CHOMBEZO: Rigwaride la afande

CHOMBEZO: Rigwaride la afande

Kanungila Karim

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2016
Posts
20,746
Reaction score
25,662
SEHEMU YA 01:

“We binti njoo hapa,” nilikuwa napita kwenye mtaa mmoja kule Temeke, nikaitwa hivyo na mbaba mmoja aliyekaa kwenye benchi la kijana anayeosha viatu, wenyewe mnamuita ‘shuushaina’!
Kwa jinsi yule mbaba alivyonitumbulia macho, mwenyewe nikaogopa, nikajikuta nimemfuata…
“Shikamoo,” nilimwamkia huku nikiangalia pembeni kwa woga.
Mimi nilitarajia ataniambia amenifananisha na msichana anayemjua…
“Marhaba! Unaitwa nani wewe?”
“Rhoda.”
“Rhoda nani?” aliniuliza kwa ukali mpaka nikataka kukimbia. Moyoni nikasema ‘he! Huyu mbaba vipi? Mbona ana maswali kama polisi wa Kilwa Road?’
“Rhoda Musalanga,” nilimjibu.
“Unakaa wapi?”
“Kule juu Wailesi.”
“Kwa mzee nani?”
“Khaa! Kwa mzee nani kivipi? Si kwa baba yangu!” nilijipa ujasiri na kumjibu hivyo…
“Baba yako anaitwa nani?” kabla sijamjibu, nilimwona yule kijana msafisha viatu akiachia tabasamu. Niliamini amejua swali la yule mbaba ni la kijinga…
“Jamani, si nimekwambia naitwa Rhoda Musalanga, si ndiyo baba yangu mzazi…”
“Una simu?” aliniuliza swali jingine. Ina maana swali lake la awali alishalijua jibu lake.
“Kwani we unataka nini?”
“Nataka nini! Si nataka namba yako ya simu, hebu nitajie,” aliniambia huku akiwa amenitumbulia macho. Sijui ilikuaje, si nikajikuta nikizitoa namba zangu. Nilimtajia moja baada ya nyingine, kisha akatumbukiza mkono mfukoni na kutoa noti mbili za shilingi elfu kumi…
“Hizi utakunywa soda…umeolewa?”
“Akha! Mi sijaolewa,” nilimjibu kwa kukataa mpaka na mabega.
Kifupi mimi nilikuwa nimemaliza masomo ya sekondari na nina miaka 22 tu, lakini kutokana na umbo langu kuwa kubwa, wengi waliamini niko kwenye ndoa tayari.
Kwanza nilikuwa mrefu, si mnene sana lakini pia si mwembamba. Umbo langu ni namba nane! Katikati katikati kweli, juu kifuani palijaa sawasawa na katikati kwenda chini nilijengeka kama vile nilitengenezwa kwenye kiwanda cha magari cha Mjapan.
“Nitakuoa mimi… we nenda,” aliniambia yule mbaba huku akimwangalia msafisha viatu.
Kwangu lilikuwa tukio la ajabu sana. nilifika nyumbani na kukaa kimya, sikumwambia mama wala dada yangu, Agatha. Najua ningemwambia dada Agatha angeniambia nimpeleke na yeye kwa yule mbaba.
Nilikwenda Temeke kwenye maduka makubwa, nikanunua makufuli yangu matano kwa zile pesa, nikazidi kuwa wa kisasa zaidi. Maana mtaani naitwa Amber Rose kutokana na umbo langu lilivyo. Na vijana wengi walishatangaza dau mpaka la pesa nyingi ili wanipate lakini walikosa bahati hiyo, akaipata mmoja tu, Mwafyale ambaye ana duka la vipodozi Temeke Mwisho.
Sasa niliishi nikitegemea kupata ujumbe wowote kutoka kwa yule mbaba maana mimi sikuwa na namba yake.
Kweli bwana, saa saba juu ya alama mchana akanipigia simu, nikapokea haraka sana maana nilikuwa na shauku ya kutaka kujua nia yake kwangu…
“Hujambo?”
“Sijambo…shikamoo…”
“Unaamkia mara ngapi kwa siku?”
“Nilisahau, samahani sana…”
“Utakula jeuri yako…uko wapi?”
Nilitamani kwanza kujua maana ya mimi kula jeuri yangu kabla hata ya kumjibu nilipo. Lakini nikahisi ni msemo, nikamjibu swali lake…
“Mimi niko nyumbani…”
“Wapi?”
“Si nilikwambia jamani…huku mitaa ya Wailesi…”
“Utakula jeuri yako…njoo hapa mitaa ya Temeke Hospitali…mimi nakaa hapa,” alisema kwa sauti ya ukali iliyojaa amri…
“Kwani huyu mbaba ni nani? Mbona amri amri…mtu simjui hanijui halafu ananiamuru kama mwanaye, kwa nini lakini?” niliwaza moyoni, lakini nikashindwa kumuuliza…
“Nije kufanya nini sasa..?”
“We…utakula jeuri yako…unajifanya hujui siyo?”
“Mimi sijui!”
“Wewe njoo utajua kwa nini nimekuita.”
“Mkeo je?”
“Sina…”
“Mh! Wewe ulipo hapo huna mke kweli?”
“Nilimfukuza.”
“Kwa nini?”
“Haikuhusu…wewe njoo haraka.”
Nilijikuta nikimpa dakika kumi na tano tu kwamba, nitakuwa nimefika mitaa hiyo.
Niliingia bafuni kuoga chapuchapu kisha nikavaa. Tena kwa ndani nilivaa kufuli moja mpya. Nje nikapigilia suruali ya skin’taiti nyeusi na blauzi juu nyeupe, miguuni sendoz, nikaondoka zangu bila kumuaga mama wala dada.
Nilipofika mitaa ya hospitali nilimtwangia simu, haraka sana akapokea…
“Oya mi nipo hapa hospitali…”
“Njoo moja kwa moja mpaka kwenye kontena mbele hapa, utanikuta.”
Nilitembea kunyoosha njia mpaka kwenye kontena, nikamkuta amekaa na wenzake wawili wakinywa bia. Yeye alivaa pensi na fulana…
“Kaa hapa…wee mletee bia huyu yoyote lakini ya baridi,” alimwambia mhudumu.
Niseme ukweli, nakunywa pombe kwa hiyo agizo hilo kwangu halikuwa geni na aliyenifundisha kunywa pombe ni jamaa yangu, Mwafyale, mwenyewe nimezoea kumwita Mwana FA.
“Yoyote?” aliuliza mhudumu. Mhudumu mwenyewe ni jianajike f’lani. Ukimwangalia hivi ana sura ya kufumaniwafumaniwa tu…
“Kwani huuzi bia?” yule mbaba aliuliza…
“Sasa si nimekwambia lete yoyote lakini ya baridi…”
“Eti anti, nikupe bia gani?”
“Yoyote.”
Yule mhudumu aliondoka akicheka.
Baada ya kunywa bia moja, mbaba alinisimamisha na kuniambia…
“Twende huku la sivyo utakula jeuri yako.”
Je, nini kiliedelea hapo?
 
SEHEMU YA 02:
“Sasa si nimekwambia lete yoyote lakini ya baridi…”
“Eti anti, nikupe bia gani?”
“Yoyote.”
Yule mhudumu aliondoka akicheka.
Baada ya kunywa bia moja, mbaba alinisimamisha na kuniambia…
“Twende huku la sivyo itakula kwako.”
JIACHIE MWENYEWE SASA…

Jamani wewe…wapi sasa?”
“Hutaki?”
“Siyo kama sitaki…nataka kujua tunakwenda wapi?”
“Si kule…mimi si mtu mbaya kwako. Ningekuwa mbaya ningekupa pesa yangu? Twende.”
Maneno yake yalikuwa kama kumsukuma mlevi, kwani nilijikuta miguu ikikubali kwenda yenyewe bila kulazimishwa huku nikiwa najishangaa.
Tulikwenda kuingia kwenye nyumba moja kubwa sana. Ina vyumba huku na huku, katikati ni korido pana. Ilionekana kila chumba kilijitegemea. Kwa hiyo hakukuwa na chumba na sebule. Ilikuwa maalum kwa ajili ya kupanga tu.
Basi, yule mbaba aliingia kwenye chumba cha katikati kwa kufungua kufuli na funguo alizokuwa nazo.
“Karibu, pita,” aliniambia huku akinipitisha mlangoni, akaweka pazia la mlango vizuri kisha akaufunga kwa kitasa cha ndani.
“Kaa hapo,” naweza kusema aliniamuru kwa sauti yake na vile alivyonikodolea macho. Alitaka nikae kitandani. Nikakaa na yeye akakaa jirani kabisa na mimi na kuanza kusema…
“Sikia mrembo. Wewe ni mzuri sana. ukiwa na mtu kama mimi utafaidi mengi sana. Mimi najua kutunza si kama wanaume wengine. Je, uko tayari?”
“Mh!” nilijikuta nikiguna mwenyewe kabla ya jibu maana sikujua kule kulikuwa ni kutongoza au ni nini!
Nilimwangalia usoni kwa macho ya kumsoma, nikamwonea huruma jinsi asivyojua kumwingia mwanamke, hasa mrembo kama mimi.
“Sawa,” nilimjibu baada ya moyo wangu kuamua niwe naye. Niliamua kuwa na yeye na Mwanafyale wangu au Mwana FA maana huyu si ameniahidi kunitunza na elfu ishirini kwake si kitu!
“Haya, lala kitandani sasa,” aliniambia huku akinishika miguu ili nipande kitandani…
“Haa! Sasa mbona mapema hivi bwana…mimi sitaki kama ni hivyo…”
“Wewe unataka kula jeuri yako siyo? Si umeshakubali,” aliniambia akinizidi nguvu na kunipandisha kitandani mwili mzima, akanivua nguo zote. Si unajua tena, mwanamke ni mwanamke tu, siku zote hatuna ujanja kwa wababa wenye miguvu kama yule.
“Mimi sitaki bwana, unataka kunibaka siyo?” nilimuuliza…
“Wewe nakubaka wakati umekubali mwenyewe kuja mpaka ndani na tumeongea, umekubali. Usiseme maneno hayo siku nyingine,” aliniambia huku yeye akivua nguo zake kiaina na kuwa juu ya kitanda. Hapo wote tulikuwa kama tulivyozaliwa.
Alinisogelea, akanihemea kwenye sikio la kushoto, mwili ukasisimka sana. Kuumbwa ni kuumbwa tu, ningefanyaje sasa mwenzenu?
Alipogundua nimesisimkwa na kitendo chake hicho cha kunihemea sikioni, akabadili, akanihemea kwenye shingo, nikasisimka tena zaidi na kutaka kutoa mlio wa mahaba. Akanigeuza, nikalala kifudifudi. Hapo umeshajua awali nililalaje!
Akaanza kunilamba shingoni huku akitoa mlio wa kuhemka kwa sauti yake nzito. Mwenyewe bila kupenda, nilimtoa kisha nikageuka na kuangalia angani. Nikamkaribisha kwangu maana sikuwa na namna zaidi ya kukatwa kiu.
Heee! Haikupita dakika moja, mbaba akamaliza. Nikamchukia moyoni maana mwenzake ndiyo kwanza. Lakini cha ajabu akaunga. Hee! Dakika moja nyingi akamaliza.
“Mh,” niligunia moyoni mwenyewe.
Nilijua ameshachoka sasa! He! Akaanza tena! Dakika mbili mbele nyingi, akamaliza…
“Ndiyo nini sasa?” nilimuuliza.
“Kwani we unapata tabu gani?” aliniuliza kwa sauti ya kukatakata huku akianza tena! Nilianza kuhisi na yeye ni miongoni mwa majini au viumbe wa ajabu! Yaani mpaka mara hizo kweli jamani?! Akamaliza… akaanza tena…
“Aaa…hii sasa sifa bwana,” nilimwambia.
“Sihitaji sifa yako wewe!” alinijibu, nikabaini haujui msemo huo ndiyo maana alinijibu vile!”
Hali hiyo aliendelea nayo ndani ya karibu dakika arobaini na tano nikabaini kuwa, alikuwa mgonjwa kwani katika hali ya kawaida, mtu hawezi kuwa vile.
Alipindukia upande wa pili na kupitiwa na usingizi. Hapohapo alianza kukoroma kwa kishindo. Nilitoka kitandani, nikaenda kukaa kwenye kochi dogo, nikaanza kukikagua chumba. Kilikuwa kikubwa lakini kilionekana kidogo kwa vile kilikuwa na vitu vingi sana! ni chumba sebule, masofa manne, kitanda, kabati la nguo, la vyombo. Redio kubwa, tivii ya maana, yaani kila aina ya samani inayotakiwa kuwepo ndani ya nyumba ilikuwemo.
Katika hali ya kushtusha, nikaona suruali ya polisi na shati lake, nikatumbua macho…
“Mamaaa…afande,” nilisema moyoni. Nikaanza kuwa na wasiwasi. Kiasili mimi ni mwoga sana wa polisi. Kwa hiyo kujua niliingia ndani ya chumba cha polisi peke yake, ilitosha kunifanya niugue kiuno palepale.
Nilivaa haraka sana, nikasimama na kumwamsha ili niondoke bila kutaka senti tano yake…
“We mbaba…mbaba wewe,” nilimtingisha kwa upole.
“Ee…ee! Unasemaje?” alishtuka kutoka usingizini. Kabla sijamwambia madhumuni ya kumwamsha, akanishika mkono, akanivutia kitandani, nikaanguka puu! Akaanza tena!
Je, nini kiliendelea hapo?
 
