Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Daa Hii movie nimeiona miaka nyuma kidogo sijui inaitwa je,ipo hivi Kuna mama alikuwa analea watoto, sasa pale kwake kuna maabara flani doctor alikuwa anafanya utafiti, Kuna siku doctor...
0 Reactions
0 Replies
918 Views
Mapinduzi ya burudani:Nimekuwa mdau wa matamasha ya burudani hapa nchini na nimefarijika kuona matamasha yanazidi kuongezeka na hii itawapa changamoto wasanii watengeneze ngoma Kali ili tupate...
2 Reactions
18 Replies
3K Views
Karibuni kilingeni wapendwa mzigo utashuka hapahapa ila hii si ya kukosa kabisa
4 Reactions
77 Replies
24K Views
Baada ya kuimaliza riwaya ya UKURASA WA GAIDI,huku tukielekea mwisho wa riwaya ya SAUTI YA MTUTU,Ni wasaa mwingine kukuletea MBWA WA GETI. Riwaya hii nitaanza rasimi kuiweka hapa keshokutwa,saa...
9 Reactions
370 Replies
61K Views
NA; BAHATI K MWAMBA -----1------ Kikao cha watu watatu kiliendelea na kila Mjumbe, tayari alishatoa wazo lake aliloona ni sahihi kwa wakati huo. Makubaliano ya hapa na pale...
23 Reactions
269 Replies
60K Views
RIWAYA; NGOMA NGUMU NA: BAHATI K MWAMBA SIMU: 0758573660/0624155629 NAIROBI, KENYA… Kulikuwa na mabishano makubwa ndani ya nyumba moja ya kifahari, katikati ya jiji la Nairobi. Kulikuwa na...
5 Reactions
56 Replies
14K Views
Kwakua sifahamu sana mambo ya HIPHOP huenda nikawa nimekosea kuuliza swali (Mtanisamehe) Naomba kujuzwa mambo kadhaa kuhusiana na hiphop. 1. Tofauti ya MC na RAPPER 2. Wanasema hiphop ina nguzo...
3 Reactions
68 Replies
11K Views
Mshkaji nammanya kitambo sana kwa title ya danny msimamo alidondosha vitasa kadhaa kikiwepo hiki cha leo ambacho nakichededea sana. kitasa kinaitwa MIC. Kitambo sana nimekisikilizia hiki kitu...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Naona mashabiki wapo busy kujadili Na kulinganisha wasiojua mziki wanaacha kusikiliza mziki mzuri. Link Hiyo hapo chini akiwa Na Ben pol, huu ndio mziki sasa wengine hao wanapiga makelele...
5 Reactions
109 Replies
104K Views
Story: Jamani baba-1 Mtunzi: JAMES Oooh! Jamani baby we mtamu mpenzi wangu unanikuna vizuri jamani, nakupenda sana mpenzi wangu, nakuahidi sitokuacha kamwe mpenzi wangu! Nishike hapo hapo dear...
3 Reactions
9 Replies
18K Views
Heshima mbele wadau, ninahitaji kununua system ya mziki wa club, je ni vitu gani vinahitajika kufanya system nzima na bei yake ikoje, specifications zipi za kuzingatia?? Gharama yake kiasi gani?
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nimeutafuta sana youtube haupatikani. Nimepata kipande tu
0 Reactions
2 Replies
876 Views
Yaani naboreka sana msanii utakuta anatoa ngoma (wimbo) kali sana natrend kila kona, lakini haifanyii video au utakuta video yake mbovu. Mfano: 1. Dhahabu- Dully Sykes ft Blue & Joslin 2. Run...
5 Reactions
109 Replies
13K Views
Film ya Terminator 2. Ya mwaka 1991 iliyo chezwa na Anorld Schwarzenegger katika film hiyo Anorld Schwarzenegger alikua analipwa Tsh.50millions kwa kila neno alilo tamka. Nakatika Film hiyo Anorld...
7 Reactions
12 Replies
2K Views
Msanii Harmonize baada ya kudondosha muziki wake wa USHAMBA amekuwa akiweka post mbali mbali zikiashilia kama kijembe na kujawa na majigambo kuhusu wimbo wake huo hii hapa chini ni miongoni mwa...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Halafu kaeni mkijua kuwa kuna wengine Mwenyezi Mungu 'ametubariki' na 'Vipaji' vingi tu hivyo hata huku 'Kuimba' tunaweza vile vile sema tu haikuwa 'Kipaumbele' chetu. Kama kuna 'Msimu' wa BSS...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Huu Wimbo wa 'WAAH' ukiwa unapigwa au hata unausikiliza tu popote pale halafu huamki ama Kucheza tu au Kutikisika basi utakuwa na matatizo Kichwani au utakuwa ni mwana Yanga SC mwenye Roho Mbaya...
7 Reactions
23 Replies
4K Views
Diamond siku ya leo ameachia video ambayo ilikua inasubiriwa sana baada ya audio yake kufanya vizuri sana, na kwa hamu waliyokuwa nayo mashabiki wamesababisha kuivamia video hiyo na ndani ya saa...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Nakumbuka unaitwa "Jina lako li hai" umeimbwa na Kijitonyama Upendo Group.Unaimbwa Jina lako li hai x3,ewe Yesu,Jina lako lina nguvu x3 ewe Yesu.Nikiupata nitafurahi sana.Natanguliza shukrani...
0 Reactions
0 Replies
791 Views
Azama wamepandisha bei ya ving'amuzi vyao tofauti na wanavyojipambanua kwenye matangazo yao. Nimetumiwa sms hii Ndugu mteja, kuanzia tar 1 Disemba bei za vifurushi ni 8000, 13000, 20000 & 28000...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…