Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,156
- 31,045
Nimekua mara moja moja nikitazama hii TV, jambomoja nililogundua ni kwamba Naseeb hafanyi mambo ya kubahatisha akifanya kitu anafanya kweli. Wasafi TV kuanzia muonekano wa picha, vipindi vyao vinavyotengenezwa, wako vizrui compared na TV kama clouds iliyokuwepo kabla yao.
Mimi nimekuwa mpenzi wa CMG toka kipindi ila kwa TV wanafail sana, vipindi vyao vinakuja na kupotea, hawana mpangilio mzuri wa vipindi, wanaanzisha vitu wanashindwa kuviendeleza. Na muda mwingine wanafanya fanya tu.
Keep it up waasafi TV, wasafi redio siisikilizi hivyo sijui vipindi vyao.
Mimi nimekuwa mpenzi wa CMG toka kipindi ila kwa TV wanafail sana, vipindi vyao vinakuja na kupotea, hawana mpangilio mzuri wa vipindi, wanaanzisha vitu wanashindwa kuviendeleza. Na muda mwingine wanafanya fanya tu.
Keep it up waasafi TV, wasafi redio siisikilizi hivyo sijui vipindi vyao.