Gharama ya wasanii wa Bongo ipoje?

Gharama ya wasanii wa Bongo ipoje?

JEKI

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2013
Posts
4,845
Reaction score
2,967
Heshima mbele kama tai.

Nataka siku ya harusi yangu nikodi bendi au msanii wa Bongo Fleva, wana gharama gani kwa show ya usiku mmoja?
 
Kwa kua umemuulizia Harmorapa,Keisha,Dudubaya,Makamua na Bendi ya
TOT bei zako ni hizi mkuu;

Harmorapa ni Tsh.150,000

Keisha ni Tsh.300,000

Makamua ni Tsh.140,000

Bendi ya TOT ni Tsh.500,000 ila hawa wafanyie booking mapema maana soon watakua wanazunguka kwny kampeni za CCM/uchaguzi.

Dudubaya ni Tsh.70,000 na mizinga miwili ya Konyagi

Harusi njema mkuu.
 
Kwa kua umemuulizia Harmorapa,Keisha,Dudubaya,Makamua na Bendi ya
TOT bei zako ni hizi mkuu;

Harmorapa ni Tsh.150,000

Keisha ni Tsh.300,000

Makamua ni Tsh.140,000

Bendi ya TOT ni Tsh.500,000 ila hawa wafanyie booking mapema maana soon watakua wanazunguka kwny kampeni za CCM/uchaguzi.

Dudubaya ni Tsh.70,000 na mizinga miwili ya Konyagi

Harusi njema mkuu.
[emoji23]
 
Kwa kua umemuulizia Harmorapa,Keisha,Dudubaya,Makamua na Bendi ya
TOT bei zako ni hizi mkuu;

Harmorapa ni Tsh.150,000

Keisha ni Tsh.300,000

Makamua ni Tsh.140,000

Bendi ya TOT ni Tsh.500,000 ila hawa wafanyie booking mapema maana soon watakua wanazunguka kwny kampeni za CCM/uchaguzi.

Dudubaya ni Tsh.70,000 na mizinga miwili ya Konyagi

Harusi njema mkuu.
Mkuu wacha mzaha. Nataka nimlete Kiba, Diamond n.k

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuwaleta wasanii kwenye sherehe yako ni rahisi kama hao wasanii sio well established, ila kwa watu kama Ali kiba au diamond ni lazima wawe na special relationship na wewe kiasi kwamba wataacha mambo yao na kuja kuhudhuria sherehe yako, vinginevyo watakuambia bei ambayo hutaiweza.
 
Kuwaleta wasanii kwenye sherehe yako ni rahisi kama hao wasanii sio well established, ila kwa watu kama Ali kiba au diamond ni lazima wawe na special relationship na wewe kiasi kwamba wataacha mambo yao na kuja kuhudhuria sherehe yako, vinginevyo watakuambia bei ambayo hutaiweza.
Nataka niwalete kwa gharama ile ile wanayolipwa kwa ajili ya show.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Diamond andaa milioni 40 ile ki shkaji mtafute babu tale akuombee alikiba hadi milioni 10 anakuja harmonise hata milioni 20 anakuja mtafute mjerumani instgram atakufanyia mchakato
 
Mchukue Ruby mkuu, sherehe yako itapendeza sana, na haitakuwa na vurugu.
Yule binti anajua kuimba sana.
Ukiwachukua diamond, alikiba watu watasahau kama sherehe ni yenu. Kwa kifupi watawapuuza maharusi.
Diamond hana nyimbo za harusi.

Labda kama unataka kudhalilika hapo harusini.

Ukiambiwa, "Inama Kidogo Shika Magoti, Mimi Nimesimama Kama Ngongoti ......

Au Nyimbo Kama "Twende Nikupigd Nyembe
 
Back
Top Bottom