Muuza Viat
JF-Expert Member
- Dec 23, 2022
- 2,824
- 7,349
Kabint niliwah kukatongoza kakanikataaa
Baada ya miez kadhaa siku km ya leo nikakuta missed call yake kwenye kimeo changu
Nikaenda kwenye simu ya kijiji ili nimrukie hewan
Tunaiita sim ya kijij kwa sabab kipind hicho tigo kifurush unajiunga saa kumi alfajir alaf kinakua hakina ukomo wa muda wa maongez Kwa hiyo tuliiteua simu moja ambayo tunachanga ili kujiunga alaf kila atakayetaka kufanya maongez unapiga kwa stail ya conference call so ukiongea na mtu wako kunakua na kelele balaa unakuta kuna watu km ishirin wanapiga porojo kwenye simu moja
Baada ya maongez nae tukakubaliana tukutane mbagala zakiem uwanjan
Wakat huo nilikua na elf tat mfukon na kwenye kibubu kulikua na elf kum ambayo ndio akiba yangu mwenyew ili kutokana na unyeti wa jambo husika nikaona haina jinsi inabid itumike tu
Ahad ilikua kumi jion lkn kutokana na umuhimu wa tukio husika saa tisa juu ya alama Mzee nilikua nipo eneo la kukutania
Baada ya kufika nikaanza kudodosa wap kuna gest ya bei rahis washukuriwe washkaj wa pale niliipata ya buku mbili tu shoo taim nikaona inanifaa nikajitahid kukarir njia isije ikanipotea
Mpaka kumi na mbili mrembo hajafika Mzee mzima nikavurugwa nikalazimika kununua vocha ya mia tano ili nifanye mawasiliano baada ya kumuuliza nikajibiwa niendelee kusubir
Saa moja kasoro mrembo akafika wakat huo nimebakiwa na kumi na moja elf na kutokana na bajet yangu nilipanga nisimpe nafas ya yey kuchagua anachotaka kwa hiyo alipofika tu nikamtuliza na chupa la maji ya barid apoze koo kabla hajamaliza kuyanywa nikamshika mkono na kuelekea kwenye kichaka nilichokiandaa kwa ajili ya zoez pendwa
Ghafla umeme ukakatika nikaona yes huu ndio muda wa kutawala zoez zima kiweled Mzee mzima mibusu km yote kwa mrembo njia nzima Mtoto wa watu anacheka tu
Kuja kushtuka nimepotea njia msala ukaanza hapo ilinigharimu km dk10 kuipata ile gest wakat huo bibie Domo kalivuta hatar
Namwambia tuingie ndan ananiuliza inamaana ww gest zote za maana hujaziona unanileta humu
Mzee mzima nikaongea mfululizo km dk tano lkn jibu alilonipa likanivuruga balaa aliniambia "ndio maana nilikukataa kwa mamb yako na leo nimekupa nafas bado unanivuruga"
Akaondoka zake huku namfata nyuma mpaka zakiem uwanjan akapanda kwenye Bajaj na mim nikapanda mpaka majimatitu nikalipia elf Tano nikabakiwa na elf sita akanipeleka kwenye lodge balaa Mzee mzima nikawa mnyonge mungu hapendi
Km zari sikuulizwa kuhusu kulipia tukaingia zetu ndani na nikaambiwa humu hatutok mpaka jnne nikawa mnyonge na elf sita yangu mfukon
Jnne wakat tunajiandaa kutoka ndio nikaambiwa ukwel kuwa mim sio chaguo lake isipokuwa alivurugwa na huyo mpenzi wake na alinitumia mim km sehem ya kubadilisha mazingira ili ajiweke sawa
Na akanishaur ikitokea tumekutana tena niachane na porojo za kupendana isipokuwa nimchukulie km adui yake nitwange kikwelkwel km hamna kesho
Akaingia kwenye wallet na kutoa 30k na kuondoka zake
