Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limetangaza rasmi kuahirishwa kwa hafla ya Tuzo za Muziki Tanzania (TMA) 2025, ambayo mwanzo ilikuwa imepangwa kufanyika tarehe 13 Desemba 2025. Kupitia taarifa...
2 Reactions
27 Replies
968 Views
Mbilia bell akiongoza kwa hits kama Nakei na Nadina, ye Tshala mwana aki-hits kwa Massuwa na Dezo dezo. Ni kati ya wanamuziki wa kike wa Congo waliowahi kutamba miaka ya 80 mpaka 90 na mpaka...
0 Reactions
68 Replies
13K Views
Wakuu habari zenu Nawiwa kufanya sanaa ya kuigiza hapa nyumbani ( Bongo Movie). Hivyo naomba msaada kidogo kuhusu haya: a. Nataka kujua kampuni nzuri ninayoweza kuitumia kushoot movie yangu kwa...
4 Reactions
6 Replies
430 Views
"Aliyepata ziro form 4 mnamsukumia VETA, mnaamini umeme wa magari unahitaji MAZEZETA?" roma mkatoliki huyu jamaa ni fundi wa mistari... Hajawahi kuboronga..KKK
4 Reactions
157 Replies
29K Views
Muigizaji Mkongwe na Producer Cary-Hiroyuki Tagawa amefariki dunia jana Disemba 4, akiwa na miaka 75 Santa Barbara, California Marekani. Tagawa amefariki mbele ya familia yake baada ya kuugua kwa...
2 Reactions
4 Replies
426 Views
Miaka ya mwanzoni mwa 2010 ilikuwa zama za dhahabu kwa mashabiki wa filamu za Marvel Cinematic Universe (MCU). Kila filamu iliyotoka ilikuwa tukio la kusisimua. Kuanzia Iron Man (2008), The...
1 Reactions
14 Replies
610 Views
Leo nilikuwa job katika story za hapa na pale, wadau wakaanza kubishana juu ya movie kali ya kibongo 2025 on my side, movie kali ni PRESSURE Vip kwa upande wenu JF-members
1 Reactions
5 Replies
595 Views
Nimetokea kuikubali sana hii series Maisha ya Daudi akiwa mchungaji wa kondoo huko milimani akipambana na wanyama wakali huku kaka zake wakiwa nyumbani Maisha ya mfalme Sauli aklivyolewa sifa...
3 Reactions
8 Replies
708 Views
Binafsi sio mfuatiliaji sana wa nyimbo hasa ambazo sielewi lugha yake Mwanzoni nilianza kuona wimbo wa makombolela kwenye page mbalimbali za instagram, baadaye kila aliyepost au kupiga wimbo huo...
2 Reactions
9 Replies
597 Views
Imebaki siku moja tu kabla ya kuonyeshwa duniani kote, Netflix wameachia trela ya kwanza kabisa ya Sean Combs: The Reckoning, mfululizo wa documentari ya sehemu nne (four-part docuseries)...
0 Reactions
1 Replies
247 Views
We and Dem” is Bob Marley’s warning about division, injustice, and oppressive systems, and a call for unity and awareness. It reflects the struggle of ordinary people against corrupt powers that...
1 Reactions
1 Replies
161 Views
Katika kupitia maoni ya JF members, nimekutana na post ya Roman Israel Esq ambayo kutokana na upeo wangu kuwa mdogo nimeshindwa kumuelewa Tosh. Sijui shida yake ilikuwa ni nini. Je, hakutaka...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
PENZI LA NYOKA MTU MTUNZI:HAKIKA JONATHAN WHATSAP:0629905923 *SEHEMU YA KWANZA** Msitu wa Ukijani ulikuwa kimya sana,ukimya uliopelekea sauti za ndege kusikika kila pembe ya msitu huo.Ndege...
1 Reactions
2 Replies
7K Views
tory za kusisimua. Simulizi: 'MKUFU WA MALIKIA WA KIJINI' Mtunzi: Meteck Derthod SEHEMU YA--- 01 Shukurani kwa:- 1> Mungu aliyeniumba na kunifanya niendelee kuishi mpaka muda huu. 2>Wote wanaotoa...
4 Reactions
10 Replies
9K Views
Huu utakuwa ufafanuzi rahisi was kitu ama Muda. Je inawezekana kwenda miaka ya mbele ama kurudi nyuma kwa akina Yesu na Yuda Eskaroti? Sasa hapa utapata ufafanuzi wa time travel. Ipo ama haipo...
2 Reactions
60 Replies
8K Views
Onyo: simulizi hii ni kazi ya ubunifu (fiction). Wahusika, matukio, majina ya kampuni (isipokuwa yale yanayojulikana sana, mfano 'Dar es Salaam)na taasisi za kisiasa zilizotajwa hapa ni za...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Naombeni kujua ni chanel gani nzuri kwa ajili ya kupata movies telegram
0 Reactions
10 Replies
748 Views
Jimmy Cliff alikuwa mwanamuziki wa Reggae kutokea Kingston Jamaica na ndiye aliyekuwa mashindani mkubwa sana wa Bob Marley. Wote Jimmy Cliff na Bob Marley walivuma sana miaka ya 70 kabla Bob...
1 Reactions
5 Replies
314 Views
Wakuu naombeni mdondoshe movie kali[emoji116][emoji116]
2 Reactions
59 Replies
8K Views
Kama mtunzi hii ni simulizi yangu ya kwanza kuandika na kuitangaza nje ya jukwaa husika. Mimi ni mwandishi wa simulizi kutoka jukwaa la fasihinet.com ya boss singanojr 😁 Nisielezee sana kuhusu...
4 Reactions
162 Replies
28K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…