SEHEMU YA 03;

Nilivaa haraka sana, nikasimama na kumwamsha ili niondoke bila kutaka senti tano yake…
“We mbaba…mbaba wewe,” nilimtingisha kwa upole.
“Ee…ee! Unasemaje?” alishtuka kutoka usingizini. Kabla sijamwambia madhumuni ya kumwamsha, akanishika mkono, akanivutia kitandani, nikaanguka puu! Akaanza tena!
ENDELEA SASA…
Nilijitahidi kupiga kelele lakini akaniziba midomo ili nisisikike nje…
“Lengo lako nini sasa? Watu wasikie waseme nakubaka si ndiyo? Utakula jeuri yako sasa.”
Wakati anasema maneno hayo, alikuwa akiendelea na zoezi lake na jasho chapachapa maana feni ya chumbani ilikuwa inatoa upepo wenye moto badala ya baridi. Ilibidi nivumilie kwa muda.
Alipomaliza, alitoka kitandani, akaenda kutungua pensi kwenye msumari na kuingiza mkono mfukoni. Alitoa noti nyekundu kadhaa, akanipa mkononi huku akisema…
“Usije ukasema mimi ni fisadi. Hizi zitakusaidia kwa siku mbili tatu, sawa?”
Niliitika sawa haraka sana maana nilitamani kutoka mle chumbani ili nikajue zile noti ni shilingi ngapi!
“Si naweza kwenda sasa?” nilimuuliza huku nikimuangalia kwa macho ya kulegea. Nilikuwa nimechoka sana. Kiu yote ilikatika!
“We nenda, angalia usibakwe lakini,” aliniambia utadhani ni usiku.
Nilipotoka, nilipita kwenye korido haraka sana. Mbele nikikaribia kutoka nje, nikakutana na polisi anaingia, nikashtuka. Nikasema mwenyewe moyoni hii nyumba wanaishi mapolisi nini?
“We unatoka wapi?” yule polisi aliniuliza kwa sauti yenye amri…
“Kule kwa yule…”
“Kule kwa yule nani?”
“Mi simjui jina.”
“Unatoka kwa mtu usiyemjua jina? Inawezekana kweli?”
“Kweli tena.”
“Chumba gani, twende uoneshe,” aliniambia huku akinishika mkono kwa nguvu. Niliwaza kwamba, huenda nikimtambulisha yule mbaba, inaweza kuwa soo kwake maana sikujua huyu ni nani kwake…
“Mi sitaki bwana,” nilisema kwa sauti ya chini…
“Wewe utakuwa unatoka kuiba humu ndani,” alianza dalili za kunibambika kesi sasa…
“Hapana! Natoka kwa mtu wa humuhumu ndani, kweli tena.”
Alizidi kuning’ang’ania, akaniinamia ili kuniambia kitu kwa siri…
“Sikiliza…mimi nakutaka, nikupe shilingi ngapi?”
“Mimi sitaki,” nilisema kwa sauti iliyolegea, hasa baada ya kusikia nipewe shilingi ngapi. Nilihisi huenda ni mipango ya wote wawili, huyu na yule mbaba niliyetoka chumbani kwake…
“Hakuna atakayejua, nitakuingiza kwa siri na kukutoa kwa siri,” alisisitiza kwa sauti iliyotua juu ya sikio langu la kushoto. Nilijikuta miguu ikitembea yenyewe mpaka chumbani kwake. Akafunga mlango.
Tulisimama tukikodoleana macho. Aliniangalia kwa macho yenye uchu mkubwa wa mapenzi maana alikuwa akiyatembeza macho hayo kuanzia miguuni hadi kichwani huku akiwa kama anataka kusinzia…
“Binti umeumbwa vizuri sana. Umezaliwa na nani?”
“Si na mama,” nilimjibu kama niliyeshangazwa na swali lake…
“Hakuwa na baba?”
“Ah! Mi naondoka,” nilimwambia sauti ya kukasirika kwa chini. Lakini lengo langu halikuwa kuondoka bali ni kumsikia atanipa shilingi ngapi…
“Sasa nikupe ngapi? Si useme ili na mimi nijue moja tu,” aliniuliza.
“Elfu hamsini nataka,” nilimjibu kama vile jibu hilo nilitoka nalo nyumbani.
Aliingiza mkono mfukoni na kutoa noti nyingi, akahesabu hamsini tu na kunipatia huku akinishika mkono na kunikalisha kitandani. Hapo sasa nilikuwa najua nina zaidi ya hamsini, maana zile za yule mbaba nilikuwa sijazihesabu.
Nilijichojoa nguo mwenyewe huku nikimwangalia kwa macho ya kulegea kimahaba. Afadhali ya huyu ana sura ya kuvutia kuliko yule mbaba, nilijisemea mwenyewe moyoni.
Nilipomaliza nguo ya mwisho akanisogelea karibu kabisa, akajishika kiuno. Nikajua lengo lake ni nimvue nguo, nikafanya hivyo. Nilimchojoa moja baada ya nyingine mpaka akawa kama alivyozaliwa, wote tukawa sawa, nikapanda mwenyewe kitandani.
Na yeye alifuatia, akaja huku akihemuka tayari! Alinishikashika kama mara tatu tu kisha akaanzisha mechi ya nguvu. Nilikuwa naogopa asije kuwa kama yule wa dakika chache kamaliza, dakika chache kamaliza.
Huyu sasa alianzisha shughuli mpaka ikawa kero. Wakati anaanza nilisikia mtangazaji wa kwenye redio ya jirani akianza kusoma taarifa ya habari ya saa saba mchana. Akamaliza, yakaja matangazo ya vifo, akamaliza, yakafuatia matangazo madogomadogo, yeye bado tu!
Ilifika mahali nikahisi anataka kunikomoa kwa ajili ya ile fifte yake aliyonipa. Na vile sikuwa na kiu ya kivile, ni tamaa ya pesa tu, nikasema nimrudishie pesa yake lakini moyoni nikajiona mjinga, yaani mechi ianze, ifike katikati halafu nimrudishie pesa zake, haiwezekani, nikakomaa…
“Bwana mimi nachelewa sasa,” nilijaribu kutumia ujanja huo…
“Sasa hivi tu,” alisema haraka.
Tulikuwa tunatokwa jasho mpaka basi. Godoro lote lilijaa jasho. Alikuwa akiendelea na mechi huku akijifuta jasho mwenyewe. Nilianza kuhisi kifo kinanijia, maana sasa niliishiwa nguvu na kushindwa kufanya lolote, akanitahadharisha…
“Uvivu wako unaweza kusababisha tukaondoka na giza,” alisema, moyoni nikamkatalia. Afike na giza amekuwa nani yeye..!
“Nimechoka bwana,” nilisema huku nikianza kujitahidi tena ili nione kama atamaliza…
“Ti! Ti! Ti! Ti! Ti! Tiii! Hivi sasa ni saa nane kamili mchana,” mtangazaji wa kwenye ile redio ya nyumba ya jirani alisema…
Je, nini kiliedelea hapo?
 
  • Thanks
Reactions: Lee
SEHEMU YA 04:


