uniq
JF-Expert Member
- Nov 22, 2011
- 5,089
- 31,085
Nilikuwa nafuatilia hapa kikao cha CCM Dodoma.
Polepole alipotambulisha burdani kabla ya Mwenyekiti wa CCM kusimama, ndipo nikajua kuwa King na Diamond mwenye thamani ni Diamond maana hata wafalme wanatafuta Diamonds.
Leo Kiba amekuwa wale wasanii wanao tangulia kuimba kabla ya mwenye show kuimba.
Hongera sana Diamond.
Polepole alipotambulisha burdani kabla ya Mwenyekiti wa CCM kusimama, ndipo nikajua kuwa King na Diamond mwenye thamani ni Diamond maana hata wafalme wanatafuta Diamonds.
Leo Kiba amekuwa wale wasanii wanao tangulia kuimba kabla ya mwenye show kuimba.
Hongera sana Diamond.