Diamond vs Ali Kiba: Dodoma imeweka bayana leo

uniq

JF-Expert Member
Nov 22, 2011
5,089
31,085
Nilikuwa nafuatilia hapa kikao cha CCM Dodoma.

Polepole alipotambulisha burdani kabla ya Mwenyekiti wa CCM kusimama, ndipo nikajua kuwa King na Diamond mwenye thamani ni Diamond maana hata wafalme wanatafuta Diamonds.

Leo Kiba amekuwa wale wasanii wanao tangulia kuimba kabla ya mwenye show kuimba.

Hongera sana Diamond.
 
Nilikuwa nafuatilia hapa kikao cha CCM Dodoma.

Polepole alipotambulisha burdani kabla ya Mwenyekiti wa CCM kusimama, ndipo nikajua kuwa King na Diamond mwenye thamani ni Diamond maana hata wafalme wanatafuta Diamonds.

Leo Kiba amekuwa wale wasanii wanao tangulia kuimba kabla ya mwenye show kuimba.

Hongera sana Diamond.
Kwa hiyo Bob Haisa ni zaidi ya Diamond???
 
Nilikuwa nafuatilia hapa kikao cha CCM Dodoma.

Polepole alipotambulisha burdani kabla ya Mwenyekiti wa CCM kusimama, ndipo nikajua kuwa King na Diamond mwenye thamani ni Diamond maana hata wafalme wanatafuta Diamonds.

Leo Kiba amekuwa wale wasanii wanao tangulia kuimba kabla ya mwenye show kuimba.

Hongera sana Diamond.
Diamond baba lao
 
Allikiba na bob haisa wameimba vzuri na walitulia.. ila diamond fujo fujo na vurugu tu hakuna cha maana alichoimba

Kuhusu kutangulia siyo mantiki ni ratiba tu...

Maana bob haisa kaimba baada ya diamond

Relax
 
Back
Top Bottom