“Uvivu wako unaweza kusababisha tukaondoka na giza,” alisema, moyoni nikamkatalia. Afike na giza amekuwa nani yeye..!
“Nimechoka bwana,” nilisema huku nikianza kujitahidi tena ili nione kama atamaliza…
“Ti! Ti! Ti! Ti! Ti! Tiii! Hivi sasa ni saa nane kamili mchana,” mtangazaji wa kwenye ile redio ya nyumba ya jirani alisema…
SHUKA NAYO…
Nilimsukuma yule mwanaume, akaangukia pembeni…
“Haaa! Utadhani upo kazini bwana,” nilimwambia.
Alinishika kwa nguvu na kuniambia nimpe dakika tano tu atakuwa amemaliza. Kwa vile nilikuwa chumbani mwake, nikajua nikisema nikatae angenibaka hivyo ningeumia. Nikakubaliana naye, nikamwambia nampa dakika tano tu.
Akaanza bwana, lakini pia safari hii akatutumuka mpaka nikasikia redio ikisema ni saa nane na nusu na kipindi cha muziki wa kizazi kipya kikaanza. Nikajua ni yaleyale wakati nataka kumsukuma tena ili niondoke na kuondoka ndani ya chumba hicho, ndiyo akafanikiwa kumaliza.
“Da! Sikutaki tena,” nilimwambia kwa sauti yangu iliyojaa hasira.
Nilitoka na kukaa kwenye kiti kwanza. Nikamwangalia kwa macho yasiyoamini. Nilimtafakari yeye lakini pia nikamtafakari Mungu na uumbaji wake. Nilimshangaa yule wa kwanza kutumia dakika chachechache na kumaliza kila wakati halafu huyu kutumia lisaa lizima na kumaliza kwa tabu.
Sasa kwenye kutoka ikawa ishu nyingine kwani sikujua nje alisimama nani! Nilimwomba yule mwanaume anisaidie kutoka kwenda kuangalia akanikatalia…
“We toka tuuu! Kwani unamwogopa nani?”
“Namwogopa yule wa kwanza jamani, toka…”
“We toka, hakikisha unakuwa makini tu,” aliniambia. Nilimshangaa sana. Nilipata picha kwamba, ndani ya nyumba ile waliishi maisha ya kutoheshimiana ndiyo maana yule mwanaume alijiaminisha vile.
Nilifungua mlango huku najitengeneza vizuri nguo na nywele maana nywele zilikuwa timtimu kwa kugalagazwa kitandani.
Nilitoka haraka sana, ile nataka kufika kwenye mlango wa nje, nikashikwa mkono na mtu aliyetoka kwenye chumba kilichopakana na cha yule mwanaume wa pili. Nilishtuka sana, mimi nilijua yule mbaba mwenyewe wa kwanza…
“Ingia…ingia tuongee tafadhali,” alisema…
“Sitaki,” nilimjibu lakini alikuwa amenikamata kwelikweli. Akanizidi nguvu, nikaingia chumbani kwake…
“Usipige kelele, mimi si mtu mbaya,” aliniambia kwa sauti ya chini aliyoielekeza kwenye masikio yangu…
“Unasemaje?” nilimuuliza kwa hasira.
Akaniinamia mpaka sikioni tena maana alikuwa mrefu sana kwangu, akaniambia…
“Unajua wakati uko kwenye chumba cha afande Kipara niliumia sana niliposikia mlio wa kitanda, nikaamua kusimama mlangoni ili ukitoka na mimi nikudake kwa siri, lakini ungetoka na afande Kipara mwenyewe nisingekushika.”
Bado nilikataa. Nilikuwa nimechoka sana kwa wakati huo nilichokuwa nahitaji ni kurudi nyumbani kupumzika.
“Mimi sitaki bwana…”
“Aaa binti…vibaya hivyo! Sasa unadhani mimi nitajipoza vipi kama wewe unanigomea?”
“Mimi sijui,” nilimwambia huku nikijitoa kwenye mikono yake kwa nguvu.
Moyoni niliamini mawili. Moja, wanaume wote kwenye ile nyumba walikuwa na mpango mmoja, kunichangia kwa mtindo ule. Kwa hiyo kila mmoja alijua nimeingia, sasa niko kwenye mechi kitandani na sasa natoka. Au, wakaaji wa mle ndani walizoea kuchukuliana mademu kwa kuzungukana wakitumia pesa zao…
“Simalizi hata dakika kumi,” alisema yule mwanaume wa tatu.
Moyoni nilimwonea huruma. Masikini, mwanaume wa watu, mzurizuri halafu anaongea kwa kwa upole na anachotaka kwangu ni uamuzi wangu ambao haupingwi na mtu, kwa kweli niliamua kukubaliana naye tena kwa bure…
“Lakini isifike dakika kumi kweli,” nilimwambia kwa sauti ya kumuonya mapema…
“Sifiki…da! Hata siamini,” alisema…
“Huamini nini sasa?”
“Kama kweli umenikubalia baby, maana ulivyokuwa ukilalamika chumbani kwa afande Kipara nilijua huyo mtoto ni mzuri sana, sasa kukuona laivu hapa hivi nimekukubali, wewe ni mzuri bwana…umeumbwa ukaumbika,” eti alianza kuniita baby palepale na kuanza kunipamba.
Niliachia tabasamu la kujilazimisha maana mwili ulikuwa hautaki kabisa kuingia kwenye mechi kwa siku hiyo kutokama na mchakachaka niliokutana nao ambao sijawahi hata kuusikia kwa wenzangu.
“Panda basi kitandani baby,” aliniambia kwa upole sana.
Kwa unyonge nilianza kuchojoa huku nikisema…
“Una bahati sana wewe…nimekuonea huruma kwa sababu ya ulivyokuwa ukiomba kama unalia. Halafu shukuru kwetu tumelelewa kutokuwa wachoyo,” nilimwambia sasa nikipanda kitandani baada ya kuchojoa zote.
Alikuja kitandani kama anataka kupitiliza afike dirishani. Lakini ghafla akatoka. Kumbe alisahau kufunga mlango…
“Da! Afande Kipara anapenda kuingia kwangu bila kupiga hodi, angetukuta katikati ya mchezo,” alisema akiwa anarudi kitandani.
Kwa mbali nilijikuta nasisimka kama binadamu. Kama mwanamke, tena mwanamke mwenyewe msichana, kijana kama mimi, damu bado changa! Lakini moyoni nilijiambia…
“Ila mimi ni kiboko…nyumba moja, wanaume watatu tena afadhali ingekuwa siku mbalimbali, leoleo?! Mh!”
Wakati nawaza hivyo, yule mwanaume alinitegesha, nikakaa mkao wa kutengwa…
“Ngo… ngo…afande Mwira,” sauti iliita nje baada ya kugonga mlango…
Je, nini kiliedelea hapo?
 
SEHEMU YA 05:


Kwa mbali nilijikuta nasisimka kama binadamu. Kama mwanamke, tena mwanamke mwenyewe msichana, kijana kama mimi, damu bado changa! Lakini moyoni nilijiambia…
“Ila mimi ni kiboko…nyumba moja, wanaume watatu tena afadhali ingekuwa siku mbalimbali, leoleo?! Mh!”
Wakati nawaza hivyo, yule mwanaume alinitegesha, nikakaa mkao wa kutengwa…
“Ngo… ngo…afande Mwira,” sauti iliita nje baada ya kugonga mlango…
ENDELEA MWENYEWE SASA…
“Unaona sasa?” nilimsema yule. Kumbe ni afande Mwira…
“Shii,” alinipa ishara kwa mkono kuashiria kwamba nisiseme. Nikakaa kimya. Hapo tayari niko kitandani ujue, tena nimeshategwa!
“Afande Mwira,” ile sauti iliita tena. Safari hii kwa juu kidogo. Niliweza kuitambua kwani nilikuwa makini nayo, nikabaini ni ya yule mbaba wa kwanza kabisa…
“Ee afande,” aliitika afande Mwira sasa…
“Umelala?”
“Hapana, vipi?”
“Tuongee kidogo basi.”
Mimi mapigo ya moyo yalishika kasi, kusikia tuongee kidogo maana si afande Mwira alishasema kuwa, kuna mwenzake ana tabia ya kuingia bila kupiga hodi.
Ingawa mlango ulifungwa lakini nilikuwa nina wasiwasi, hasa nilipojaribu kukumbuka kwamba, huenda nilikuwa natembea kwenye mtego wa wanaume.
Afande Mwira alitoka kitandani, akavaa bukta na kwenda kufungua mlango kisha akasimama mlangoni ili yule mwenzake asiingie…
“Vipi…yaani kuna kabinti bwana nilikuja nako leo…weee! Moto! Kabinti katundu kitandani kama kamechezwa ngoma za kwetu. Kuna siku nitakaleta tena utakaona…kabinti kamjini…pale niko tayari kuteketeza hata mshahara wangu ili nikaoe,” hayo maneno yalikuwa yakitoka kwenye kinywa cha yule mbaba.
Hapo hakuna shaka moja kwa moja kwamba alikuwa ananizungumzia mimi. Nilishangaa sana na misifa hiyo kwangu…kumbe mpango wake ni kunioa, nilichekea moyoni…
“Lo! Kanakaa wapi?” aliuliza afande Mwira ambaye mimi nilikuwa kitandani kwake…
“Kwao.”
Afande Mwira alicheka, mimi mwenyewe pia nilijikuta nikicheka maana sikutegemea jibu hilo. Mtu anaulizwa ‘anakaa wapi?’ anajibu ‘kwao’. Lazima itakuwa kwao, sasa huko kwao ni wapi?
“Mbona unacheka afande Mwira?”
“Nacheka maana umenipa jibu ambalo lipo….”
“Anasema anakaa mitaa ya Wailes kule, kwa baba yake na mama yake.”
Hakuna kubwa waliloendelea kuzungumza, afande Mwira akamuaga mwenzake, akarudi ndani akifunga mlango kwa kitasa taratibu sana…
“Hivi wewe binti, kumbe upo hivyo?” afande Mwira aliniuliza…
“Nikoje?”
“Yaani humu ndani leo ulikuwa kwa wanaume wangapi?”
“Kwani vipi?”
“Huyu afande anasema ulikuwa kwake lakini mimi si nilikusikia ukihema kwa afande mwingine?”
“Labda mwingine. Nyie wenyewe mnaonekana humu ndani mnapenda sana wanawake…”
“Kwani we unakaa wapi?”
“Si Sinza…”
“Sinza! Hukai mitaa ya Wailes wewe?”
“Aka! Wailes napajulia wapi mimi.”
Nilimwona akilainika, akaachana na maswali yake, akazidi kunitega, filimbi ikapulizwa, mchezo ukaanza.
Safari hii niliamua moja, kwamba hata kama nitajiachia vipi sitahemuka tena kwani niligundua nikihemuka ndiyo nasikika na wengine, halafu wananifanyia taiming.
Huyu naye alikuwa wa aina yake, badala ya mimi kuwa na sauti ya muhemko nilimshangaa yeye akaanza kupiga kelele…
“Weee! Weee! Ndiyo nini sasa?” nilimuuliza mwenzangu kwa sauti ya chini…
“Ni kawaida yangu…hii ni kawaida yangu binti,” alinijibu kwa sauti ya juu huku akiendelea na kelele zake.
Ilibidi nisitishe kutoa ushirikiano kwani sasa nilianza kuhisi tunaumbuka wote. Nilijua kelele zake za mahaba zingefika hadi kwenye vyumba vya maafande wengine halafu wangefuatilia kujua kwa afande Mwira kuna nini kinaendelea…
“Sasa inakuaje tena binti…eee! inakuaje?”
Kusema kweli kwa sauti ya juu aliyokuwa anaisema, ilibidi niache kabisa kuendelea na soka…
“Kama uko hivyo siwezi kuendelea na wewe. Unapiga kelele kama ndiyo siku yako ya kwanza bwana,” nilimsema.
Lakini nikahisi dalili kwamba kuna mtu au watu wameshika kitasa cha mlango…
“Wee unasikia…kuna watu mlangoni…kitasa chako kimeshikwa na mtu,” nilimwambia hivyo, ndiyo kidogo kwa mbaaali nikamwona anaacha manjonjo na kukazia macho kwenye mlango.
“Afande Mwira…afande Mwira,” sauti za mtu zaidi ya mmoja zilisikika.
Nilimwona afande Mwira akinyong’onyea kila sehemu ya mwili mpaka kule!
“Eee,” aliitika…
“Mbona unapiga kelele?” hii sasa ilikuwa sauti ya yule mbaba wangu wa mwanzo kabisa…
“Niko sawa jamani…mbona kama tunaanza kufuatanafuatana?”
“Kama upo sawa hebu fungua mlango basi,” ilisema sauti nyingine lakini nayo niliikumbuka ni ya yule afande wa pili aliyenikatia nusu laki.
Nilijua kimenuka, msichana naumbuka. Tena mbaya zaidi naumbukia kwa mtu niliyeamua kwenda naye bureee! Kwa kumwonea huruma…
“Fungua bwana…inasemekana uko na kale kabinti…”
 
SEHEMU YA 06:

