ya Live Band karibu saana upate burudani nzuri kutoka kwetu, tunaimba nyimbo aina zote (COPY) tunapiga katika event yoyote. Lounge / Grill, Hotel / Bar, Beach / Club Harusi / send...
1 Reactions
2 Replies
915 Views
Balenciaga, got it for you Somewhere in the sky, got a clear view Everything Supreme that we do (oh) Everything is Gucci that you do (oh) So everything Supreme and BP Everything Supreme and BP, oh...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
mambovipi wakuu? Nimeona nifungue hii thread kwa wale ambao kucheza games za computer na nyinginezo ni moja ya starehe zetu baada ya kazi, kama wanywaji wa pombe wanavyojiburudisha, tupeane setup...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Miezi miwili mitatu hii ya karibuni nlikuwa Dar, sasa katika pitapita zangu mitaani kuna wimbo flani wa singeli ulikuwa ukisikika karibia kila mahali.., Una beat flan zuri afu ndani yake kuna...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wasalaaam ndugu zangu, Samahani nataka kujua zaidi juu ya huyu msanii. Ametokea na anaishi wapi? Ana nyimbo ngapi na zipi? Meneja wake ni nani? Amenivutia sana na ana kipaji cha kipekee kabisa...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
#REPOST WASAFI TV Hakuna kitu kinaumiza kama kumpoteza mtoto wa kwanza. Diamond platnumz yupo katika majonzi makubwa sana. Habari nikwamba Harmonize hana ugomvi na Baba yake kimziki Diamond...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Mimi nipo hapa jet iko foleni moja matata magari yamezimwa kabisa,, niambie wewe uko wapi
1 Reactions
28 Replies
3K Views
Maana jamaa wa mawingu ni kama pumzi inakata kila kona wasafi & muziki munene fm...mawingu wakubali enzi zao zinachikichia sasa
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Mimi namba 5 Jason stratum bwayhermitTz
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Kwa wanaopenda miziki ya miondoko ya Reggaeton, Raggamuffin, Dancehall, Pure Reggae n.k Nadhani tunamfahamu zaidi Bob Marley na hasa kundi lake alilokulia la The Wailers, ila na baadhi ya wakongwe...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa kuangalia Ile mechi je unaongeleaje uwepo wa Allison Jana?
0 Reactions
0 Replies
994 Views
Jana mechi ya Liverpool na Chelsea ya finali ya Super Cup. Chelsea alipiga mpira mzuri Sana hata baada ya kusawazisha goli la pili. Lakini kilichotokea mabigwa walishinda game. Vivyo hivyo finali...
0 Reactions
0 Replies
741 Views
Wanaoucheza muziki wa Bongo Fleva hawajui historia yake na hawawafahamu waliotoka jasho na damu kuufanya ukubalike na uwe biashara. Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ anayetamba kwa mafanikio...
8 Reactions
8 Replies
2K Views
The Game alitangaza kuumaliza muziki wake kwa album yake "Born 2 Rap" ambayo ni ya 9 na itakuwa ya mwisho katika maisha ya muziki. Mkali huyo wa Compton ameitumia instagram kuweka wazi kwamba...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Zimekua zikiongoza kwa kuua watu wengi kwa wakati mmoja Sikia huu wimbo jamaa alivyoimba kwa hisia kumuimbia rafiki yake aliekufa Kwa ajali huko morogoro
1 Reactions
12 Replies
2K Views
BONYEZA LINK >
0 Reactions
1 Replies
3K Views
09-07-2019. "KOFFI OLOMIDE" kafungua mkutano na Wandishi wa Habari kwa maneno haya kabla yakuanza kujibu maswali : 01. Kwanza namshukuru Mungu kuniwezesha kufika tena Jijini Paris,baada ya...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari Wana JF wenzangu kuna swali linanitatiza hapa... Nahitaji kujua maana ya "REACTION" za nyimbo ... Yaani kwa mfano ‘Yo Gotti — Down In the DM’ nimekuwa nkiangalia hata hizo videos but...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Mzee mzima anatisha, LeGrand Mopao
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…