uzewela
Senior Member
- Jul 29, 2020
- 119
- 261
Azama wamepandisha bei ya ving'amuzi vyao tofauti na wanavyojipambanua kwenye matangazo yao. Nimetumiwa sms hii
Ndugu mteja, kuanzia tar 1 Disemba bei za vifurushi ni 8000, 13000, 20000 & 28000 kwa mwezi na 2500, 4000 na 9000 kwa wiki. Chaneli za Azam Sports zitapatikana kuanzia 20000 au 9000 kwa wiki Azam 1 & 2 kuanzia 13000 au 4000 kwa wiki, Sinema Zetu kuanzia 8000. Furahia chaneli, vipindi zaidi na muonekano HD
Ndugu mteja, kuanzia tar 1 Disemba bei za vifurushi ni 8000, 13000, 20000 & 28000 kwa mwezi na 2500, 4000 na 9000 kwa wiki. Chaneli za Azam Sports zitapatikana kuanzia 20000 au 9000 kwa wiki Azam 1 & 2 kuanzia 13000 au 4000 kwa wiki, Sinema Zetu kuanzia 8000. Furahia chaneli, vipindi zaidi na muonekano HD