“Kama upo sawa hebu fungua mlango basi,” ilisema sauti nyingine lakini nayo niliikumbuka ni ya yule afande wa pili aliyenikatia nusu laki.
Nilijua kimenuka, msichana naumbuka. Tena mbaya zaidi naumbukia kwa mtu niliyeamua kwenda naye bureee! Kwa kumwonea huruma…
“Fungua bwana…inasemekana uko na kale kabinti…”
TAMBAA NAYO MWENYEWE…
Nilimwona afande Mwira anatetemeka, lakini hakunishinda mimi. Nilitetemeka zaidi kwani nilianza kuhisi hali ya kupoteza fahamu kutokana na kuzomewa kwa kitendo changu cha kuwanyang’anya wanaume watatu kwenye nyumba moja na kwa siku moja, tena muda huohuo.
Nilimtaka afande Mwira asingue kwani kufanya hivyo kungenileta balaa zaidi kuliko kutofungua…
“Na leo atakula jeuri yake,” yule mbaba wa mwanzo alisema ndiyo nikazidi kuchanganyikiwa zaidi, nikaogopa sana.
Ilifika mahali nikahisi nataka kulia, niliulaumu sana moyo wangu kwa kitendo kile.
Sasa wale maafande wakawa wanagonga mlango kwa nguvu huku wakitishia kuvunja kama yule afande niliyenaye hatafungua mlango mwenyewe.
“Kwani siwezi kupita kwenye hili dirisha?” nilimuuliza baada ya kuangalia dirisha na kugundua halina zile nondo zinazokatisha katikati ili mwizi asipite. Ni zile nyumba zilizojengwa zamani kidogo.
Cha ajabu yule afande chumbani badala ya kunijibu, akawa eti anataka tuendelee na zoezi letu la mechi ya kitandani. Nikamkatalia katakata na kutoka kitandani…
“Hivi wewe una ukali kweli? Yaani unaona kabisa unagongewa na wenzako tena wanaonekana wanajua kila kitu halafu bado unataka tuendelee!” nilimsema nikiwa napanda dirisha, akanisaidia kutoka kwa kunisukuma, nikaangua upande wa pili…tii!
Kusema ukweli niliumia, hata niliposimama ili nitembee nilijikuta nachechemea.
Nikachechemea mpaka nyumbani ambapo mama aliponiona nachechemea akataka kujua kisa…
“Nimeumia mama…”
“Umeumia na nini?”
“Nilianguka kwenye mtaro mama.”
“Kwanza unatoka wapi?”
“Nilikwenda sokoni mama…”
“Kununua nini na nani amekutuma?”
“Vitu vyangu…”
“Viko wapi?”
Niliangalia chini kwa aibu maana maswali ya mama yalikuwa ya msingi…
“Si nakuuliza wewe!”
“Nisamehe mama,” nilisema nikiwa naangalia chini kwa aibu…
“Kwanza hutoki kwa mwanaume wewe?” mama alinipiga swali jingine gumu sana. Nilitetemeka, moyoni nikasema…
“Si mwanaume mama, natoka kwa wanaume watatu, hapa nimechoka ile mbaya.”
“Si nakuuliza wewe.”
“Ndiyo mama…”
“Sasa..?”
“Sitoki huko mama…”
“Twende chumbani kwako.”
Jamani, mama yangu namfahamu vizuri sana, aliposema twende chumbani kwangu nilijua anataka akanipekue. Sasa unadhani ingekuaje?! Ningekubali kwenda? Wee!
“Mama nisamehe, tusiende chumbani.”
“Basi niambie ukweli.”
Nilishindwa kumwambia ukweli mama. Hata ungekuwa wewe ungemwambiaje!
“Leo humu ndani huingii mpaka useme unatokea wapi?”
“Mama natoka kwa rafiki yangu.”
“Wapi?”
“Temeke Mwisho.”
“Twende sasa hivi tukamuulize kama kweli wewe ulikwenda kwake. Usimpigie simu wala usimtumie meseji,” alisema mama. Alinipa mawazo mengine tena, nikaona hakuna haja, ni kulisanua tu.
“Mama nilikwenda kwa mwanaume kweli,” nilimwambia mama huku nikimwangalia kwa macho ya umakini sana ili asije akanivaa na kunipiga.
“Mwanaume gani?”
“Simjui mama…”
“Ha! We mtoto…mwanaume humjui na unakwenda kwake? Twende sasa hivi ukanioneshe hiyo nyumba uliyoingia,” alisema mama akinishika mkono.
Kweli, mama hakuwa na mchezo wala utani, tulianza safari. Mama yangu mimi ni mkali sana hivyo sikuweza kumkatalia hata kidogo.
Tulikata mtaa, tukatokezea kwa mbele, tukaingia barabara kuu, tukavuka, tukatokea kwenye mtaro, tukauruka.
Sasa watu wakawa wanatuangalia. Wapo waliosema napelekwa kuozeshwa kwa nguvu, wapo waliosema nakwenda kukeketwa, wengine walisema napelekwa hospitali kutolewa mimba maana ni mitaa ya hospitali.
Nilifikiria namna ya kumpotosha mama, kwamba badala ya kumpeleka pale kwa jina afande Mwira nitafute nyumba yoyote yenye kufuli niseme ni hapo, lakini mwenyewe katoka…
“Bado hatujafika?” mama aliniuliza kwa ukali. Aibu hana wala kuniwazia mimi kwamba naaibika, wala!
“Ni pale mama, tumefika,” nilimwambia nikimwonesha nyumba nyingine nikijua mlango umefungwa lakini kumbe wenyewe walikuwepo maana ile tunakaribia tu, wakatoka wanawake watatu.
“Ndiyo pale wanapotoka wale wanawake?” aliniuliza mama.
“Hapana, kwa nyuma.”
Na kweli, kwa nyuma ndiyo nyumba ya akina afande Mwira ilipo, tukafika sasa…
Je, nini kiliendelea hapo?
 
SEHEMU YA 07:


“Ni pale mama, tumefika,” nilimwambia nikimwonesha nyumba nyingine nikijua mlango umefungwa lakini kumbe wenyewe walikuwepo maana ile tunakaribia tu, wakatoka wanawake watatu.
“Ndiyo pale wanapotoka wale wanawake?” aliniuliza mama.
“Hapana, kwa nyuma.”
Na kweli, kwa nyuma ndiyo nyumba ya akina afande Mwira ilipo, tukafika sasa…
SHUKA NAYO…
“Ni wapi?” mama aliniuliza kwa ukali…
“Hapa mama,” nilimwonesha mama ile nyumba. Cha ajabu sasa, mlango ulifungwa kwa kufuli jambo ambalo lilinishangaza sana mi mwenyewe…
“Mbona pamefungwa na kufuli?” mama aliniuliza swali ambalo si langu. Sasa mimi ningejibu nini kwa huyu mama, kwani mimi ndiye nilifunga kufuli?
“Mama hata mimi sijui kwa nini kuna kufuli,” nilimjibu tukiwa tumesimama.
Mara tukasikia mtu akitembea kwa ndani na kutokea mlango wa uani ambao ulisikika sawasawa.
Kutembea kule kukawa kunakuja mbele tuliposimama sisi, yaani mimi na mama.
“Karibuni,” mwanaume mmoja, mrefu sana, mweusi tii, alitukaribisha huku uso wake ukionesha dalili zote za kutoka kulala…
“Huyu alikuja hapa?” mama aliuliza bila salamu.
“Kuja kufanya nini?”
“Nimeuliza alikuja hakuja?” mama alikuja juu.
“We mama…una akili kweli? Huna salamu…huna maneno mazuri unauliza huyu alikuja hapa…alikuja kwa nani na kufanya nini?”
Mama alinigeukia mimi…
“Kumbe unanidanganya siyo?”
“Mama ni hapa, siwezi kukudanganya mama,” nilimjibu mama nikijua hashindwi kuniachia kichapo mbele ya yule mtu mweusi tii!
“Kwani binti unamtafuta nani au ulikuja kwa nani?” yule mtu mweusi tii aliniuliza…
“Namtafuta afande Mwira na wenzake.”
“Unawajua?”
“Nawajua.”
“Muda huu wameshakwenda kwenye lindo. Kurudi hapa ni saa kumi usiku. Mimi ndiyo nimerudi muda si mrefu,” alisema yule mtu.
Mama alikunja sura, akamwangalia yule mtu, akamuuliza…
“Huyu hujawahi kumwona hapa baba?”
“Hapana…”
“Hapana mama…”
Mimi na yule afande, wote tulikataa kwa pamoja ila sema mimi niliongezea na neno ‘mama.’
Mama alisimama akijifikiria kwa muda kisha akafyatuka…
“Sasa huyo afande Mwira sijui, nataka umjulishe kwamba namwachia mzigo huu. Akija hiyo saa ngapi sijui, atamkuta. Hawezi kumchezea mwanangu hivihivi naona. Kama alimwona anafaa angejitokeza nyumbani.”
“Mama…mama punguza jazba, nimekwambia afande Mwira na wenzake wanarudi saa kumi usiku, utamwachaje mwanao hapa? Kwanza mbona anaonekana ni binti mkubwa, ina maana hawezi kujichunga mwenyewe?”
“We unaangalia mwili, ana ukubwa gani huyu? Amejaa tu manyamanyama…mtu ana miaka 22 ndiyo mkubwa?” alisema mama huku mate yakimtoka kinywani kama mvua za kushtukiza…
“Huyu ana miaka 22?” aliuliza yule mtu kwa sauti yenye mshangao…
“Mimi ndiyo mama yake, namwacha hapa. Akija huyo afande Mwira mkabidhi, nitamfuatilia kesho,” alisema mama akiondoka.
Nilitamani kumfuata mama kwa nyuma lakini nikajua nikifanya vile kwa wakati ule, moto utawaka. Nikaamua kusubiri baadaye sana.
Lakini moyoni nilisema, ‘mama ungejua…si afande Mwira tu, na wenzake. Sasa kama kubaki au kukabidhiwa nije kukabidhiwa kwa nani?’
Sasa tukabaki mimi na yule mtu tunaangaliana…
“Unaitwa nani wewe?” aliniuliza kwa sauti ya chini huku akiniangalia kwa macho ya mlegezo…
“Rhoda…”
“Unaishi wapi?”
“Kule Wailes…”
“Unaishi na baba yako?”
“Ndiyo, lakini kasafiri…”
“Sasa huyo afande Mwira mlikutana wapi?”
“Kule barabarani.”
“Akaja na wewe hapa?”
“Ndiyo.”
“Kwa ajili ya nini?”
Eti hilo nalo lilikuwa swali jamani? Mtu anajua afande Mwira ni mwanaume, mimi ni mwanamke. Sasa anadhani pale nitakuwa nilifuata nini?!
“Kwani we unamzungumza afande Mwira gani?” nilimuuliza swali badala ya kumjibu…
“Si huyu wa chumba cha kati…”
“Mwanaume?” nilimuuliza kwa kebehi…
“Ndiyo,” alijibu…
“Huyohuyo,” nilimjibu.
Akaniambia basi karibu ndani ukae umsubiri afande Mwira tuone inakuaje?
Wakati anasema hivyo alikuwa akitembea kuelekea ndani nikamfuata kwa nyuma mpaka ndani kwake, yaani chumbani kwake. Nilichobaini ni kwamba, ile nyumba kila mtu alikuwa ana chumba tu. Na chumba hicho ndiyo kilikuwa sebule na chumba cha kulala…
“Kaa hapo,” aliniambia akinionesha kochi kubwa. Nikakaa pwaa! Maana mimi naye, wowowo peke yake ni shughuli nzito…
Je, nini kiliendelea hapo?
 
