mzee wa kasumba
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 1,440
- 2,966
Kwakua sifahamu sana mambo ya HIPHOP huenda nikawa nimekosea kuuliza swali (Mtanisamehe)
Naomba kujuzwa mambo kadhaa kuhusiana na hiphop.
1. Tofauti ya MC na RAPPER
2. Wanasema hiphop ina nguzo 5, ni zipi?
3. Ila nasikia kuna kitu wanaita PUNCH LINE ni nini?
Binafsi katika michano namkubali sana wasanii hawa.
1. Youngkiller
2. Roma mkatoliki
3. Bando
4. Rapcha
5. Stamina
6. Fid q
7. Boshoo
8. Professor J
9. Maarifa
10. Chuma mbeya boi
Na wengine wengi.
Ila naomba kujuzwa juu ya hayo hapo juu walau kwa uchache.
Naomba kujuzwa mambo kadhaa kuhusiana na hiphop.
1. Tofauti ya MC na RAPPER
2. Wanasema hiphop ina nguzo 5, ni zipi?
3. Ila nasikia kuna kitu wanaita PUNCH LINE ni nini?
Binafsi katika michano namkubali sana wasanii hawa.
1. Youngkiller
2. Roma mkatoliki
3. Bando
4. Rapcha
5. Stamina
6. Fid q
7. Boshoo
8. Professor J
9. Maarifa
10. Chuma mbeya boi
Na wengine wengi.
Ila naomba kujuzwa juu ya hayo hapo juu walau kwa uchache.