Asante japo zngine hazijaisha badoKaribuni kilingeni wapendwa mzigo utashuka hapahapa ila hii si ya kukosa kabisa
Yaan mkuu m nmeacha kuzisoma mpka nikigundua imeisha ndo nasoma,Asante japo zngine hazijaisha bado
jtahid bac iisheeKweli wewe wafaa kuwa mke naweka tu nawe huyu hapa
Usiogope hii ipo kimkakati zaidi nadhani uliona tangazo lake kule kwako
karibu kwenye arostoKama ipi Chief ambayo imetoka kwangu haijaisha na haipostiwi?
Ni maoni yako karibu kwenye Arosto mzee usiogope
Unajua bana mtu anapewa bure mtu umepoteza muda wako mwiingi kuandika afu mtu anasoma kwa dakika tano tu afu yeye bado analalamika hata bando hajakupa naw umeipost kwa mapenzi tu afu mtu aja kulalamika utadhani anajua japo uchungu wa vidole nashangaa sana sisi binadamukaribu kwenye arosto
pole vngne uwe unapotezeaUnajua bana mtu anapewa bure mtu umepoteza muda wako mwiingi kuandika afu mtu anasoma kwa dakika tano tu afu yeye bado analalamika hata bando hajakupa naw umeipost kwa mapenzi tu afu mtu aja kulalamika utadhani anajua japo uchungu wa vidole nashangaa sana sisi binadamu
Sasa kama unawza ivyo si bora uziuze tu unazileta uku za nn sasa, unataka kubembelezwa wakati kweli unarushia umatiUnajua bana mtu anapewa bure mtu umepoteza muda wako mwiingi kuandika afu mtu anasoma kwa dakika tano tu afu yeye bado analalamika hata bando hajakupa naw umeipost kwa mapenzi tu afu mtu aja kulalamika utadhani anajua japo uchungu wa vidole nashangaa sana sisi binadamu
Kwanza nikufahamishe ndugu sijawahi kuweka fbKudos cjui 900 u mtunzi mnzuri ila inaonyesha umerizika Na elfu tatu za huko fb Na kuja kunyanyasa watu humu jf! Embu kama umeamua kuleta kazi humu jf!! Ikamilishe ili tukulubali jumla! Kwa mfano stivu mollel akatoa kitabu hata kama kinauzwa laki ntanunua kwa SBB kazi zake zinaanza vizuri Na umaliziaji mnzuri! Sasa wew unaanza kitu halafu hakiishi ! Jirekebishe usinyanyase watu
hief unajua nini maana ya mihemko? acha kuwa na hiyo tabia bigjahman tafadhali tusifike hukoSasa kama unawza ivyo si bora uziuze tu unazileta uku za nn sasa, unataka kubembelezwa wakati kweli unarushia umati