SEHEMU YA 08:


Wakati anasema hivyo alikuwa akitembea kuelekea ndani, nikamfuata kwa nyuma mpaka ndani kwake, yaani chumbani kwake. Nilichobaini ni kwamba, ile nyumba kila mtu alikuwa ana chumba tu. Na chumba hicho ndiyo kilikuwa sebule na chumba cha kulala…
“Kaa hapo,” aliniambia akinionesha kochi kubwa. Nikakaa pwaa! Maana mimi naye, wowowo peke yake ni shughuli nzito…
TAMBAA NAYO MWENYEWE…
Nilijitupa kwenye kochi na kumwangalia yule mwanaume ambaye naye alionekana kunishangaa sana mimi lakini sikujua ni kwa nini anishangae vile…
“Kwani wewe una matatizo gani na mama yako mzazi?” aliniuliza yule mwanaume huku macho yake yakipepesa kwingine na si kwangu…
“Unajua mama ‘angu ana matatizo makubwa. Eti kisa nilikuwa humu ndiyo akamaindi na kuamua kunirudisha.”
“Ulikuwa humu kweli au ulimdanganya?”
“Nilikuwa humu kweli?”
“Humu kwangu?”
“Hapana, kwa afande Mwira.”
Niliamua kukomaa na afande mmoja tu kwa vile nikisema watatu, ningekuwa kituko cha mwaka huu unaoisha kwa tumbuatumbua.
“Ni nani yako?”
“Mpenzi wangu wa ghafla.”
“Khaa! Mpenzi wako wa ghafla? Oke! Sasa unadhani mpaka afande arudi usiku wa saa kumi utalala wapi?”
“Nitarudi nyumbani.”
“Mama ‘ako atakuelewa?”
“Najua hatanielewa, lakini sasa wewe unadhani mimi nitalala wapi kama siyo nyumbani?”
“Oke..umekula?”
“Sijala na njaa imenikaba ile mbaya.”
“Nikupe nini ule?”
“Umepika nini kwani?”
“Sijapika chochote. Wewe sema utakula nini?” aliuliza huku akiniangalia kwa macho yenye maswali mengi kuhusu mimi.
“Utakachoamua wewe mimi nitakula tu,” nilimjibu kwa sauti iliyojaa ushawishi kwa mwanaume yeyote rijali wa kweli.
Alikwenda kwenye friji, akatoa mayai matano, akaenda pembeni ya mlango ambapo pana meza yenye jiko dogo la gesi, akasetiseti mambo yake pale, akaanza kukaanga mayai bwana.
Alipomaliza akayaleta meza ndogo ya katikati kisha akaenda kuchukua chupa ya chai, akaileta, akarudi tena kwenye friji akatoa mkate, akauleta mezani, akaniambia karibu chai…
“Nakunywa peke yangu?” nilimuuliza kwa sababu nilimwona yeye akikaa kwenye kochi jingine pembeni…
“Sasa ulitaka unywe na nani? Afande Mwira si nimekwambia atarudi usiku sana?” alisema.
Nilihisi anaweza kuwa mwanaume mwenye utofauti na wenzake. Hakuonekana kunishobokea kama maafande wenzake wa mwanzo, akina afande Mwira.
Nilijiungia chai, nikanywa wewee na mayai yote matano nikayamaliza, nikashiba vizuri sana. Nilitoa vyombo mwenyewe nikaviweka kwenye ndoo chini ya meza ya jiko. Nikarudi kukaa na kumshukuru huku simwangalii usoni…
“Nakushukuru sana kwa chai, nimeshiba,” nilisema, lakini hakujibu, nikamshukuru tena, pia hakujibu, nikamwangalia. Kumbe alikuwa amelala zamani gani!
Nilimfuata na kumtingisha…
“Oyaa! Anko…anko.”
Alishtuka na kunikodolea macho mekundu ya kutoka kulala…
“Vipi?” aliniuliza…
“Nasema asante sana kwa chakula. Nimeshiba.”
“Sawa, pumzika sasa, ukijisikia kwenda kwenu nenda,” alisema, akaendelea kujiliza.
Nilianza kuamini kuwa, duniani kuna wanaume wakamilifu na wengine siyo. Na huwezi kumjua kwa kumwangalia kwa macho ya kawaida mpaka vitendo.
Yaani jamaa alivyo na mvuto, mwili wenye siha njema, yuko na binti kama mimi, mbichi, nina mvuto wa kisichana halafu anachengachenga…mh!
Nilichofanya, badala ya kukaa pale kwenye kochi, nikaenda kujilaza kitandani. Miguu ilining’inia, kuanzia kiunoni kwenda juu kulikuwa kitandani.
Kila dakika kadhaa, niliinua shingo kumwangalia mwenyeji wangu pale alipolala, nikabaini anakoroma…
“Loo! Maskini…ananikosa hivihivi kwa kuendekeza usingizi,” nilisema moyoni huku na mimi nikiwa nanyemelewa na usingizi kwa mbali maana nilikuwa nalishia kama samaki kwenye bwawa.
Nilishindwa kujivumilia, maana mwanaume ni mwanaume, mwanamke ni mwanamke, kitendo cha kuwepo wawili chumbani kwangu hakikuvumilika. Afadhali basi angekuwa anko wangu au mtoto wa shangazi, lakini simjui, hanijui, loo!
Niliinuka, nikatembea kwa kunyata mpaka alipokuwa amelala, nikakaa jirani yake lakini nikijitahidi nisimguse kwanza.
Baada ya kukaa, nilimgeukia kumwangalia. Kumbe alikuwa ametoka kunyoa, nilikuwa nahisi manukato ya kunyolea yale.
Nilipeleka mkono kumshika kidevu, nikakipapasa, akatingishika, nikaacha. Akaendelea kukoroma, nikapeleka mkono kifuani, nikaanza kumpapasapapasa kwa mbali sana, akatingishika, akapeleka mkono pale kifuani kama aliyehisi pana mdudu kwa hiyo alitaka kumtoa. Nikaacha, akaendelea kukoroma.
Nikapeleka mkono kinywani sasa maana kinywa kilikuwa wazi, akakivuta na ulimi, nikakitoa. Nikajua kumbe anapenda vitu vikiwa kinywani, nikamsogelea huku natoa ulimi, akapanua kinywa tena!
Je, nini kiliedelea hapo?
 
SEHEMU YA 09:


Nikapeleka mkono kinywani sasa maana kinywa kilikuwa wazi, akakivuta na ulimi, nikakitoa. Nikajua kumbe anapenda vitu vikiwa kinywani, nikamsogelea huku natoa ulimi, akapanua kinywa tena!
JIACHIE MWENYEWE…
Nikamuingizia kidole, akakipokea. Sijui ilikuwaje, nikajisahau, nikakikandamiza vibaya akashtuka…
“Ha! We una nini tena? Si umeshakula? Unataka nini?” alisema mfululizo akiwa amekaa na kunitumbulia macho pima…
“Samahani sana bro, nilijisahau tu…”
“Ulijisahau ukadhani?” aliniuliza akionekana ni mtu makini kuliko watu makini unaowajua wewe…
“Nilidhani wewe ni boifrendi wangu…”
“We una boifrendi?”
“Ndiyo…”
“Kabisa… kabisa?”
“Kabisa…”
“Ina maana wewe ni mzoefu wa mapenzi?”
Swali hilo lilinifanya niachie tabasamu laini na kuona aibu kwa mbali. Kwani lilikuwa swali la mtego sana. Alitaka niseme ndiyo mimi ni mzoefu ili iweje sasa?
“Mbona unatabasamu?” aliniuliza.
Kwanza, mpaka hapo ujue tulikaa beneti kwenye kochi moja na nilikuwa nimemwegemea…
“Nimefurahi tu, swali lako zito sana.”
“Uzito uko wapi? We huogopi mimba?” aliniuliza akiniangalia kwa karibu yake.
“Nazijua siku za hatari kwa mimba,” nilimjibu huku nikiwa namshikashika kidevu chake chenye ndevu za kuhesabia. Si unajua mapolisi!
Nilishangaa kumwona ametulia tuli. Nikazidi kumshikashika kidevu, nikahamia kwenye kifua, nikawa nakipapasa nikimwangalia kwa macho ya mlegezo…
“Tukifumwa je?” aliniuliza…
“Na nani?”
“Afande Mwira…”
“Kumbe harudi tena usiku, ni muda wowote?”
Nikamwona anacheka, alijua nimemuuliza kwa maana ya kumtega pia maana ni yeye aliyesema wale kurudi kwao ni saa kumi usiku, sawa tutafumwa na nani!
“Una maswali we binti,” alisema.
Nikamkatisha kwa kumuuliza swali jingine kabisa…
“Kwani we unaitwa nani?”
“Afande Mwita.”
“He! Yule afande Mwira, wewe afande Mwita…”
“Si mimi, kuna afande Mwita wawili humu ndani. Pia kuna afande Marwa na afande Chacha.”
“He! Kwa hiyo wote ni wa kule?”
“Kulekule ndiyo. We kwenu wapi?”
“Morogoro, lakini baba kazamia Dar miaka kibao tangu yuko yanki!”
“Yanki ndiyo nini?”
“Kijana.”
Afande Mwita alicheka, akanishika kwa mabegani. Akanivutia kwake, nikaelekea bila ubishi, tena alichelewa kunivutia kwake. Akanibusu, nikabusika! Yaani ile mwaaa…na mimi nikafanya mwaaa! Ndiyo kubusika huko…
“Utatunza siri?” aliniuliza kwa sauti ya chini kabisa…
“Kivipi?”
“Yaani hutamwambia chochote afande Mwira kwamba uliingia chumbani kwangu?”
Badala ya kumjibu, nilipeleka mkono hadi kwenye sehemu ya mbele ya suruali. Nikataliitalii hapo mpaka akaniangukia kabisa kwangu, puuu…hoi afande Mwita…
Nikasimama bwana, aibu nikaiweka kando. Loo! Mimi ni mwanamke, yeye ni mwanaume, sasa cha ajabu kipi? Nikamchojoa nguo moja baada ya nyingine…
“Lakini we mtoto kweli upo radhi kabisa?” aliniuliza majibu.
“Kwa nini?”
“Yaani umeamua kutoka moyoni?”
“Kwamba?”
“Kwamba tunaingia kwenye mechi?”
Badala ya kumjibu nilimwangalia kwa macho yangu yale ya kulegeza. Hata kama ni wewe, nikikuangalia kwa macho yangu hayo mwenyewe utaona aibu…
“Lakini hutasema?” aliniuliza.
Badala ya kumjibu nikapiga magoti. Sasa ningemjibu nini wakati kila kitu anakijua. Mimi nitasemaje wakati mwenyewe ndiyo nimeanza uchokozi? Afande wa watu mwenyewe alikuwa amejilalia zake, anakoroma na ameniacha nimeshiba…
“Eti, nihakikishie kwanza, hutasema?” alinishika kichwani na kuniuliza wakati mimi mwenzake nishaanza kuimba nyimbo nzuri za mahaba. Nilitingisha kichwa kwenda juu na chini kwa ishara ya kumkubalia. Ningetikisa kwenda kulia na kushoto maana yake ni kukataa.
Basi, akajiegemeza na kuniacha niendelee kuimba. Wakati naimba yeye akawa anaitikia kwa sauti ya besi. Sasa ukichanganya sauti yangu na yake, tulitoa mlio mmoja mzuri sana kwa wapita njia kama walipita kweli nje.
Mwenzangu, japo nilisema niimbe kwanza mpaka ashindwe yeye lakini nilishindwa. Nikaacha kuimba, nikasimama na mimi nikaanza kujichojoa, moja baada ya nyingine. Tukawa saresare maua, anayejua kuchagua.
Akiwa amekaa, nikasema hapahapa, hakuna kuutumia uwanja wa taifa, tukaamua kuutumia uwanja wa shamba la bibi.
Kumbe jamaa bwana ni mtaalam. Alinishika, akanikamata, akanibana, akaning’ang’ania. Uwanja ukawa hautoshi, akanitupia uwanja wa taifa. Tukaendelea. Lo!
Kazi ikawa kwenye mapozi, mara aliniambia nisimame juu ya uwanja, mara aliniambia nikae. Mara aliniambia nimbebe mtoto mgongoni! Mh!
Nilipomtangazia kwamba nataka kutafuna korosho akaniachia, akapunguza mashambulizi akisema nisitafune korosho wala karanga mpaka tutafune wote.
Nilimkubalia, tukaendelea. Lakini akiwa anatangaza kutafuna korosho, na mimi nikatangaza kumuunga mkono, mlango si ukagongwa bwana!
“Ngo…ngo…ngo…we Rhoda…”
Je, nini kiliedelea hapo? Usikose
 
