Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

[Chorus – Phyno] Chineke Nna emegokwa nwa ogbenye Ezege Everyday by day I just dey celebrate oh (eh) Everything I do e just dey penetrate oh I just want to say o thank you Jehovah oh See I'm...
0 Reactions
3 Replies
382 Views
SURA YA KWANZA MLANGO WA TANO MIAKA MITATU BAADAE TSS HQ-DAR ES SALAAM Nchi ilikuwa imetulia na kurejea katika hali yake ya utulivu kama ilivyokabidhiwa na waasisi wa taifa...
0 Reactions
2 Replies
626 Views
Karibuni sana wapenzi wa simulizi, Leo naitambulisha kwenu simulizi hii iitwayo "MWACHENI AISHI." Ndani ya simulizi hii utakutana na visa, mikasa na matukio ya maisha kwa ujumla, vimbwenga...
1 Reactions
18 Replies
3K Views
SURA YA KWANZA: DAMU YA UFALME Mimi ni Triza, binti wa saba wa Mfalme Himza wa Peru. Katika kasri letu kubwa lenye kuta nene za dhahabu na mawe mazito, mimi na dada zangu tumeishi maisha ya hofu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ferre Gola - Marathon Hatari
0 Reactions
13 Replies
620 Views
GOLDEN BOY SEHEMU YA 1 MWANDishi NI JAXWIZZY What'sapp no 0793538082 Jua lilikuwa linatua kwa upole, likipaka anga la Istanbul kwa rangi ya dhahabu na machungwa. Bahari ya Marmara iling'aa...
1 Reactions
17 Replies
4K Views
Mtunzi: Washawasha Ilikuwa ni jumamosi moja tulivu,nikiwa nimetulia mjengoni naangalia match ya man utd ambayo nayo alipigwa na kuzidi kutuchanganya sisi mashabiki wake wa kuvuta kwa manati...
4 Reactions
14 Replies
25K Views
Wakati Dr. Dre anapelekewa Eminem ili amsaini, alimshangaa, hakuwa akiamini kama Mzungu huyo angeweza kuchana kama watu weusi lakini alipomsikiliza, sasa akawa na uhakika alimpata mwamba, mtu...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Salamu wakuu kwenye jukwaa la burudani. Maisha ya mwanadamu ni mafupi, hivyo hata kama hatuna kipato kikubwa hatuna budi kujitafutia furaha sisi wenyewe maana muda hausimami na umri unaenda. Si...
7 Reactions
15 Replies
2K Views
Mtunzi Prince Oscar. "We Doreen," mama aliniita kwa sauti ya ukali. Sikutegemea kumkuta yuko macho muda huo japokuwa alikuwa chumbani kwake. Ilikuwa saa nne usiku. Kwa kawaida mama ikishafika...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
MOVIE ITAKAYO KUTOA MACHOZI MWAKA 2025 Movie Kali yenye historia ya kweli ndani yake baharini Kuna Tisha sana kijana aliyekufa na kukufuka baada ya kushindwa kujiokoa kazini πŸ‘‡πŸΎ...
2 Reactions
5 Replies
904 Views
Tangu udogoni ndie alikua rapa wangu pendwa kabisa karibu nyimbo zake zote nilikua nazijua kama si kuziimba Siku Moja nakumbuka nilisevu hela kidogo kidogo nilizokua napewa za shule nikaweza...
2 Reactions
0 Replies
625 Views
Hadithi: MAJARIBU Mtunzi:Mwaki Ze Done (0653814440) UTANGULIZI: Ni hadithi inayomzungumzia kijana mdogo wa kuitwa majaribu. Wakati akijaribu kuyakimbia matatizo yake akakutana na majaribu...
2 Reactions
15 Replies
9K Views
Scott baada kukosea kumuua mtu ambaye asiyenahatia alikasirika na kuamua kuachana na Ujambazi ila kilichomkuta hakutamani Tena kuishi Nchini marekani. Movie kamili πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ https://youtu.be/WItzfpp8ysE
0 Reactions
3 Replies
373 Views
Hi! once again fellas, mimi ndiye yule mwandishi wa simulizi za kijasusi kama ULIMWENGU WA WATU WABAYA, I WANT TO DIE JUDGE, GEREZA LA HAZWA, NYARAKA NAMBA 72, JIJI LA KAMARI, NAFSI ZILIZO...
7 Reactions
222 Replies
90K Views
Yafutayo ni Mashair ya muda mrefu yanayoishi Hadi sasa.; Babylon System Lyrics We refuse to be What you wanted us to be We are what we are That's the way it's going to be, if you don't know You...
1 Reactions
0 Replies
302 Views
Nnapo flow Kama slow motion Ni -soo utadhani abortion Natokea Lake Victoria Flow zaidi ya Indian Ocean Na-make Hit Songs Bila msaada wa Promotion Huku na-spit Mother Tongue Maiki nai-grab kama...
2 Reactions
5 Replies
371 Views
Lyrics Tanzania Tanzania Nakupenda kwa moyo wote Nchi yangu Tanzania Jina lako ni tamu sana Nilalapo nakuota wewe Niamkapo ni heri mama wee Tanzania Tanzania Nakupenda kwa moyo wote. Tanzania...
4 Reactions
6 Replies
20K Views
Je, umewahi kushuhudia au kusikia kuwa Bamedi kaolewa? Leo nimeona niwashuhudie habari hii niliyopitia, ambapo kwa dhamiri yangu toka moyoni nilikusudia kumuoa binti mmoja ambaye ni bamedi na...
4 Reactions
23 Replies
5K Views
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] ONYO: SIMULIZI INAHUZUNISHA SANA. Story: SHUJAA episode: 01 "Mmmmh!!! Ester tunafanyaje sasa???" aliuliza mwanadada huku akimtazama mwenzake usoni kwa...
1 Reactions
2 Replies
525 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…