Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limetangaza rasmi kuahirishwa kwa hafla ya Tuzo za Muziki Tanzania (TMA) 2025, ambayo mwanzo ilikuwa imepangwa kufanyika tarehe 13 Desemba 2025.
Kupitia taarifa...
Mbilia bell akiongoza kwa hits kama Nakei na Nadina, ye Tshala mwana aki-hits kwa Massuwa na Dezo dezo.
Ni kati ya wanamuziki wa kike wa Congo waliowahi kutamba miaka ya 80 mpaka 90 na mpaka...
Wakuu habari zenu
Nawiwa kufanya sanaa ya kuigiza hapa nyumbani ( Bongo Movie). Hivyo naomba msaada kidogo kuhusu haya:
a. Nataka kujua kampuni nzuri ninayoweza kuitumia kushoot movie yangu kwa...
"Aliyepata ziro form 4 mnamsukumia VETA,
mnaamini umeme wa magari unahitaji MAZEZETA?"
roma mkatoliki huyu jamaa ni fundi wa mistari...
Hajawahi kuboronga..KKK
Muigizaji Mkongwe na Producer Cary-Hiroyuki Tagawa amefariki dunia jana Disemba 4, akiwa na miaka 75 Santa Barbara, California Marekani.
Tagawa amefariki mbele ya familia yake baada ya kuugua kwa...
Miaka ya mwanzoni mwa 2010 ilikuwa zama za dhahabu kwa mashabiki wa filamu za Marvel Cinematic Universe (MCU). Kila filamu iliyotoka ilikuwa tukio la kusisimua. Kuanzia Iron Man (2008), The...
Leo nilikuwa job katika story za hapa na pale, wadau wakaanza kubishana juu ya movie kali ya kibongo 2025
on my side, movie kali ni PRESSURE
Vip kwa upande wenu JF-members
Nimetokea kuikubali sana hii series
Maisha ya Daudi akiwa mchungaji wa kondoo huko milimani akipambana na wanyama wakali huku kaka zake wakiwa nyumbani
Maisha ya mfalme Sauli aklivyolewa sifa...
Binafsi sio mfuatiliaji sana wa nyimbo hasa ambazo sielewi lugha yake
Mwanzoni nilianza kuona wimbo wa makombolela kwenye page mbalimbali za instagram, baadaye kila aliyepost au kupiga wimbo huo...
Imebaki siku moja tu kabla ya kuonyeshwa duniani kote, Netflix wameachia trela ya kwanza kabisa ya Sean Combs: The Reckoning, mfululizo wa documentari ya sehemu nne (four-part docuseries)...
We and Dem” is Bob Marley’s warning about division, injustice, and oppressive systems, and a call for unity and awareness.
It reflects the struggle of ordinary people against corrupt powers that...
Katika kupitia maoni ya JF members, nimekutana na post ya Roman Israel Esq ambayo kutokana na upeo wangu kuwa mdogo nimeshindwa kumuelewa Tosh.
Sijui shida yake ilikuwa ni nini. Je, hakutaka...
PENZI LA NYOKA MTU
MTUNZI:HAKIKA JONATHAN
WHATSAP:0629905923
*SEHEMU YA KWANZA**
Msitu wa Ukijani ulikuwa kimya sana,ukimya uliopelekea sauti za ndege kusikika kila pembe ya msitu huo.Ndege...
tory za kusisimua.
Simulizi: 'MKUFU WA MALIKIA WA KIJINI'
Mtunzi: Meteck Derthod
SEHEMU YA--- 01
Shukurani kwa:-
1> Mungu aliyeniumba na kunifanya niendelee
kuishi mpaka muda huu.
2>Wote wanaotoa...
Huu utakuwa ufafanuzi rahisi was kitu ama Muda.
Je inawezekana kwenda miaka ya mbele ama kurudi nyuma kwa akina Yesu na Yuda Eskaroti?
Sasa hapa utapata ufafanuzi wa time travel.
Ipo ama haipo...
Onyo: simulizi hii ni kazi ya ubunifu (fiction). Wahusika, matukio, majina ya kampuni (isipokuwa yale yanayojulikana sana, mfano 'Dar es Salaam)na taasisi za kisiasa zilizotajwa hapa ni za...
Jimmy Cliff alikuwa mwanamuziki wa Reggae kutokea Kingston Jamaica na ndiye aliyekuwa mashindani mkubwa sana wa Bob Marley. Wote Jimmy Cliff na Bob Marley walivuma sana miaka ya 70 kabla Bob...
Kama mtunzi hii ni simulizi yangu ya kwanza kuandika na kuitangaza nje ya jukwaa husika. Mimi ni mwandishi wa simulizi kutoka jukwaa la fasihinet.com ya boss singanojr 😁
Nisielezee sana kuhusu...