SEHEMU YA 10:


Nilipomtangazia kwamba nataka kutafuna korosho akaniachia, akapunguza mashambulizi akisema nisitafune korosho wala karanga mpaka tutafune wote.
Nilimkubalia, tukaendelea. Lakini akiwa anatangaza kutafuna korosho, na mimi nikatangaza kumuunga mkono, mlango si ukagongwa bwana!
“Ngo…ngo…ngo…we Rhoda…”
JIONGEZE MWENYEWE…
Sauti hiyo ilinishtua sana, kidogo nipoteze maisha. Sasa ufahamu ulinirudia kutoka kwenye kupotezea kwenye mapenzi mazito.
“Nani?” eti mwenyeji wangu aliniuliza mimi badala ya mimi nimuulize yeye…
“Atakuwa mama,” nilimjibu kwa sauti ya chini sana.
Ni kweli, sauti niliyoisikia ilikuwa ya mama yangu mzazi…
“Rhoda,” aliita tena.
Safari hii sauti yake ilikuwa dhahiri kabisa kwa sababu niliisikia kwa utulivu nikiwa nimeinua kichwa…
“Mwambie sipo,” nilimfundisha mwenyeji wangu.
Hapo tuliweka mpira kati, tukawa tunashughulikia la mama kwanza. Naamini hata mwenyeji wangu hakuwa ngangari tena. Ungangari anguepata wapi wakati kuna dalili za ndoa ya mkeka..?
“Hawezi kuingia kweli?” aliniuliza, nikabaini jamaa ni afande lakini muoga sana…
“Ungetoka haraka uongee naye,” nilimwelekeza. Akatoka uwanjani na kuniacha peke yangu, akasimama katikati ya chumba…
“We nani unayemuulizia Rhoda?”
“Mimi mama yake…”
“Kwanza unamuulizia Rhoda gani?”
“Si nilikuja na Rhoda hapa?”
“Rhoda gani?”
“Nilikuja na binti yangu muda si mrefu, kuna mwanaume tulikuja kumuulizia, kuna mtu akasema amekwenda kazini atarudi saa tisa usiku. Nikamwacha binti yangu huyo mpaka mwanaume aje…
“Sasa nimekwenda nyumbani nikagundua mjinga nitakuwa mimi. Kumsusia binti yako kwa mwanaume ni kama kumuongezea umalaya, kuna faida gani? Ndiyo nimemfuata sasa…”
“Oke, nakumbuka. Yule binti ulipoondoka tu wewe na yeye akaondoka, alisema atarudi hapa usiku.”
“Loo! Mtoto huyu, atakuwa amekwenda wapi sasa?”
“Huna namba zake za simu?”
“Ninazo, ila umeme nyumbani umekatika na simu yangu iliisha chaji tangu usiku.”
“Pole sana mama.”
“Haya baba, ngoja nirudi kama hatakuwa nyumbani nitarudi baadaye.”
“Sawa mama.”
Hayo mazungumzo kati ya mama na afande Mwita nilikuwa nikiyasikiliza kama yalikuwa yakitoka redioni.
Baada ya mama kuaga, nilimwona afande Mwita akinijia kitandani kama katoka gerezani…
“Teh! Teh! Teh!” alicheka akiwa anaingia uwanjani na kuanzisha mechi tena. Mechi ikaanza kusakatwa, safari hii tulikuwa na ari mpya, nguvu mpya na kasi mpya.
Libeneke lilikuwa safi, afande Mwita alinitendea haki mpaka mwenyewe nikawa namuuliza maswali ya ajabu ajabu…
“Una mke?”
“Sina…”
“Mchumba…”
“Sina…”
“Lakini unategemea kuwa naye?”
“Sidhani…”
“Niwe mimi basi jamani…”
“Na afande Mwira je?” aliniuliza kwa kujitutumua kibabebabe.
Wakati nakaribia kupata ushindi, nilimbana vilivyo afande Mwita mpaka nilipotulia naye akatulia kumbe yeye pia alipata ushindi sema tu, mtangazaji wake hakutaka kuweka yale mashamsham ya mpira kukaribia wavuni.
“Da!” nilihamaki kwa sauti lakini moyoni nilisema…
“Mimi Rhoda nimeshaharibika tayari…kwa siku moja wanaume wanne? Mh! Hata dada Liz hakuwa hivi…huu uwezo au umalaya?”
Nilimgeukia afande Mwira nikamwona anasinzia kwa mbali, nikamgusa na mkono, akafumbua macho kuniangalia yakiwa yamelegea kama amelewa pombe za kienyeji…
“Unalala siyo mpenzi wangu?” nilimuuliza kwa sauti iliyotoka nje kwa kupitia tundu za pua…kimahabamahaba… si unajua tena…
“Usingizi bwana…tulale japo kidogo basi,” aliniambia kwa sauti yenye amri huku akigeukia ukutani.
Moyoni nilimsifu kwa msuli alionao kwani alisakata kabumbu bila kuhema sana kama wenzake akina afande Mwira, Chacha na yule mbaba.
Wote tulipitiwa na usingizi, tena ule wa fofofo. Mimi nililala kama nipo kitandani kwangu nyumbani maana nilijiachia. Mimi nikilala huwa sibakizi nguo yoyote zaidi ya kujitupia shuka tena nusu mwili, usiku sana kama kutakuwa na kijibaridi.
Wote tulishtuliwa na sauti ya ukali ya mama akiita kwenye mlango wa chumba cha afande Mwita…
“We Rhoda…” huku akigonga mlango kwa nguvu…
Je, nini kiliendelea hapo?
 
SEHEMU YA 11:


Wote tulipitiwa na usingizi, tena ule wa fofofo. Mimi nililala kama nipo kitandani kwangu nyumbani maana nilijiachia. Mimi nikilala huwa sibakizi nguo yoyote zaidi ya kujitupia shuka tena nusu mwili, usiku sana kama kutakuwa na kijibaridi.
Wote tulishtuliwa na sauti ya ukali ya mama akiita kwenye mlango wa chumba cha afande Mwita…
“We Rhoda…” huku akigonga mlango kwa nguvu…
JIACHIE NAYO MWENYEWE SASA…
“Mm! Mama amerudi tena,” nilisema kwa kumnong’oneza sikioni afande Mwita…
“Naamini hakwenda. Alikuwa nje akifuatilia…”
“Sasa amejuaje mimi nimo ndani? Maana ameita kama ana uhakika wakati ulishamwambia niliondoka muda uleule.”
“Kwanza ameingiaje ndani, mlango nilifunga,” alisema afande Mwita.
Alitoka kitandani, akaenda hadi mlangoni na kuanza kuongea na mama…
“We mama…”
“Mimi namtaka binti yangu tu.”
“Si nilikwambia aliondoka!”
“Sijaamini…mbona nilisikilizia dirishani nikasikia kitanda kikilalamika kwa muda mrefu, uko na nani kwani?”
“Sasa mama hapo utakuwa unaingilia uhuru wangu binafsi. Yaani kitanda changu kulia wewe inakusumbua nini? Unapotaka kujua niko na nani ili iweje?”
Ghafla nilimsikia mama akitembea kutoka nje huku akinilaani kwa maneno makali kabisa…
“Mtoto hasikii, amekuwa kama hana baba wala mama. Yeye kulala kwa wanaume haoni tabu. Ananiumiza sana huyu mtoto.”
Nilinyamaza kimya, hata dalili ya kukohoa iliponijia, nilijiminya sana.
Akiwa anapita usawa wa dirisha, nikamsikia akisema…
“Na mimi hapa leo sitoki mpaka nimwone huyo mwanaume aliyemchukua binti yangu. hata akirudi saa kumi na moja, atanikuta tu.”
Kauli hiyo ilinitisha sana, niliogopa. Sasa mama aliamua kupambana na mimi na afande Mwita, eti hataondoka kurudi nyumbani.
Simu yangu niliitoa mlio mapema sana ili kukwepa kuumbuka ikipigwa…
“Unamsikia mama yako anavyosema?” aliniuliza afande Mwita…
“Namsikia, sasa itakuaje? Atakaa kweli, mimi namjua mama yangu, akisema amesema, hatoki huyu mpaka usiku umkute hapahapa,” nilimwambia afande Mwita.
“Ataondoka tu, akibisha nitamwitia mwizi, sitanii hata kidogo,” alisema afande Mwita.
Ghafla, nilimsikia afande Mwita akishtuka na kusema…
“Ohooo..!”
“Vipi tena?” nilimuuliza na mimi nikiwa nimeshtuka…
“Sikia hapo nje,” alisema, nikatega sikio vizuri.
Nilijua mama anaendelea kuongea, lakini nilichokisikia, kilinishtua sana…
“…kwa hiyo wewe mama umekuja kumfuata huyo binti yako?”
“Ndiyo…sasa kuna mtu kasema huyo mwanaume kaenda kwenye lindo, sijui ni askari. Akasema atarudi saa tisa usiku. Nikaondoka, nikamwacha binti hapa, baadaye kurudi naambiwa eti nilipoondoka na yeye akaondoka,” alisema mama.
Sauti ya kiume iliyokuwa ikihoji niliihisi kama ni ya afande Mwira…
“Mama mimi sijui lolote. Mimi ndiyo afande Mwira mwenyewe na kweli nilikwenda kwenye lindo na bado nipo kwenye lindo, nimerudi kwa dharura tu,” alisema huyo mwanaume ambaye mwenyewe alijiweka wazi kwamba ni afande Mwira…
“Kimenuka,” nilimwambia afande Mwita…
“Tulia wewe,” alinitia moyo wa ujasiri…
“Lakini baba mimi kwa akili zangu naamini binti yangu hakuondoka, yupo humuhumu ndani.”
“Mh! Mama una uhakika? Ndani atakuwa kwa nani sasa?”
“Yule mwanaume aliyetujibu mmekwenda lindo si yupo?”
“Kwa hiyo atakuwa ndani kwake?”
“Naamini.”
“Ngoja nikakuangalizie,” alisikika akisema afande Mwira…
“Anakuja,” nilisema.
“Tulia wewe…nimeshakwambia tulia. Mbona hutulii?”
Nilitulia kama maji kwenye jagi. Lakini mapigo ya moyo yalikuwa yakinienda kwa kasi ya ajabu.
Viatu vya afande Mwira vilisikika vikipita dirishani. Inavyoonekana, wenyeji wa nyumba hiyo wanatumia mlango wa nyuma kuingia ndani na si mlango mkubwa wa mbele.
Lakini mimi niliingizwa kwa mlango mkubwa japokuwa niliondoka kwa kupitia dirishani.
Mara, mlango wa uani ukafunguliwa, viatu vikatembea tena mpaka mlangoni kwa afande Mwita…
“Afande Mwita,” aliita huku akigonga mlango kwa ustaarabu kidogo.
“Afande Mwira…”
“Vipi za kazi bwana?”
“Njema. Nimerudi.”
“Oke. Na mimi nimefuata simu yangu niliisahau. Kuna mama hapo nje anamtafuta binti yake anaitwa Rhoda, unamjua?”
“Huyo mama nimeshamjibu, alipoondoka yeye na binti yake aliondoka. Sasa sijui anataka nimwingize hadi chumbani akague au vipi?” afande Mwita alimjibu mwenzake huku mkono wake mmoja ukitua kwenye ncha ya nido langu moja, nikashtuka na kutoa kaukelele kidogo maana nilisisimka mwili mzima. Na mimi sehemu yangu ya kuchanganyikiwa ni hiyo.
“He! Kuna nini tena?” aliuliza afande Mwira, maana yake alisikia ule ukelele wangu…
“Hakuna kitu…ye aende zake tu bwana…”
“We baba wewe…unasema binti yangu aliondoka muda uleule wakati nimemsikia sasa hivi ameshtuka hapo, sijui umemtekenya!” alisema mama ikionekana na yeye yupo mlangoni.
Afande Mwita badala ya kujibu, akajisahau na kunishika tena, safari hii nikasema kwa sauti kabisa…
“Bwana nini?”
Je, nini kiliendelea hapo? Usikose kusoma
 