Kutokana na posho anazotoa nikaona sio mbaya kuwa mchepuko ingawaje sipat huduma kila ninapohitaj
Baada ya miez kadhaa siku km ya leo nikakuta missed call yake kwenye kimeo changu
Nikaenda kwenye simu ya kijiji ili nimrukie hewan
Tunaiita sim ya kijij kwa sabab kipind hicho tigo kifurush unajiunga saa kumi alfajir alaf kinakua hakina ukomo wa muda wa maongez Kwa hiyo tuliiteua simu moja ambayo tunachanga ili kujiunga alaf kila atakayetaka kufanya maongez unapiga kwa stail ya conference call so ukiongea na mtu wako kunakua na kelele balaa unakuta kuna watu km ishirin wanapiga porojo kwenye simu moja
Baada ya maongez nae tukakubaliana tukutane mbagala zakiem uwanjan
Wakat huo nilikua na elf tat mfukon na kwenye kibubu kulikua na elf kum ambayo ndio akiba yangu mwenyew ili kutokana na unyeti wa jambo husika nikaona haina jinsi inabid itumike tu
Ahad ilikua kumi jion lkn kutokana na umuhimu wa tukio husika saa tisa juu ya alama Mzee nilikua nipo eneo la kukutania
Baada ya kufika nikaanza kudodosa wap kuna gest ya bei rahis washukuriwe washkaj wa pale niliipata ya buku mbili tu shoo taim nikaona inanifaa nikajitahid kukarir njia isije ikanipotea
Mpaka kumi na mbili mrembo hajafika Mzee mzima nikavurugwa nikalazimika kununua vocha ya mia tano ili nifanye mawasiliano baada ya kumuuliza nikajibiwa niendelee kusubir
Saa moja kasoro mrembo akafika wakat huo nimebakiwa na kumi na moja elf na kutokana na bajet yangu nilipanga nisimpe nafas ya yey kuchagua anachotaka kwa hiyo alipofika tu nikamtuliza na chupa la maji ya barid apoze koo kabla hajamaliza kuyanywa nikamshika mkono na kuelekea kwenye kichaka nilichokiandaa kwa ajili ya zoez pendwa
Ghafla umeme ukakatika nikaona yes huu ndio muda wa kutawala zoez zima kiweled Mzee mzima mibusu km yote kwa mrembo njia nzima Mtoto wa watu anacheka tu
Kuja kushtuka nimepotea njia msala ukaanza hapo ilinigharimu km dk10 kuipata ile gest wakat huo bibie Domo kalivuta hatar
Namwambia tuingie ndan ananiuliza inamaana ww gest zote za maana hujaziona unanileta humu
Mzee mzima nikaongea mfululizo km dk tano lkn jibu alilonipa likanivuruga balaa aliniambia "ndio maana nilikukataa kwa mamb yako na leo nimekupa nafas bado unanivuruga"
Akaondoka zake huku namfata nyuma mpaka zakiem uwanjan akapanda kwenye Bajaj na mim nikapanda mpaka majimatitu nikalipia elf Tano nikabakiwa na elf sita akanipeleka kwenye lodge balaa Mzee mzima nikawa mnyonge mungu hapendi
Km zari sikuulizwa kuhusu kulipia tukaingia zetu ndani na nikaambiwa humu hatutok mpaka jnne nikawa mnyonge na elf sita yangu mfukon
Jnne wakat tunajiandaa kutoka ndio nikaambiwa ukwel kuwa mim sio chaguo lake isipokuwa alivurugwa na huyo mpenzi wake na alinitumia mim km sehem ya kubadilisha mazingira ili ajiweke sawa
Na akanishaur ikitokea tumekutana tena niachane na porojo za kupendana isipokuwa nimchukulie km adui yake nitwange kikwelkwel km hamna kesho
Akaingia kwenye wallet na kutoa 30k na kuondoka zake
Kutokana na posho anazotoa nikaona sio mbaya kuwa mchepuko ingawaje sipat huduma kila ninapohitaj