Habari za asubuhi waungwana. Ni siku mpya tena ya kuwajibika.
Leo nimeamka na mzuka wa kusikiliza nyimbo za huyu mwamba, aliyetikisa miaka ya 90. Alibamba na nyimbo kama Elizabeth, inde monie...
Wadau wa michezo, weekend hii tutashuhudia game za kibabe katika michuano ya Klabu Bingwa Afrika sambamba na ile ya Kombe la Shirikisho.
Pamoja na kuwa game nyingi ila hapa mimi nitajikita katika...
Hope wote mmeamka salama.Kwa wale wenye changamoto poleni.Mungu awe faraja kwenu.
Mimi ni mpenzi sana wa kusoma historia mbalimbali hasa hasa zinazoohusu OPERATIONS ZA KIJASUSI.Saivi nipo likizo...
Nilimfahamu gafla bin vuu kupitia Rafik yangu (kibandike), wengi tulipenda kumwita aa Kiba.
Gafla bin vuu ana Mixtape 3
Ujio wa mimi na upweke
Mapishi ya Upendo
Zamani July
Nyimbo zake nyingi...
Aisha, Aisha, Aisha
Mzuri kama kachorwa
Body kakupa Mola
I'm like my oh my
Macho yake yanavyong'aa
Just like a candle light
Lips zake zilivyo lowa
Akizing'ata, like my oh my
Ngozi yake...
Ukweli japo ni mchungu lakini ni tiba tosha ya maradhi ndugu zetu wa upande wa pili yaani Simba SC kuna kitu kinachowatafuna ambacho mpaka sasa hawakijui wanakimbilia kuwatuhumu makocha, wachezaji...
Ukweli japo ni mchungu lakini ni tiba tosha ya maradhi ndugu zetu wa upande wa pili yaani Simba SC kuna kitu kinachowatafuna ambacho mpaka sasa hawakijui wanakimbilia kuwatuhumu makocha, wachezaji...
Ukweli japo ni mchungu lakini ni tiba tosha ya maradhi ndugu zetu wa upande wa pili yaani Simba SC kuna kitu kinachowatafuna ambacho mpaka sasa hawakijui wanakimbilia kuwatuhumu makocha, wachezaji...
Shirikisho la soka Afrika (CAF) limeshauri kutotumika Dimba la Benjamin Mkapa ili kufanyiwa marekebisho kwa kile wanachodai kuwa eneo la kuchezea (pitch) limeharibika.
Baada ya mchezo wa Ligi Kuu...
Wadau naomba mwenye uelewa juu ya hii ishu anisaide,najua jinsi ya kudownload subtitle kupitia vlc media lakin nahitaji kuweka iwe ya moja kwa moja yaani ata nikimpa mtu mwingine au nikiangalia...
Baadhi ya wadau walisifia Sana serial ya money heist nikaona isiwe taabu Acha niitafute nione kama hiyo ladha yake itafanana na prison break na 24 lakini cha ajabu humo ndani ilijaa ujinga mwingi...
Kati kila fani kuna wenyewe sikuhizi simulizi, au story za kusimulia kwa mfumo wa sauti zimekua maarufu sana hususan huko YouTube
Kati ya Jamal April wa the story book, Ananias Edgar huyu...
CLICKBAIT
Series nyingine ya kiume hii hapa. Humu kuna jamaa anaitwa Brewer, siku ya birthday ya mama yake, kukatokea kaugomvi kadogo tu na mdogo ake, Pia, so dogo akasepa.
Kesho imefika, watu...
Kisa hiki kinapatikana kwenye kitabu Unyonge wa Mwafrika.
Chai ya Kandambili
Wakati mmoja nilipata kuwa Karani Mkuu wa Boma, wenyewe humwita Chief Clerk. Chief Clerk enzi za mkoloni mtu mkubwa...
Habari
Sasa hivi katika android na iOS wanatuletea games zenye graphic kali kama kwenye PC vile haya hapa chini ni majina ya games kali za kwenye simu za android na iOS
Number one ni truckers of...
Hello bosses,
Kwanza niwe mkweli tu, napenda sana movie za martial arts na ujasusi. Hii Drama ya Princess Agents ni tofauti kabisa na drama za kichina zilizokuwa zimezoeleka. Baada ya kuangalia...