SEHEMU YA 12:


“We baba wewe…unasema binti yangu aliondoka muda uleule wakati nimemsikia sasa hivi ameshtuka hapo, sijui umemtekenya!” alisema mama ikionekana na yeye yupo mlangoni.
Afande Mwita badala ya kujibu, akajisahau na kunishika tena, safari hii nikasema kwa sauti kabisa…
“Bwana nini?”
SHUKA NAYO MWENYEWE…
Nilishtuka sana mwenyewe kubaini kuwa, nimesema kwa sauti. Nikamwona afande Mwita akiniambia shiii!
“Ah! Haya sasa, mambo yote tayari sasa…tunasubiri nini?” alisema mama akiashiria kwamba, amenisikia…
“Rhoda hakuna jinsi, itabidi nifungue mlango tu utoke, mama yako ameshasikia kila kitu,” aliniambia afande Mwita kwa sauti ya chini. Uso wake ulijaa wasiwasi na mshangao mkubwa.
Niligeuka kuangalia dirisha, nikabaini ni kama la kwa yule afande wa muda ule. Lilikuwa dirisha kubwa, lakini halikuwa na nondo…
“Kwani siwezi kutokea dirishani?” nilimuuliza.
“Afande mwita ungekuja na huyo binti, mama yake ameshamsikia,” alisema afande Mwira huku sauti yake ikimalizikia kuonesha anaingia chumbani kwake. Bila kupoteza muda, nilipanda kwenye lile dirisha ili nirukie nje, afande Mwita akanishika mguu kunizuia…
“Ukiumia je?” aliniambia kwa sauti huku amenitumbulia macho.
Sasa akiwa bado amenishika mkono, alifungua mlango ili tutoke na tuonekane na mama.
Mama ile kuniona tu akanivaa, tukaenda wote mpaka chini…
“Mama unaniua…”
“Na mimi lengo langu ufe, malaya mkubwa wewe. Sasa huyu ndiye nani? Kwa nini ulin’tajia mtu mwingine wakati anayehusika ni huyu,” alisema mama kwa sauti ya juu, nikajua nje ‘nzi’ watajazana sasa hivi…
“Mama hata mimi siye ninayehusika, shetani tu ametupitia mimi na yeye. Mtu wake ni huyu afande uliyeingia naye ndani…”
“Wewe baba wewe…acha uongo wako. Hauna maana. Mimi ni mtu mzima, najua kila kitu. Wewe ndiye nimekunasa na mwanangu, lazima utamuoa,” mama alisema akiendelea kunishushia kipondo cha nguvu.
Ikabidi afande Mwita aingilie kwa nguvu, kiaskari sasa ili kuniokoa. Ikawa ndiyo salama yangu…
“Mama ukiendelea kumpiga huyu binti hatua kali za kisheria zitafuata juu yako,” alisema afande Mwita.
“Mimi ninachojua baba, huyu binti kuanzia sasa anaishi kwako na ni mkeo. Kula, kunywa, kulala mpaka matibabu ni juu yako, kwa heri Rhoda,” alisema mama na palepale kuondoka zake huku akitembea kwa hasira.
Nilibaki chini huku nikiendelea kulia kidogokidogo, kilio changu kikisindikizwa na kwikwi kwa mbali huku mkono mmoja nikiufunika uso…
“Ingia ndani sasa,” afande Mwita aliniamuru, nikasimama na kuingia ndani kwake.
Nilifikia kwenye kitanda na ndiyo nikaacha kulia na kuangaliana na afande Mwita.
Nasema kuangaliana kwa sababu wakati namwangalia, nilibaini na yeye ananiangalia. Kwa hiyo ni sahihi kabisa nikesema tulikuwa tunaangaliana. Nilimlegezea macho, yeye akanikazia na kusema…
“Ndiyo umeshakuwa mke wangu sasa.”
Kwa mara ya kwanza nilijikuta nikitabasamu…
“Unatabasamu mazuri hayo?” alinijia juu…
“Jamani sasa nilie…mama kanikuta kwako, nimekwambia nitokee dirishani ukanikatalia. Nikisema ulitaka mwenyewe kuozwa kwa nguvu nitakuwa nakosea?”
“Utakuwa unakosea sana. Wewe ndiyo ulitaka ujulikane uko kwangu. Ni nini kilikufanya useme kwa sauti muda ule?”
Wote tukawa kimya, mimi mwili ulishalegea kwa kipigo cha mama. Japo kwa muda mfupi lakini nilichoka sana.
Tukiwa chumbani, tulimsikia afande Mwira akija mlangoni kwa afande Mwita…
“Afande,” aliita kwa sauti ambayo hakupenda kurudia tena kuita kwamba, afande Mwita hakusikia…
“Ee afande.”
Kulipita ukimya wa sekunde kama tano, afande Mwira hakusema njoo wala lolote lingine, afande Mwita akajua shida yake aende. Alifungua mlango, akasimama katikati…
“Ee bwana pole sana. Lakini ndivyo maisha yalivyo. Sasa utafanyaje?”
“Ndiyo niko naye hapa binti,” alisema afande Mwita huku akigeuka na kuniangalia nilipokuwa kwenye kitanda kisha akaufungua mlango kidogo ili afande Mwira anione, nikaachia tabasamu baada ya kukutana macho na afande Mwira, ‘nikakumbuka mbali’.
“Hujambo binti?”
“Sijambo, shikamoo.”
“Marhaba…pole sana…”
“Asante,” niliitikia nikiwa najificha uso.
“Au afande Mwita ungemwambia aende kwa ndugu yake yeyote kama anaye hapa Temeke,” alisema afande Mwira…
“Akha! Mi sina ndugu hapa Dar,” nilidakia mwenyewe tena si kwa kusema Temeke tu, Dar nzima.
“Lo! Imekula kwako afande Mwita…sasa lakini wewe binti naye, ikawaje mpaka ukakubali kumleta mama yako hapa nyumbani?” alisema afande Mwira. Kabla hajajibu, afande Mwita akasema anakwenda chooni mara moja. Afande Mwira akabaki amesimama mlangoni…
“Kwanza utakuwa mke wa nani humu ndani sasa?” aliniuliza kwa sauti ya chini, nikatabasamu…
“Wewe hapo,” nilisema kwa sauti ya chini. Akanifuata kitandani haraka sana, akanipa denda, nikalipokea bwana…
Je, nini kiliendelea hapo? Usikose kusoma
 
SEHEMU YA 13:



