Woman lyrics: Otile Brown ft Harmonize - nani kaua hapo?

ndege JOHN

JF-Expert Member
Aug 5, 2015
19,583
44,828
Loading video

Aisha, Aisha, Aisha
Mzuri kama kachorwa
Body kakupa Mola
I'm like my oh my
Macho yake yanavyong'aa
Just like a candle light
Lips zake zilivyo lowa
Akizing'ata, like my oh my
Ngozi yake inavyometameta
Kama shima
Hivi we unadhani, nakutamani
Ila, nipo interested zaidi ya vile, unavyodhania
Can I be your company
Nina machache ya kukuambia, wouwoo ah
Coz I need you in my life
I'm tryna find me a wife
And you look just like her type
You look like just my type
I swear this love is first sight
Coz you're such a beautiful woman
Woman, woman
Would you be my one and only woman
Woman, woman, Aisha
Aisha, param-param pampare
Aisha, param-param pampare
Aisha, param-param pampare
Aisha, parara parara pararara pararara
Aisha, param-param pampare
Aisha, param-param pampare
Aisha, param-param pampare
Aisha, parara parara pararara pararara
Mzuri kama kachorwa
Kiuno kama dondora
I'm like my oh my
Na hivyo vimacho vyake ka gololi
Anavyovirembua
Her body shape like a cola
I go spend all my dollar
I'm tryna make you mine
Na hizo pozi zake ka mdoli
Anavyojishaua
Nishajaribu kupapasa
Dar es Salama, Nairobi hadi Mombasa
Sijamwona mpaka sasa
Wa kufanana huo mshepu sasa
Iyee! Maneno manung'uno na chuki
Eti mara kiuno amechongesha Uturuki
Huwajibu hukurupuki
Penzi lako ni asali na mi ndo nyuki
Kelele zao za chura
Hazininyimi tembo kunywa maji
Watasema mchana
Na usiku watalala
Umebarikiwa sura
Kwenye shindano la warembo
Acha nikupe taji
Kwanza bado kijana kifuani hapajalala
You're are such a beautiful woman
Woman, woman, woman
Could you be my one and only woman
Woman, woman, mwenzako Aisha
Aisha, param-param pampare
Aisha, param-param pampare
Aisha, param-param pampare
Aisha, parara parara pararara pararara
Aisha, param-param pampare
Aisha, param-param pampare
Aisha, param-param pampare
Aisha
 
Back
Top Bottom