A2G
JF-Expert Member
- Nov 17, 2016
- 283
- 828
Naona mashabiki wapo busy kujadili Na kulinganisha wasiojua mziki wanaacha kusikiliza mziki mzuri. Link Hiyo hapo chini akiwa Na Ben pol, huu ndio mziki sasa wengine hao wanapiga makelele
Mashairi yake....
Rudi utotoni
usipotembea utabebwa mgongoni
255 champion boy
niite mbwana samata
Verse 1(darasa)
wanaoota mapembe waongezee mkia
na ukinibeep tunakupigia
let me make one thing clear
blaa blaa sitaki kusikia
sio simba sio chui sio mamba
ngozi yangu inatosha kujigamba
na sina maneno ya kwenye kanga
kazi juu ya kazi
yani bamba tu bamba
mzaha unaweza kuzaa kizaa zaa
sinzia na fegi uchome kibanda
kalale uote ndoto zako za kitanda
si bado tupo macho mida ya wanga
funga mkanda,kaza na kamba
ama ufuate nyayo uchane msamba
pasua miamba pasua anga
tunasemaga chambua kama karanga
Birdge
Ee maisha namuziki
acha maneno weka muziki
ukiwa zap ukiwa up ukiwa juu ukiwa chini
piga muziki
yeeeh
safari na muziki
heee
acha maneno weka muziki
yeeeh
imba unachopenda
na ukitaka kucheza cheza muziki
chorus(ben pol)
bambata
shika kamata
rumba chakacha
Kaboka mchizi nishadata,shadata
verse 2(darasa)
unataka kukimbia nahauna break
what do you expect
bongo kongo kwa tabumbeki
cheza lokasi ya mbongo uwezi kumake
waache wa sell usije ukajicomfuse
mzuka wa kuruka reggae kwenye blues
unamchuzi wa excuse
maisha yetu ya kila siku kama vile movie
vitu vingine havitakagi ujuaji
utajikuta unatandikia watu jamvi
kusubiria embe chini ya mnazi
kumuelewesha chizi utajipa kazi
funga mkanda kaza na kamba
amaufuate nyayo uchane msamba
pasua miamba
pasua anga
tunasemaga chambua kama karanga
Ee(uwiiiiiiii)
Birdge
maisha namuziki
acha maneno weka muziki
ukiwa zap ukiwa up ukiwa juu ukiwa chini
piga muziki
yeeeh
safari na muziki
heee
acha maneno weka muziki
yeeeh
imba unachopenda
na ukitaka kucheza cheza muziki
Outro
wanatamani tupotee kwenye map
mnapeleka game to the top top
I got told up
na we don`t stop
don`t sop we don`t stop
wanatamani tupotee kwenye map
mnapeleka game to the top top
I got told up
na we don`t stop
we don`t stop
Mashairi yake....
Rudi utotoni
usipotembea utabebwa mgongoni
255 champion boy
niite mbwana samata
Verse 1(darasa)
wanaoota mapembe waongezee mkia
na ukinibeep tunakupigia
let me make one thing clear
blaa blaa sitaki kusikia
sio simba sio chui sio mamba
ngozi yangu inatosha kujigamba
na sina maneno ya kwenye kanga
kazi juu ya kazi
yani bamba tu bamba
mzaha unaweza kuzaa kizaa zaa
sinzia na fegi uchome kibanda
kalale uote ndoto zako za kitanda
si bado tupo macho mida ya wanga
funga mkanda,kaza na kamba
ama ufuate nyayo uchane msamba
pasua miamba pasua anga
tunasemaga chambua kama karanga
Birdge
Ee maisha namuziki
acha maneno weka muziki
ukiwa zap ukiwa up ukiwa juu ukiwa chini
piga muziki
yeeeh
safari na muziki
heee
acha maneno weka muziki
yeeeh
imba unachopenda
na ukitaka kucheza cheza muziki
chorus(ben pol)
bambata
shika kamata
rumba chakacha
Kaboka mchizi nishadata,shadata
verse 2(darasa)
unataka kukimbia nahauna break
what do you expect
bongo kongo kwa tabumbeki
cheza lokasi ya mbongo uwezi kumake
waache wa sell usije ukajicomfuse
mzuka wa kuruka reggae kwenye blues
unamchuzi wa excuse
maisha yetu ya kila siku kama vile movie
vitu vingine havitakagi ujuaji
utajikuta unatandikia watu jamvi
kusubiria embe chini ya mnazi
kumuelewesha chizi utajipa kazi
funga mkanda kaza na kamba
amaufuate nyayo uchane msamba
pasua miamba
pasua anga
tunasemaga chambua kama karanga
Ee(uwiiiiiiii)
Birdge
maisha namuziki
acha maneno weka muziki
ukiwa zap ukiwa up ukiwa juu ukiwa chini
piga muziki
yeeeh
safari na muziki
heee
acha maneno weka muziki
yeeeh
imba unachopenda
na ukitaka kucheza cheza muziki
Outro
wanatamani tupotee kwenye map
mnapeleka game to the top top
I got told up
na we don`t stop
don`t sop we don`t stop
wanatamani tupotee kwenye map
mnapeleka game to the top top
I got told up
na we don`t stop
we don`t stop