“Kwanza utakuwa mke wa nani humu ndani sasa?” aliniuliza kwa sauti ya chini, nikatabasamu…
“Wewe hapo,” nilisema kwa sauti ya chini. Akanifuata kitandani haraka sana, akanipa denda, nikalipokea bwana…
SHUKA NAYO SASA…
Tuligandana ndani ya denda kwa muda wa sekunde kadhaa mpaka tuliposikia mlio wa mlango wa chooni, tukaachana, afande Mwira akarudi kusimama palepale mlangoni…
“Kwa hiyo ndugu yangu afande Mwira utanisaidiaje na huu ugeni?” alisema afande Mwita akimpita mwenzake mlangoni, akaingia ndani na kukaa kitandani…
“Da! Mzigo huu bwana itabidi uwepo tu hapa nyumbani. Mimi naamini baada ya siku kadhaa, mama ataurejesha moyo wake nyuma, atamwita au atamfuata binti yake.”
“Kweli?”
“Kabisa. Kwa sasa si unajua ana hasira.”
“Lakini kweli kabisa. Hapo na mimi nadhani iwe hivyo,” alisema afande Mwita akimuunga mkono mwenzake.
Tulikutana macho na afande Mwira, nikaachia tabasamu nikijua kwamba, yeye hatafanya hivyo kwani alikuwa anatuangalia wote, mimi na afande Mwita. Nikamkonyeza kama mara tatu hivi…
“Sasa mimi narudi kazini, sijui itakuaje?”
“Oke, basi mimi utanikuta naye. Leo sitoki kwenda popote pale,” alisema afande Mwira huku akianza kutembea.
Alipofika usawa wa dirisha kwa nje, afande Mwita alimuita afande Mwira…
“Haloo, afande Mwira hebu nisuburi kidogo,” alisema afande Mwita huku akitoka chumbani.
Alizunguka, akaenda kusimama na afande Mwira usawa wa dirishani. Walizungumza kwa sauti ya chini lakini nilichobaini ni kwamba, afande Mwita alikuwa anaazima pesa kwa afande Mwira. Nilisikia kwa mbali akisema ‘nitazirejesha mwisho wa mwezi.’
“Twende nikakupe ndani,” alisema afande Mwira kwa sauti…
“Nenda kalete, utanikuta hapahapa,” alisema jamaa yangu afande Mwita.
Afande Mwira alitoka, afande Mwita akasimama usawa wa dirishani akimsubiri. Lakini mtu aliyesimama dirishani nje ilikuwa si rahisi aone ndani kukoje.
Afande Mwira alifungua mlango, akazama ndani kwake. Mara akatoka, akasikika akitembea kuja kwenye chumba nilichokuwepo. Akashika kitasa, akasukuma mlango, akazama ndani kabisa ya chumba.
Wote tukawa tunamwangalia afande Mwita alivyosimama kule nje ya dirisha akisubiri. Afande Mwira akanisogelea na kusema…
“Jamaa yako kaniazima pesa…ndiyo nimemfuatia sasa.”
Niliachia tabasamu laini huku nikimlegezea macho afande huyo kwani alikuwa amesimama akiniangalia kwa chini. Mimi mfupi yeye mrefu.
Akanikumbatia, nikamkumbatia, akanibusu ndani kwa ndani, nikambusu ndani kwa ndani ili jamaa nje asisikie. Nikamwangalia tena, akaniangalia tena.
“Mh! Kwa hali ninayohisi sitakubalia aondoke mpaka tufanye kweli hata kama huyo afande Mwita yupo hapo nje,” nikawaza.
Muda wote huo tulikuwa tukiachana kuangaliana, tunakimbiza macho nje kupitia dirishani kumwangalia afande Mwita. Alikuwa akitembeatembea hapa na pale akisubiri pesa.
Nilimwona afande Mwira akinipa denda, nikalikubali, tukadumu hapo tukihema kwa mhemko wa mahaba mazito huku afande akinishikashika sehemu mbalimbali za kifuani. Nikajikuta naishiwa nguvu zote.
“Ila wewe mtoto unanipa raha sana tena sana,” afande huyo aliniambia huku akiwa kaishika vizuri nido yangu ya kulia.
“Kwa nini unasema hivyo dia?” nilimwuliza.
“Kwa mengi, kwanza siyo muoga na pili unayajua mapenzi sana,” afande Mwira alinifagilia.
Tukiwa tumesimama kila mmoja wetu akiwa hajiwezi, afande Mwira akanitegesha sawasawa, nikategeka vilivyo.
Akaniangalia kuashiria kwamba alihitaji nimpe, kwa kuwa akili ilikwishahama nami nikamwangalia huku macho yangu yakimweleza ‘sasa unangoja nini bwana!’
Kwa kuwa macho nayo huwa yanazungumza, afande Mwira alinielewa akanivutia kwake na shughuli ikaanza palepale. Ilikuwa nusu tabu nusu furaha kwetu kwani macho yalikuwa yakicheza ndani na nje aliko afande Mwita.
Lakini tulijitahidi kwa tabutabu hivyohivyo mpaka tukajikuta tunazoea. Sasa tukawa kama tupo huru kama nje hakuwepo afande Mwita. Maana mimi nilianza kuweweseka sasa, nikawa napagawa kwa maneno.
Kadiri afande Mwira alivyokuwa akiwajibika ndivyo nilivyoshindwa kujizuia kupiga mayowe ya raha, ilibidi afande Mwira anishike kinywa ili nisipige kelele au sauti yangu isitoke nje ambako ingesikika vilivyo na kuzua balaa.
Ili kwenda na muda, nikakazana sana, nikaona mwenzangu akitetemeka na mimi nikatetemeka. Loo! Afande Mwira akawasili kituo kikuu kama mimi nami nilivyowasili muda huohuo.
Nikiwa nimeishiwa nguvu baada ya kumaliza mwisho wa safari isiyo na bughudha zaidi ya raha, afande Mwira alinikumbatia kisha kunichumu mara kadhaa midomoni na shavuni.
Aliponifanyia hivyo kama tuliambiana tuangalie nje alikokuwa afande Mwita, tulipofanya hivyo tulimuona akitembea kuelekea upande wa choo, akazama ndani.
“Jamaa yako kasubiri hadi kabanwa na haja ndogo,” afande Mwira akiwa bado kanikumbatia akaniambia.
Kutokana na kauli yake hiyo, nikacheka kwa sauti kwa sababu nilijua hakuna mtu ambaye angenisikia na kumuuliza alijuaje kama ni haja ndogo na siyo mzigo mkubwa!
Afande Mwira alicheka na kuniambia anaangalia saa kama afande Mwita atakaa kule msalani kwa zaidi ya dakika tano basi itakuwa amekwenda kukata gogo.
“Afande Mwira una maneno, sasa kukata gogo ndiyo nini?” nilimwuliza.
“Na wewe kukaa kote katika hili jiji tena Temeke, hujui maana ya kukata gogo?” afande Mwira akaniuliza kisha kufunguka moja kwa moja maana yake.
Nilicheka sana mpaka akaniziba mdomo kwa kiganja maana alihofia rafiki yake angesikia jambo ambalo hakupenda litokee.
Tukiwa tunaangalia nje kupitia dirishani, tulimuona afande Mwita akitoka msalani ndipo afande Mwira akaniachia haraka na kutoka huku akijiweka sawasawa. Alikwenda nje, akampa pesa afande Mwita na kumwomba msamaha kwa kumchelewesha…
“Usijali afande Mwira bwana. Kawaida sana, mimi nakushukuru kwa kila kitu, umenifaa maana nilikuwa sina kitu,” alijibu jamaa yangu. Akaja ndani. Lakini ghafla alisimama na kuniangalia sana…
Je, nini kiliedelea hapo? Usikose
 
SEHEMU YA 14:


“Usijali afande Mwira bwana. Kawaida sana, mimi nakushukuru kwa kila kitu, umenifaa maana nilikuwa sina kitu,” alijibu jamaa yangu. Akaja ndani. Lakini ghafla alisimama na kuniangalia sana…
SHUKA NAYO…
“Mbona macho yako mekundu na kama ulikuwa unalia?” aliniuliza…
“Ni kweli nilikuwa nalia…”
“Unalia nini?”
“Nawaza mama kunisusa hapa…”
“Hilo umelijua muda huu? Mbona muda wote ulichangamka?”
“Imetokea tu, hata mwenyewe nashindwa kuelewa.”
“Halafu mbona nasikia harufu ya jasho la mwanaume?”
“Mh!” Niliguna, nikaogopa mwenyewe…
“Mbona mimi silisikii,” nilisema nikijishauashaua na kuangalia pembeni.
“Niambie ukweli Rhoda, kuna mwanaume gani aliingia humu ndani?”
“Hakuna jamani! Kwani we umemuona nani?”
“Kuna harufu ya jasho la mwanaume humu, huwezi kunificha mimi,” afande alinijia juu. Na mimi niliendelea kukataa. Moyoni nilisema haitatokea nikakubali.
“Afande Mwira hajaingia?”
“Sijamwona. Na angeingiaje wakati nilikusikia ukisema unamshukuru kwa kukukopesha fedha. Si ina maana aliingia ndani kwake kukuchukulia!”
Niliposema hivyo tu, nilimwona afande Mwita akiishiwa nguvu na kukaa kwenye kochi…
“Wewe umejuaje kama alinikopesha fadha?” eti alitaka kubisha.
“Si nilikusikia hapa dirishani ukisema usijali afande Mwira bwana. Kawaida sana, mimi nakushukuru kwa kila kitu, umenifaa maana nilikuwa sina kitu.”
Afande Mwita aliishiwa nguvu. Akawa anaangalia pembeni huku akiimba nyimbo za kwao. Mimi moyoni nikasema ‘kwisha kazi wewe.’
***
Giza liliingia, sikumwona mama wala kupata simu yake. Nilikuwa nimelala wakati afande Mwira aliposema anakwenda baa kupata bia mbili tatu.
Nilipitiwa na usingizi na nilikuwa sijala, kuja kushtuka ni pale afande Mwira alipoingia chumbani akiwa amebeba mfuko wa rambo…
“Amka ule, nimekuletea chipsi kuku,” aliniambia.
Niliamka haraka sana. ilikuwa chipsi kuku mzima! Du! Mate yalijaa yenyewe mdomoni, akatoa na kopo mbili za bia. Nilijua pale tunazitumbua pesa za mkopo kutoka kwa afande Mwira…
“Kunywa na bia hizi,” alisema afande akiniwekea kwenye stuli…
“Asante baby…”
Kwa mara ya kwanza nilimuita baby lakini akanikataza nisimuite jina hilo yeye si mtoto…
“Nani baby wako wewe! Koma kabisa! Niite mpenzi. Mimi si mtoto mpaka unaniita baby.”
Nilijua jamaa zangu wa kule hawajuagi mambo hayo. Nikamwomba radhi na kumuita mpenzi.
Baada ya kula, tulikwenda kuoga wote. Taulo lilikuwa moja. Kwa hiyo nililivaa mimi, yeye akavaa bukta.
Tulipotoka kuoga tulipanda kitandani kulala. Kazi ikaanza hapo…
“Wewe mbona kama unasinzia. Hakuna kulala hapa,” aliniambia…
“Ha! We, yaani nisilale kisa nini wakati nasikia usingizi?”
“Hapa kwangu hakuna kulala.”
“Kwa nini? Ina maana na wewe hutalala?”
“Tutalala wote baadaye,” alisema na kuanza kunishikashika. Nikamwelewa sasa kumbe alikuwa na maana gani kusema kwake hakuna kulala…
“Sasa si ungesema tu,” nilisema moyoni huku nikianza kumuunga mkono kwa alichokuwa akikifanya yeye. Tulishikanashikana, tukashikanashikana.
Ni yeye ndiye aliyeanzisha mchezo na mimi nikaingia uwanjani kupambana naye.
Ilikuwa ni bandika bandua…bandika bandua!
“Sasa tungepumzika kwanza jamani,” nilisema…
“Tutapumzika,” alijibu kwa mkato huku akiendelea kupeleka mashambulizi upande wangu. Mwili uliisha nguvu lakini kama vile tena, sikuruhusiwa kutoka uwanjani kabla kipyenga cha mwisho wa mchezo hakijapulizwa.
Ilifika mahali mimi nikawa nalia tu kwa sauti ndogo maana sikuwa naweza hata kusogeza mpira hatua tatu mbele lakini nilimshangaa mwenzangu yeye, nguvu kama ndiyo kwanza anaanza mechi.
Shetani akamjalia akanitangazia kwamba anafika juu ya kichuguu, ikawa salama yangu. alipofika kichuguuni alijitupa huko, akajilaza akiangalia juu na kuhema kwa nguvu.
Tulipitiwa na usingizi bila kujijua, tukauchapa usingizi. Mimi nilikuja kushtuka saa tisa usiku baada ya kuangalia saa ya kwenye simu. Nilijisikia kwenda haja ndogo, nikamtingisha afande Mwita ili aamke, anisindikize…
“Nini wewe?” aliniuliza.
“Nisindikize chooni bwana.”
“Hapa kwetu hakuna wachawi, wezi wala vibaka, wewe nenda tu,” alisema afande Mwita huku akigeukia ukutani…
“Bwana mimi naogopa peke yangu.”
“Hivi husikii wewe. Unadhani nani atakuja kujibanza hapa kwa maafande, hajipendi?”
Nikatoka hadi chooni. Ile nageuza kurudi ndani, yule afande mbaba naye anatoka kwake, akanishika mkono…
Je, nini kiliendelea hapo?
 
Back
Top Bottom