GAMERS: SPECIAL THREAD

GAMERS: SPECIAL THREAD

kevin strootman

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2017
Posts
1,114
Reaction score
1,879
mambovipi wakuu? Nimeona nifungue hii thread kwa wale ambao kucheza games za computer na nyinginezo ni moja ya starehe zetu baada ya kazi, kama wanywaji wa pombe wanavyojiburudisha,

tupeane setup za magemu mapya tutumiane kwenye email kwa njia ya ku'compress setup na Winra.

kwa upande wangu nishacheza PES 2011,2012,2013,2015,2018, GTA Vice city,san andreas,Hot persuit NFS, NFS underground etc kwenye PC

Karibuni wadau.
images-1.jpeg
 
Me naomba link ya Gta 4 or 5 ya kucheza kwenye simu. simu yangu inagb64
 
nna battlefield 4
the run need for speed
far cry 3
fifa 19
call of duty black ops 2 modern warfare
na nyinginezo

Njoo na Laptop nkupe set up ila ujiongeze usije mikono mitupu.
 
Mm pc yangu inakosa graphic card tu , nikiipata tu nitafaidi magemu ya kisasa
nna battlefield 4
the run need for speed
far cry 3
fifa 19
call of duty black ops 2 modern warfare
na nyinginezo

Njoo na Laptop nkupe set up ila ujiongeze usije mikono mitupu.
 
Back
Top Bottom