Napenda kuwasalimu kwa jina la Bwana wapendwa watu wa MUNGU.
Naomba niliweke vizuri jambo hili. Jana nilipokuwa sehemu nasubiri muhamala usome nichukue changu, pembeni kuna kijana anaingiza nyimbo...
Kwa mahitaji ya Live Band karibu saana upate burudani nzuri kutoka kwetu, tunaimba nyimbo aina zote (COPY) tunapiga katika event yoyote. Lounge / Grill, Hotel / Bar, Beach / Club Harusi / send...
Balenciaga, got it for you
Somewhere in the sky, got a clear view
Everything Supreme that we do (oh)
Everything is Gucci that you do (oh)
So everything Supreme and BP
Everything Supreme and BP, oh...
mambovipi wakuu? Nimeona nifungue hii thread kwa wale ambao kucheza games za computer na nyinginezo ni moja ya starehe zetu baada ya kazi, kama wanywaji wa pombe wanavyojiburudisha,
tupeane setup...
Miezi miwili mitatu hii ya karibuni nlikuwa Dar, sasa katika pitapita zangu mitaani kuna wimbo flani wa singeli ulikuwa ukisikika karibia kila mahali.., Una beat flan zuri afu ndani yake kuna...
Wasalaaam ndugu zangu,
Samahani nataka kujua zaidi juu ya huyu msanii.
Ametokea na anaishi wapi?
Ana nyimbo ngapi na zipi?
Meneja wake ni nani?
Amenivutia sana na ana kipaji cha kipekee kabisa...
#REPOST WASAFI TV
Hakuna kitu kinaumiza kama kumpoteza mtoto wa kwanza. Diamond platnumz yupo katika majonzi makubwa sana.
Habari nikwamba Harmonize hana ugomvi na Baba yake kimziki Diamond...
Kwa wanaopenda miziki ya miondoko ya Reggaeton, Raggamuffin, Dancehall, Pure Reggae n.k Nadhani tunamfahamu zaidi Bob Marley na hasa kundi lake alilokulia la The Wailers, ila na baadhi ya wakongwe...
Jana mechi ya Liverpool na Chelsea ya finali ya Super Cup. Chelsea alipiga mpira mzuri Sana hata baada ya kusawazisha goli la pili. Lakini kilichotokea mabigwa walishinda game.
Vivyo hivyo finali...
Wanaoucheza muziki wa Bongo Fleva hawajui historia yake na hawawafahamu waliotoka jasho na damu kuufanya ukubalike na uwe biashara.
Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ anayetamba kwa mafanikio...
The Game alitangaza kuumaliza muziki wake kwa album yake "Born 2 Rap" ambayo ni ya 9 na itakuwa ya mwisho katika maisha ya muziki.
Mkali huyo wa Compton ameitumia instagram kuweka wazi kwamba...
Zimekua zikiongoza kwa kuua watu wengi kwa wakati mmoja
Sikia huu wimbo jamaa alivyoimba kwa hisia kumuimbia rafiki yake aliekufa Kwa ajali huko morogoro
09-07-2019.
"KOFFI OLOMIDE" kafungua mkutano na Wandishi wa Habari kwa maneno haya kabla yakuanza kujibu maswali :
01. Kwanza namshukuru Mungu kuniwezesha kufika tena Jijini Paris,baada ya...
Habari Wana JF wenzangu kuna swali linanitatiza hapa...
Nahitaji kujua maana ya "REACTION" za nyimbo ...
Yaani kwa mfano ‘Yo Gotti — Down In the DM’ nimekuwa nkiangalia hata hizo videos but...