Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Wakuu sikutegemea wakongwe hawa wawili wenye medali za kimataifa kutoa song halafu isiwe hitsong. Naomba niwape pole sana WCB pamoja na fans wao, ni wakati sasa wa kujitafakari hasa ndugu yangu...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Wakuuu nimeusikiliza wimbo wa wcb ft diamond platnumz unaitwa qurantine, naweza kusema ni kama hawa jamaa wameishiwa sana ukiangalia nyimbo zima wamekopi nigeria yaani hii video kila sehemu ni...
2 Reactions
28 Replies
6K Views
Wakuu ifuatayo ni list ya nyimbo 10 zilizo tizamwa zaidi Tanzania mpaka kupitia platform ya Youtube 1.Jeje 23m (Diamond 2.Teamo 12m (Vanny & Messias 3Quarantine 8.5m (WBC 4.Dodo 6.7m (Kiba...
1 Reactions
23 Replies
4K Views
habar wakuu, Naomba kama kuna mtu atake weza niwekea link au namna yeyote yakupa hizi nyimbo. 1. Mwaka wa tabu wa Ally Choki 2. Tunda RMX wa Mwijuma Mumini
2 Reactions
20 Replies
8K Views
SEHEMU YA 01: “We binti njoo hapa,” nilikuwa napita kwenye mtaa mmoja kule Temeke, nikaitwa hivyo na mbaba mmoja aliyekaa kwenye benchi la kijana anayeosha viatu, wenyewe mnamuita ‘shuushaina’...
2 Reactions
34 Replies
14K Views
Mtunzi Boniphance Ngumije sehemu ya 01 “Babu…” sauti ya mtoto ilisikia. “Naam mjukuu wangu.” Ilijibu sauti nzito ya mtu mzee. Kisha wanaonekana watu wawili wakiwa wameketi kwenye gogo la mti...
11 Reactions
140 Replies
13K Views
Aisee kama wewe ni mpenzi wa kusikiliza redio basi fungulia Choice FM hutojutia. Ni ngoma juu ya ngoma na watangazaji wake wana Vibe kinoma noma Kule hakuna siasa wala matangazo ya mara kwa mara...
3 Reactions
33 Replies
3K Views
The exorcist Ni moja kati ya masterpiece iliyotoka miaka y mwanzo ya 70.ila ninapoitazama unaweza kusema ni ya mwaka jana. Nilichojifunza kwenye hiyo filamu ni kwamba 1. Sayansi haiwezi kutatua...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nimependa mashairi, hakuna kulambalamba watu. Kijana kayapanga masishairi balaa. Sio kama ngoma za kina chuchu zimechuja hata kabla hazija tumika. Link hii hapa, kula mzigo mnono huo kwa majivuno...
7 Reactions
12 Replies
2K Views
Hii aina ya mziki ni ovyo sana! Haifundishi jamii zaidi inaharibu.Wasanii wengi wa huu muziki mwanzoni walikuwa wapiga roba na waliza watu tu. Uchezaji wake wa hovyo yaani ni vurugu.Inakuwa si...
11 Reactions
171 Replies
15K Views
Leo ktk pita pita zangu WhatsApp status video nikamwona cousin wangu kaweka wimbo huu wa wanamziki wa Gospel wanaitwa "Makoma" Doh ulinikosha sana naupendaje alafu hauchuji unaitwa Butu na Moyi...
10 Reactions
71 Replies
11K Views
Mtunzi Nyemo Chilongani Sehemu ya 01. Nilikuwa chumbani kwangu, kichwa changu kilikuwa na mawazo tele. Akili yangu ilichanganyikiwa, kulikuwa na mambo mengi ambayo yalinichanganya kipindi...
14 Reactions
381 Replies
55K Views
RIWAYA; CHELEWA UZIKWE! NA; BAHATI K MWAMBA SIMU; 0758573660/0624155629. DAR ES SALAAM…. Kelele za muito wa simu zilimuamsha katikati ya usiku mnene. Alijivuta kivivu huku akijaribu...
8 Reactions
59 Replies
11K Views
Mkongwe kwenye kazi za kimafia na muuaji wa kukodiwa asie na mipaka john wick,anastaafu hiyo kazi baada ya kuoa na kutulia na mkewe. Baada ya mkewe kuugua ghafla na kufa, John anabaki kwenye...
17 Reactions
72 Replies
10K Views
. By Sangu Joseph . Unajua ukishakuwa Msanii Mkubwa kuna hatua 2 ambazo utajikuta unazipitia unategemea na hatua uliyokuwa nayo Kwa wakati huo na wewe unazihandle vipi. Hatua ya 1 ni KUSHAMBULIA...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari Wanabodi, Kuna Videos na Movies ambazo mara nyingi sana ukipanda gari la kusafiri kwenda Mkoa lazima ukutane nazo ndani ya basi hasa kwa hizi Luxury Bus. Kuna hizi; > Majuto, JB na Dokii...
0 Reactions
24 Replies
5K Views
. By Sangu Joseph . Kwenye Uchambuzi wangu nimeeleza huenda Alikiba akashushwa kimuziki na Konde Boy Harmonize, Kwa sababu Tu wanaomsupport Kiba ndiyo haohao wanaomsapoti Konde Boy. Kitakachokuja...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari ya saa hizi brothers and sisters, ni matumaini ya mtima wangu kuwa nyote ni wa buheri wa afya... Ama baada ya salamu, wapendwa nina shida yangu.... Huwa napendelea sana kuangalia series...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Kuna wimbo wa zaman kdogo bongo flava na baadhi ya maneno yanaimbwa hvi: "Ndoto haruf mbaya imetawala mwilini, napita mito na mabonde,, ni safari ndefu inayo chukua miaka mingi... Nisaidiem...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Lina uzito wa tani, jiwe jeusi la chato Jiwe jeusi si dini, jiwe halina mvuto Sasa nikusimulieni, limepataje uzito Hata mkifika mia, hamlibebi kitoto Washi walilipinga, kutaka kulisimika Ya rangi...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…