Hello JF,
Huu ni uzi maalum wa kuwamulika wasanii wetu waliopotea kwenye game lakini tungependa warudi. Wengine bado wapo lakini ni kama wamepotea yaani hawafanyi muziki wenye ushawishi kama hapo...
Ningependa kuandaa season yangu ya kiswahili yenye episodes kama kumi hivi. Sasa, je ni yapi mahitaji muhimu kuwa nayo ili kuweza kutengeneza bidhaa hii?
Kwa wale ambao mpo kwenye tasnia hii...
Najaribu kuwaza hivi, ni kwamba wasanii Bongo ni wachache sana mpaka wasanii wa nje kupewa promo kubwa kuliko wasanii wa ndani!?
By the way, sina tatizo sana na wasanii wa kupewa promo hapa Bongo...
TAMTHILIA FUPI: HAMIDA
MTUNZI: FRANK TITUS KAPINGA.
NJE YA JENGO LA UJENZI:
Fundi Maiko na mafundi wengine walikuwa bize na ujenzi wa nyumba. Licha ya kuwa bize; stori zilipamba moto vijana...
Kuna wimbo mmoja wa dansi wa miaka ya 2000 kutoka kwa moja ya bendi za hapa hapa nchini. Naweka chini baadhi ya maneno maarufu yaliyomo katika wimbo huo ili mnisaidie kuujua jina ili niupate...
What Fresh Hell
Harry and Meghan’s week gets complicated as Dad steps into the picture and the Canadians act very un-Canadianly
BY STUART HERITAGE
READING TIME: 1 MINUTE
1992was not a sterling...
Kwa wapenzi wa Hip-Hop nadhani tunamfahamu Dizasta Vina na huu wimbo wake ni wa siku nyingi tu
Angalia jinsi huyu Stamina alivyo copy (Hapa nyimbo zote zinalinganishwa)
Na huu ndo wimbo wa...
MWIMBAJI mahiri nchini, Waziri Sonyo ameibuka na wimbo mpya uitwao Mwisho wa Siku ya Siku.
Akizungumza Dar es Salaam Desemba 16 Sonyo alisema wimbo huo utakuwa katika albamu yake binafsi...
Tarehe 6 Oktoba 2019 saa 10:05 Saada alipiga simu kuripoti tukio la mtoto wake mwenye umri wa miaka minne kuchomwa pasi na baba yake.
Huku akitokwa na machozi Bi Sada alieleza kuwa mumewe ni...
Things are changing over at Buckingham Palace, and by that I'm of course referring to Prince Harry and Meghan Markle's new role as non-royals. Not only have they given up their royal titles, but...
Habari comrades.
Conflict of interest ni tukio ambolo taasisi ya jamii inapotumiwa kwa manufaa binafsi ya mwajiriwa wake. Kwenye hii mada taasisi ya jamii nayolenga ni kituo cha Radio Clouds FM...
Chocolate City rapper, Blaqbonez fears no man as he hit the studio to reply to Tanzanian rapper, Khaligraph Jones with this dope track titled “Green Blaq Green“. The self acclaimed (Best Rapper In...
Wakuu alamsiki.
Wakuu, ni siku tatu sasa cpati Clouds FM hewani. Siyo mpenzi ila kuna vipindi viwili hivi naweza kusikiliza nikipata muda. Sana Sport Extra na Power Breakfast asubuhi otherwise...
Habari zenu wana jf.Mie hapa nina swali.Hivi,fasihi inaelekezaje jamii.Nime uliza hili swali katika forum hii,kwa sababu ya kazi za kifasihi nilizo wahi kuzipitia katika forum hii,kama,Namchukia...