MAISHA NA SIMULIZI ZA MAFUNDISHO
STORI YA KWELI YA AJABU NA YAKUSISIMUA
Kulikuwa na mzee mmoja ambaye alikuwa tajiri sana, Mzee huyu alibahatika kuwa na binti mmoja na ambaye alimpenda sana na...
Ndugu zangu,
Nimefatilia sana hizi movie za Mongo Movie, lakini kwenye scene wanazocheza kama askari polisi kwakweli hawazingatii weedi zaidi wanalidhalilisha jeshi letu.
Mara nyingi unakuta...
Nimekuwa nikisoma hapa jukwaani jinsi series hii inavyosifiwa lakini sijajua inahusu vitu gani, nikahamasika kuinunua,
Nimenunua season ya kwanza hadi ya mwisho,
Nimeanza na episode ya kwanza...
Ninaona uvivu kuandika.
Ila pointi ya msingi ni kwamba lile pambano ambalo tulikuwa tukilisubiria kwa hamu hatimaye kimeeleweka.
Hatimaye siku ya tarehe 28/8/2020 tutashuhudia tena kwa mara ya...
DARASA LA TANO C: WAZEE WA KUENGUA
Na, Robert Heriel
Leo nitasimulia kwa mtindo wa Filamu. Hii ni filamu ya maandishi. Karibu sana Mpenzi Msomaji.
Picha letu linaanzia katika maeneo ya shule...
Sote tunajua jinsi nyimbo zinavyoamsha hisia na kuondoa mawazo wakati mwingine..
Kuna watu husema "Favorite songs"
Yaani wimbo wangu pendwa
Mashairi katika wimbo pendwa huwa ni ujumbe ambao mtu...
Umri ulimwambia kakua..usichana ukapiga nae story kumshawishi awe na mvulana..akawa nae..akautimiza ukamilifu wake kiakili..baba dokta mama dokta..ayesha sachin aliishi kikamilifu kwenye maisha...
Wimbo wa Yanga ulioimbwa na Harmonize umeushusha wimbo wa Simba na kuwa Number One trending kwenye youtube; hata hivyo Mondi hajakubali na hivyo amelipia post ya facebook (sponsored) ili...
Nimekua mara moja moja nikitazama hii TV, jambomoja nililogundua ni kwamba Naseeb hafanyi mambo ya kubahatisha akifanya kitu anafanya kweli. Wasafi TV kuanzia muonekano wa picha, vipindi vyao...
DJ Maarufu wa E-FM na mwenye manjonjo ya aina yake DJ Mamie, jana ametanganza rasmi amejiunga na Wasafi Media kupitia Instagram yake. Baada ya kupost, hiyo post imepata like nyingi na comment...
Wakuu habari ya majukumu.
Mbali kufanya kazi ngumu za kutafuta kipato ila sio mbaya kuna mda unachangamsha mwili na akili kwa vitu vyepesi kupunguza machungu ya ugumu wa maisha, wengi wetu...
Hizi ndo katuni zangu bora za muda wote nahisi Kama kuna mtu hajwahi kuziona ye atakuwa amekosa bahati??
Zipe maksi na ww au sema zako bora nyingine wale wazee wa animation[emoji23]
MWANDISHI: NYEMO CHILONGANI.
SIMU: 0718 069 269
MAHALI: DAR ES SALAAM.
MBUNIFU WA COVER: KINDO EMMANUEL
MCHEZA FILAMU ZA NGONO 1.
Kampuni ya kutengeneza filamu za ngono ya Digital Playground...
Habari wakuu. Hope mko poa mnaendeleza mapambano dhidi ya janga kuu la umaskini nami nikaona si haba kuwaletea kijistori kidogo tuserebuke nako kwenye moja na mbili.
Stori inaanza kama ifuatavyo...