Habari.
Hivi kuna mtu mwingine anaona movies na series za kihindi ni ujinga tu?
Huwa nashangaa hivi hawa watu hawana akili au wanafanya tu makusudi kuigiza mambo ambayo ni ya kijinga hayana...
Wasanii waandishi hunufaika na nini hasa baada ya kumfanyia kazi msanii mwenzao? Yaani kwa mfano Nandy kaandikiwa na Jay Melody, Aslay na wengine huko, je hawa waandishi hunufaika nini na na kazi...
Nina likizo ya kama siku 21, sasa nina kajisenti hapa ka kula burudani kwa muda huu wa likizo kisha nirudi kuendelea kutumika kwa mwajiri.
Kwanza mimi situmii aina yoyote ya kilevi ila nina...
Lisemwalo lipo na Kama halipo, litakuwa njiani Lina kuja. Huu usemi umedhihirishwa na chuma Cha pua Africa DIAMOND the G. O. A. T, kwa kuwagaragaza Wizkid, Davido na Burnaboy kwa mapato YouTube...
Mambo vipi mabibi na mabwana? Natumaini uko poa na unaendelea na mitikasi ya maisha vile ambavyo umejaliwa.
Ebana siku ya Jumapili ya tarehe 12 mwezi Julai 2020 ilikuwa ni siku kubwa sana kwenye...
Wanabodi habari zenu ,unakumbuka nini ,ulikuwa unajisikiaje ,ulikuwa wapi tulipokuwa na chombo kimoja cha kupasha habari Tanzania ,Radio na TV ambayo ilikuwa RADIO TANZANIA DAR ES SALAAM (RTD) na...
Alicheza Riama Ally kama binti aliependwa na tajiri mmoja ila alifanyiwa mitego na tajiri huyo kuona kama ni mwaminifu akategwa kijana amfatilie kumtaka kimapenzi
Jamani inaitweje hio movie?
Ni hatua kubwa sana anayoionyesha kijana wetu Diamond Platnumz bila shaka anastahili pongezi sana kwa bidii yake katika kazi.
Inadhihirishwa na ukubwa wa ngoma yake aliyoshirikishwa ya Yope sasa...
Aisee hii battle naona Kabisa imetangazwa official.
Kama shabiki wa mziki njoo useme katika nyimbo zao za Diss umependa ipi ?
Na utoe Comments wapi ni wakali ?
Mahaba yangu kwa kikosi kazi na P...
Karibu tena katika uwanja mwingine wa maandiko ya Kudo na sasa ni Riwaya mbili ndani ya uzi mmoja
Riwaya:operation jicho la paka
Riwaya:Dakika za mwisho(with wolf rules)
Karibuni
Nilikuwa nafuatilia hapa kikao cha CCM Dodoma.
Polepole alipotambulisha burdani kabla ya Mwenyekiti wa CCM kusimama, ndipo nikajua kuwa King na Diamond mwenye thamani ni Diamond maana hata...
Leo akiingia kuchangia 'kiuchambuzi', mchambuzi Oscar Oscar alianza kwa kutoa kicheko cha 'kinafiki' kisha akahoji, je madeni yameshalipwa? Watangazaji wenzake wote studioni wakaanza kuangua...
Guys naomba leo tuondoe utata kuhusu hizi show mbili ni show gan Kali kwa sasa Tanzania maana kila nikiwasikiliza wote wanapondeana.
Je, nani mkweli kwenu?
1. Bongo Record =P Funk
2. MJ = Marco Chalk
3. Ban Record = Sheddy Clever
4. Kili Record = Rash Don
5. Tongwe Record = Bin Laden
6. Touch Sound = T touch
7. Tuddy Thomas
8. Wasafi Record = Diamond...